Niseme ukweli ,nilikuwa nawaaminia sana CHADEMA na haswa viongozi wao ,nikiwaona na magwanda na namna wanavyosema nilijiaminisha wanaweza kuuteka umma na wao kuwa mstali wa mbele.
Ila mapambano sio lelemama ,nilitegemea Mwaka huu twente faiv CHADEMA wataunga pale walipowekeza CUF kuishauri nguvu ya umma kuingia barabarani.
Zanzibar ilizizima na dunia nzima ilikuwa imekaa mguu sawa ,kwa maana tension ilikuwa high na UN flag ilikuwa rangi nyekundu ,Makao Makuu Mtendeni ilijaa wafuasi wa CUF ,mwisho wa siku CCM waliachia na kukubali Serikali ya Mseto .
Chadema haina mbinu hawawezi kuwatongoza wananchi na badala yake hutumia maneno ya vitisho tuakinukisha .kusema kweli kimenuka sasa wamekosa Uchaguzu wamepoteza , viongozi wamebaki no election ,maana hawamo tena ,waliloliomba wamelipata.
Ninachokiona ni kutafuta huruma aiza kupitia Makanisani,misikitini na kwenye vyama vya ushirika wakitafuta kuungwa mkoni.
Wapi Chadema walikosea ? Sehemu mtu anayoweza kupandisha hasira na kupigana au kupigania haki yake ni pale anapodhulumiwa hapo inakuwa ni rahisi na hili linawezekana mara tu baada ya kupiga kura na kuanza kutoka kutangazwa matokeo hapo ndio unaweza kukinukisha kikanuka na ukaweza kuingiza mguu Ikulu ,ila kwa kutegemea kutumia mkutano hio ni ngumu sana .
Kwa style ya Mheshimuwa Lisu haiwezekani zaidi ya kujitia matatani peke yake ,kindende akija kuwataja alioshirikiana nao katika kutaka kuipindua nchi .
Wanachama wa CHADEMA ni kama viluilui wa vyura mwisho wa siku wanabaki peke yao,
Ila mapambano sio lelemama ,nilitegemea Mwaka huu twente faiv CHADEMA wataunga pale walipowekeza CUF kuishauri nguvu ya umma kuingia barabarani.
Zanzibar ilizizima na dunia nzima ilikuwa imekaa mguu sawa ,kwa maana tension ilikuwa high na UN flag ilikuwa rangi nyekundu ,Makao Makuu Mtendeni ilijaa wafuasi wa CUF ,mwisho wa siku CCM waliachia na kukubali Serikali ya Mseto .
Chadema haina mbinu hawawezi kuwatongoza wananchi na badala yake hutumia maneno ya vitisho tuakinukisha .kusema kweli kimenuka sasa wamekosa Uchaguzu wamepoteza , viongozi wamebaki no election ,maana hawamo tena ,waliloliomba wamelipata.
Ninachokiona ni kutafuta huruma aiza kupitia Makanisani,misikitini na kwenye vyama vya ushirika wakitafuta kuungwa mkoni.
Wapi Chadema walikosea ? Sehemu mtu anayoweza kupandisha hasira na kupigana au kupigania haki yake ni pale anapodhulumiwa hapo inakuwa ni rahisi na hili linawezekana mara tu baada ya kupiga kura na kuanza kutoka kutangazwa matokeo hapo ndio unaweza kukinukisha kikanuka na ukaweza kuingiza mguu Ikulu ,ila kwa kutegemea kutumia mkutano hio ni ngumu sana .
Kwa style ya Mheshimuwa Lisu haiwezekani zaidi ya kujitia matatani peke yake ,kindende akija kuwataja alioshirikiana nao katika kutaka kuipindua nchi .
Wanachama wa CHADEMA ni kama viluilui wa vyura mwisho wa siku wanabaki peke yao,