albuluushiy
JF-Expert Member
- Oct 2, 2013
- 1,405
- 685
kumbe chadema mumeanza kumpenda Lowassa muda mrefu?Naipenda CHADEMA ila Lowasa ni kiongozi hasa na ana uwezo mkubwa wa kuikomboa TZ.
kumbe chadema mumeanza kumpenda Lowassa muda mrefu?Naipenda CHADEMA ila Lowasa ni kiongozi hasa na ana uwezo mkubwa wa kuikomboa TZ.
Moyo wako umekuwa, sasa hivi umekuwa manamba wa LowassaMashetani wanaopenda tuendelee kunyonywa wamejipanga ipasavyo kuhakikisha Lowassa ndiye rais 2015, wameziba kabisa masikio kutotaka kusikia vilio vya watanzani. Makanisani, misikitini, vilabuni, vijiweni, maofisini kote wameenea. Wanachojali ni pesa chafu anazotoa kama sadaka inayozidi kuitia laana nchi hii. Ni mioyo iliyokufa tu inayoweza kukubali Lowassa sio fisadi, Baba wa Taifa alisha muona mapema huyu kijana ananuka. Wengi wanasema anaweza kuwa rais, sio kwa sababu anafaa bali ni mwenye mbinu chafu za kishetani kufanya chochote anachoweza, Nape Nnauye shaidi wangu
My Take
CHADEMA kama chama cha wananchi wanyonge, mmetumia mda mwingi kupambanua majanga makuu ya watu wanaoangamiza taifa letu ikiwepo Lowassa na wananchi wamesikia sauti zenu, hivyo tunawaomba kwa nguvu ile ile muitaadharishe jamii juu ya Janga Lowassa kwani kuna kila dalili za kufanya ikulu iendelee kuwa pango la wanyanganyi. Shame on him and his followers
Maneno mazito sana haya tena yenye chembechembe za uzalendo. Shida yangu ni kwamba sijui kama bado unayaishi haya maneno au nawe ulishapata sadaka yako na viongozi wako pia wakapewa sadaka yao na mvinyo.Mashetani wanaopenda tuendelee kunyonywa wamejipanga ipasavyo kuhakikisha Lowassa ndiye rais 2015, wameziba kabisa masikio kutotaka kusikia vilio vya watanzani. Makanisani, misikitini, vilabuni, vijiweni, maofisini kote wameenea. Wanachojali ni pesa chafu anazotoa kama sadaka inayozidi kuitia laana nchi hii. Ni mioyo iliyokufa tu inayoweza kukubali Lowassa sio fisadi, Baba wa Taifa alisha muona mapema huyu kijana ananuka. Wengi wanasema anaweza kuwa rais, sio kwa sababu anafaa bali ni mwenye mbinu chafu za kishetani kufanya chochote anachoweza, Nape Nnauye shaidi wangu
My Take
CHADEMA kama chama cha wananchi wanyonge, mmetumia mda mwingi kupambanua majanga makuu ya watu wanaoangamiza taifa letu ikiwepo Lowassa na wananchi wamesikia sauti zenu, hivyo tunawaomba kwa nguvu ile ile muitaadharishe jamii juu ya Janga Lowassa kwani kuna kila dalili za kufanya ikulu iendelee kuwa pango la wanyanganyi. Shame on him and his followers
Duh..halafu sisi tuliomkataa 2015 tunaitwa wasaliti eti tuombe radhi..Mashetani wanaopenda tuendelee kunyonywa wamejipanga ipasavyo kuhakikisha Lowassa ndiye rais 2015, wameziba kabisa masikio kutotaka kusikia vilio vya watanzani. Makanisani, misikitini, vilabuni, vijiweni, maofisini kote wameenea. Wanachojali ni pesa chafu anazotoa kama sadaka inayozidi kuitia laana nchi hii. Ni mioyo iliyokufa tu inayoweza kukubali Lowassa sio fisadi, Baba wa Taifa alisha muona mapema huyu kijana ananuka. Wengi wanasema anaweza kuwa rais, sio kwa sababu anafaa bali ni mwenye mbinu chafu za kishetani kufanya chochote anachoweza, Nape Nnauye shaidi wangu
My Take
CHADEMA kama chama cha wananchi wanyonge, mmetumia mda mwingi kupambanua majanga makuu ya watu wanaoangamiza taifa letu ikiwepo Lowassa na wananchi wamesikia sauti zenu, hivyo tunawaomba kwa nguvu ile ile muitaadharishe jamii juu ya Janga Lowassa kwani kuna kila dalili za kufanya ikulu iendelee kuwa pango la wanyanganyi. Shame on him and his followers
Hawa watu kila siku kuhamisha magoliDuh..halafu sisi tuliomkataa 2015 tunaitwa wasaliti eti tuombe radhi..
Na walikuwa hodari kumtusi na kumkashifu Kikwete eti leo wanalia wanamkumbukaHahahaha
Kiko wapi?
Mleta mada anatamani uzi huu ufutwe.
Mkuu;Mashetani wanaopenda tuendelee kunyonywa wamejipanga ipasavyo kuhakikisha Lowassa ndiye rais 2015, wameziba kabisa masikio kutotaka kusikia vilio vya watanzani. Makanisani, misikitini, vilabuni, vijiweni, maofisini kote wameenea. Wanachojali ni pesa chafu anazotoa kama sadaka inayozidi kuitia laana nchi hii. Ni mioyo iliyokufa tu inayoweza kukubali Lowassa sio fisadi, Baba wa Taifa alisha muona mapema huyu kijana ananuka. Wengi wanasema anaweza kuwa rais, sio kwa sababu anafaa bali ni mwenye mbinu chafu za kishetani kufanya chochote anachoweza, Nape Nnauye shaidi wangu
My Take
CHADEMA kama chama cha wananchi wanyonge, mmetumia mda mwingi kupambanua majanga makuu ya watu wanaoangamiza taifa letu ikiwepo Lowassa na wananchi wamesikia sauti zenu, hivyo tunawaomba kwa nguvu ile ile muitaadharishe jamii juu ya Janga Lowassa kwani kuna kila dalili za kufanya ikulu iendelee kuwa pango la wanyanganyi. Shame on him and his followers
Duh..halafu sisi tuliomkataa 2015 tunaitwa wasaliti eti tuombe radhi..