Kwa namna nnavyoona CDM inavyowanufaisha viongozi wake, ambao wengi sasa wanatembelea magari ya kifahari na kujenga majumba ya kifahari nnaona CDM ni kama NGO au pressure group ambayo inatisha ili ile...
Utakuwa siyo mtu kama hulifahamu hili.Mimi sifahamu au mimi siyo mtu?
Unajua kuna vitu vingine huitaji akili ya ziada kuvitambua. Mbaya zaidi hii NGO inaangalia sana watu wa ukanda fulani na wa imani fulani.Kama usingejitokeza kwenye hii tread na kuunga mkono mada, ningeshangaa sana! Ngoja tumsubiri Ritz naye aibuke.
Hata hivyo; habari za silku Rejao?
Kwa namna nnavyoona CDM
inavyowanufaisha viongozi wake, ambao wengi sasa wanatembelea magari ya
kifahari na kujenga majumba ya kifahari nnaona CDM ni kama NGO au
pressure group ambayo inatisha ili ile...
Uchaguzi wa madiwani ulionyesha dira nzuri kuwa nchi itakuwa wapi 2015. Huoni viongozi wenu wote kwa sasa kimyaaa?? We endelea tu kujipa matumaini hapa JF!Hayo yenu ,yangu Moyoni NCHI chini ya CDM 2015
Wewe lazima utakuwa una matatizo makubwa ya akili,sidhani kama utu wa mtu unaweza kutafsiliwa kijingajinga hivi!!!Utakuwa siyo mtu kama hulifahamu hili.
Uchaguzi wa madiwani ulionyesha dira nzuri kuwa nchi itakuwa wapi 2015. Huoni viongozi wenu wote kwa sasa kimyaaa?? We endelea tu kujipa matumaini hapa JF!
Uchaguzi wa madiwani ulionyesha dira nzuri kuwa nchi itakuwa wapi 2015. Huoni viongozi wenu wote kwa sasa kimyaaa?? We endelea tu kujipa matumaini hapa JF!
Kwa namna nnavyoona CDM inavyowanufaisha viongozi wake, ambao wengi sasa wanatembelea magari ya kifahari na kujenga majumba ya kifahari nnaona CDM ni kama NGO au pressure group ambayo inatisha ili ile...
CDM ni wanaharakati wa siasa, na si wanasiasa, hili kila siku mie nalisema . Kwa maana hiyo km ni wanaharakati ni kweli NGO na si chama cha siasa
Hayo yenu ,yangu Moyoni NCHI chini ya CDM 2015