Habari Wana JF,
Nimewiwa kuandika uzi huu baada ya kumalizia tafiti yangu niliyofanya kwa muda mrefu katika majimbo ya uchaguzi yote Tanzania bara na Zanzibar...nasema CHADEMA byebye.. nimeshtushwa kumbe makelele yotee yanayopigwa mitandaoni kumbe hamna kitu uhalisia kule mtaani..Ni maajabu na kweli..kwa hivyo sinabudi kuwaaga mapema. Sababu kuu ni hizi:
1) Hakuna sera wananchi wameambiwa ambazo ni za ukweli na ambazo zitaleta Taifa jipya..nasema hakuna
2) CHADEMA haina address ya uhakika iko wapi sehem ambayo ni makao makuu inayotegemewa mtu akikimbia na briefcase basi na ofisi itafungwa..
3) CHADEMA haina ofisi za wajumbe, Wala majimbo zinazoeleweka...kule chini kabisa chadema haipo na ndio kwenye wananchi wapiga kura..wao wamejinasibu kwenye Urais na ubunge kidogo
4) Kumbe CHADEMA haina wagombea katika majimbo takribani 60. Saaaa in maana huko kote chama tawala kinazoa kura..hakuna Cha ACT Wala baba yake CUF...Ni aibu..hiyo ACT yenyewe kwa bara ni Kama hakuna kitu..zero balance anategemea majimbo machache ya kusini na kigoma..nayo Ni bahati nasibu
5) CHADEMA hakina mtandao wa uongozi..wengi wao Ni wapiga kelele tuu bila sera kichwani.
6) CHADEMA wanamtegemea Lissu ambaye hajaweza kukuna mioyo ya wananchi. Wengi wanaohudhuria Ni kwenda kupoteza wakati to, entertainment Fulani vijijini.ukishaondoka wanakusahau, eti Kuna mtu anaitwa Tundu.
7) CHADEMA wamekula fedha nyingi Sana ambazo hazina idadi..mabilioni kadhaa kupitia michango, mtandao wa chadema,..mapato ambayo wameshapata hayalingani na matumizi..fedha zinaliwa kiaina.
8) Inahisiwa Kuna mtafaruku ndani ya chadema..na ndio maana inahisiwa Tundu hajawahi gusa ofisi za Ufipa tangu arudi Tanzania..yeye mwenyewe hawaamini hao waliopo kina Mwenyekiti, na wengine nahii Ni kwa sababu za taarifa mbalimbali zilizosababisha TL apigwe risasi..zipo taarifa nyingi za kitafiti nitaziweka humu muda ukiruhusu.
Asalaam aleikhum Waungwana
Nimewiwa kuandika uzi huu baada ya kumalizia tafiti yangu niliyofanya kwa muda mrefu katika majimbo ya uchaguzi yote Tanzania bara na Zanzibar...nasema CHADEMA byebye.. nimeshtushwa kumbe makelele yotee yanayopigwa mitandaoni kumbe hamna kitu uhalisia kule mtaani..Ni maajabu na kweli..kwa hivyo sinabudi kuwaaga mapema. Sababu kuu ni hizi:
1) Hakuna sera wananchi wameambiwa ambazo ni za ukweli na ambazo zitaleta Taifa jipya..nasema hakuna
2) CHADEMA haina address ya uhakika iko wapi sehem ambayo ni makao makuu inayotegemewa mtu akikimbia na briefcase basi na ofisi itafungwa..
3) CHADEMA haina ofisi za wajumbe, Wala majimbo zinazoeleweka...kule chini kabisa chadema haipo na ndio kwenye wananchi wapiga kura..wao wamejinasibu kwenye Urais na ubunge kidogo
4) Kumbe CHADEMA haina wagombea katika majimbo takribani 60. Saaaa in maana huko kote chama tawala kinazoa kura..hakuna Cha ACT Wala baba yake CUF...Ni aibu..hiyo ACT yenyewe kwa bara ni Kama hakuna kitu..zero balance anategemea majimbo machache ya kusini na kigoma..nayo Ni bahati nasibu
5) CHADEMA hakina mtandao wa uongozi..wengi wao Ni wapiga kelele tuu bila sera kichwani.
6) CHADEMA wanamtegemea Lissu ambaye hajaweza kukuna mioyo ya wananchi. Wengi wanaohudhuria Ni kwenda kupoteza wakati to, entertainment Fulani vijijini.ukishaondoka wanakusahau, eti Kuna mtu anaitwa Tundu.
7) CHADEMA wamekula fedha nyingi Sana ambazo hazina idadi..mabilioni kadhaa kupitia michango, mtandao wa chadema,..mapato ambayo wameshapata hayalingani na matumizi..fedha zinaliwa kiaina.
8) Inahisiwa Kuna mtafaruku ndani ya chadema..na ndio maana inahisiwa Tundu hajawahi gusa ofisi za Ufipa tangu arudi Tanzania..yeye mwenyewe hawaamini hao waliopo kina Mwenyekiti, na wengine nahii Ni kwa sababu za taarifa mbalimbali zilizosababisha TL apigwe risasi..zipo taarifa nyingi za kitafiti nitaziweka humu muda ukiruhusu.
Asalaam aleikhum Waungwana