zambez
JF-Expert Member
- Dec 28, 2013
- 2,071
- 255
Ficha ujinga wako, kwahiyo hutaki wengine wapate habari za kale.
Weww ni tako
Ficha ujinga wako, kwahiyo hutaki wengine wapate habari za kale.
No body takes Chadema serious anymore,haya uliyoandika hapa ni mapya? Hamkuwaambia CUF haya,au ulikuwa badobado enzi hizo? Go read your history books.Ni chizi au mwendawazimu asiyejua a.c.t ni chimbuko la ccm penye ukweli uwongo hujitenga tukutane october.
No body takes Chadema serious anymore,haya uliyoandika hapa ni mapya? Hamkuwaambia CUF haya,au ulikuwa badobado enzi hizo? Go read your history books.
Too bad viongozi wako wa chadema hawaoni au kujua umuhimu wa maneno mazuri na ya busara ulioandika hapa,lilitakiwa hili lianze mapema,saa hizi tungekuwa tumesha-confirm kung'oka kwa CCM.Yandwele yashapita tunaganga yajao na Tukiwa kama watu wenye hofu ya Mungu kusameheana ni moja ya nguzo zetu shetani peke yake ndie asiyependa haya yatokee wewe mwenyewe ushafanya mangapi ya kumchukiza muumba wako na ukawa na uhitaji wa msamaha ?
Unafiki haumpendezi mtu mpenda haki bakini hivyo hivyo na uzandiki wenu, wivu fitna, majungu, kutokuwa na utu, uchawi, ufisadi maana hivyo kwenu ni kama maji lazima uyanywe usipoyanywa utayaoga shetani ndie nguzo yenu , UKAWA tulianza na MUNGU na tutamaliza na MUNGU.
Kuna watu wako nyuma ya ufufuaji wa hizi thread za zamani kwa malengo hasi dhidi ya UKAWA.
A.c.t chama cha waha na ni mtoto ndakindaki wa ccm wabisha tufunguke?
Yandwele yashapita tunaganga yajao na Tukiwa kama watu wenye hofu ya Mungu kusameheana ni moja ya nguzo zetu shetani peke yake ndie asiyependa haya yatokee wewe mwenyewe ushafanya mangapi ya kumchukiza muumba wako na ukawa na uhitaji wa msamaha ?
Unafiki haumpendezi mtu mpenda haki bakini hivyo hivyo na uzandiki wenu, wivu fitna, majungu, kutokuwa na utu, uchawi, ufisadi maana hivyo kwenu ni kama maji lazima uyanywe usipoyanywa utayaoga shetani ndie nguzo yenu , UKAWA tulianza na MUNGU na tutamaliza na MUNGU.
Tulia twende taratibu kakahuu utaratibu wa kuwepo Post za mwaka 2011 humu mie sijaupenda hata kidogo Mods tazameni hili,au ndio jukwaa sasa limekuwa la upande na kama The fonder mnaelekezwa nini?cha kufanya mnatuchanganya hakika.
Yandwele yashapita tunaganga yajao na Tukiwa kama watu wenye hofu ya Mungu kusameheana ni moja ya nguzo zetu shetani peke yake ndie asiyependa haya yatokee wewe mwenyewe ushafanya mangapi ya kumchukiza muumba wako na ukawa na uhitaji wa msamaha ?
Unafiki haumpendezi mtu mpenda haki bakini hivyo hivyo na uzandiki wenu, wivu fitna, majungu, kutokuwa na utu, uchawi, ufisadi maana hivyo kwenu ni kama maji lazima uyanywe usipoyanywa utayaoga shetani ndie nguzo yenu , UKAWA tulianza na MUNGU na tutamaliza na MUNGU.
Leo ndio unayajua haya?wewe si ulikua mstari wa mbele zitto afukuzwe,acha unafiki mangi
Umeongea vizuri.
Busara hii ingetumika kwenye kudeal na ACT na Zitto, basi CHADEMA wangekuwa mahala pazuri zaidi.Mjifunze kutoka kwake Zitto aliyepigia mstari ya kale, na kuamua kuanza upya.
Nothing says a new political start than joining/starting with a new party. It's time CHADEMA moves on and accept what has happened, has happened.
Kaimu Katibu Mkuu wa CUF, Jurius Mtatiro amesema Chadema ni wachawi wa upinzani Tanzania, tena ni vigeugeu wakubwa watu wa propoganda kila siku wanaumiza vichwa vyao jinsi gani watawauwa CUF; wanaeneza propoganda CUF wamaeungana na CCM hawawezi kushirikiana nao wakati huo huo Chadema wanachukuwa pesa kutoka kwa kada wa CCM SABODO, ni sawa sawa kusema utaki kula nyama ya nguruwe lakini supu yake unakunywa.
MLIMANI TV
Chadema ni wazandiki wakubwa ndio maana me siwezi kurudi kuwa mwanachama wao tena nimegundua kuwa nilipotea.Act wazalendo ndo tumaini la wanyonge.