MAFILILI
JF-Expert Member
- Apr 28, 2011
- 2,377
- 1,194
Nawapongeza Chadema kwa ushiriki wenu wa chaguzi ndogo, mlishiriki Igunga na Uzini kikamilifu ingawa kura hazikutosha.
Leo hii mnapiga jaramba Arumeru ambako matokeo yako wazi; CCM itakuwa kidedea.
Pasipo kumung'unya maneno, Chadema mnapozwa na vijana ambao wanajaa katika mikutano yenu pasipo kuwa na kadi ya kupigia KURA eneo husika. Tunajua wengi wa vijana hao mmewaleta toka Moshi, Arusha na Mererani hivyo hawana sifa za kupiga kura.
Poleni sana na MZIDI kupata uzoefu wa kushindwa CHAGUZI Ndogo pamoja na kutumia nguvu na raslimali nyingi kupita maelezo
Leo hii mnapiga jaramba Arumeru ambako matokeo yako wazi; CCM itakuwa kidedea.
Pasipo kumung'unya maneno, Chadema mnapozwa na vijana ambao wanajaa katika mikutano yenu pasipo kuwa na kadi ya kupigia KURA eneo husika. Tunajua wengi wa vijana hao mmewaleta toka Moshi, Arusha na Mererani hivyo hawana sifa za kupiga kura.
Poleni sana na MZIDI kupata uzoefu wa kushindwa CHAGUZI Ndogo pamoja na kutumia nguvu na raslimali nyingi kupita maelezo