TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 23,914
- 23,077
Tatizo, watu walishaweka nukuu...! Kiungwana ulitakiwa uklozi huu mjadala kwa kutoa sababu zilizokufanya ubadilishe mawazo na kushauri chama hicho kumteue mtu uliyekuwa unamtuhumu kwa 'ufisadi'. Ungefanya hivyo ungekuwa shujaa wa muda huu.Topic Closed