CHADEMA ni Chama kizuri sana kutuvusha hapa tulipo

TEKNOLOJIA

JF-Expert Member
Jan 6, 2014
4,305
2,559
Nimefanya uchunguzi Mdogo sana juu ya chama gani cha siasa chenye mawazo mazuri sana ya kuitoa nchi yetu ya Tanzania kutoka kwenye hali duni ya maendeleo ya kiuchumi na kijamii na Kuwa nchi ya ahadi,nikagundua kwamba CHADEMA ndio chama chenye mawazo bora kabisa kwa sasa.

Hiki chama kimeniingia sana moyoni na siku zote huwa natamani kichukue madaraka ya kuongoza nchi lakini navunjwa moyo na uongozi wa taifa wa chama hiki chini ya mwenyekiti wake Mheshimiwa Mbowe.Kwa kifupi Mheshimiwa Mbowe amefanya Kazi nzuri sana ya kudhohofisha harakati za Upinzani kuing'oa CCM madarakani,Sina maana kwamba Mheshimiwa Mbowe anatumiwa na CCM kufanya hivi,Lakini wakati mwingine nalazimika kuamini kwamba huenda Mheshimiwa huyu anatumika.

Nitakuachia vielelezo vifuatavyo hapa chini uamue kama uniunge mkono ama la:

1) Chini ya Dr Slaa CHADEMA ilikuwa moto mkali bungeni,Lakini akaja kushawashiwa aachane na Ubunge agombee urais wa nchi huku akipatiwa mgombea mwenza mwenye elimu ya darasa la saba kutoka Zanzibar, hii inaonyesha kwamba hawakuwa na dhamira ya kushinda uchaguzi.Tangu Dr Slaa aondoke Bungeni CHADEMA imepoteza makali yake.

2) Wakati wa mchakato wa katiba mpya Upinzani chini ya Mnadhimu wa Kambi rasmi ya Upinzani Mheshimiwa Tundu Lissu ulikata shauri la kugomea mchakato mzima lakini Mheshimiwa Mbowe akawaburuza wapinzani kuingia makubaliano na rais Kikwete ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM ambapo imeishia kwa Wapinzani kukosa walichokitaka na CCM kupata walichokitaka ambacho ni hii katiba pendekezwa.

3) Hakika hili suala la ESCROW ilikuwa kete muhimu ya kisiasa kwa wapinzani hasa ukitilia maanani kwamba kuna uchaguzi wa serikali za mitaa unakuja mwezi huu,CHADEMA walipaswa kuingia ndani zaidi Kwenye suala kwa kuibua majina ya watuhumiwa wote bila kujali vyeo vyao ili wananchi wawajue na hatimaye wafanye maamuzi sahihi wakati wa uchaguzi,lakini suala la ESCROW likazimwa chini ya msaada wa Mbowe kwa kile kinachoelezwa kama kukubaliana maazimio maalum na Waziri mkuu Mizengo Linda.

4) CHADEMA imeanza kupoteza wagombea wengi wa serikali za mitaa nchi nzima kutokana na makosa ya kizembe kabisa,Ajabu ni kwamba makosa ya namna hii yamekuwa yakifanywa mara kwa mara wakati wa chaguzi mbalimbali na uongozi wa chama taifa huonekani kutafuta suluhisho juu ya makosa hay a.Unaweza kudhani labda hizi ni hujuma za makusudi zinazofanywa dhidi ya chama huku viongozi wakuu wakifahamu.

5) Mgogoro wa viongozi wa CHADEMA uliopelekea baadhi ya viongozi Kufukuzwa ni dhahiri viongozi waliosimamia maamuzi haya walijua fika kwamba maamuzi haya yangekidhohofisha chama lakini wakaendelea nayo,Leo hii chama kimegundua athari za maamuzi yale na kufikiria na kufikiria kutaka kumrudisha mmoja wapo wa waathirika wa maamuzi yale ambaye ni Zitto Kabwe.Chama kingechukua njia mbadala ya kushughulikia mgogoro ule hali ya kusiasa ya chama isingifikia hapo ilipo,Simtetei Zitto however ila nasisitiza kuhusu busara na hekima vitawale Kwenye maamuzi ya viongozi wa chama ili CHADEMA iendelee kutawala katika anga za kisiasa hapa nchini na isiwe vinginevyo.

6) Kutofanyika kwa uchaguzi ulio huru na wa haki hususani kwenye nafasi za juu za uongozi (mwenyekiti) kunadhohofisha hoja za chama za kupigania demokrasia na uchuguzi huru,Nina uhakika kwamba uongozi wa CHADEMA unafahamu kuhusu madhara ya kisiasa juu ya ufanywaji wa siasa za namna hii ndani ya chama,Je wanafanya hivi makusudi kuhidhohofisha CHADEMA?

Mbaya zaidi ni kuona sura zile zile za watu wakirejea kwenye nafasi nyeti za uongozi (Katibu mkuu na Mwenyekiti) tena kutoka kanda moja.Nilidhani CHADEMA wangejirekebisha kupitia uchaguzi uliofanyika hivi karibuni kwa kuweka sura mpya za viongozi kwenye hizo nafasi muhimu lakini wapi,Ni kama vile wanawasaidia CCM kuhuisha propaganda zao za ukanda dhidi ya CHADEMA.
 
Nimefanya uchunguzi Mdogo sana juu ya chama gani cha siasa chenye mawazo mazuri sana ya kuitoa nchi yetu ya Tanzania kutoka kwenye hali duni ya maendeleo ya kiuchumi na kijamii na Kuwa nchi ya ahadi,nikagundua kwamba CHADEMA ndio chama chenye mawazo bora kabisa kwa sasa.Hiki chama kimeniingia sana moyoni na siku zote huwa natamani kichukue madaraka ya kuongoza nchi lakini navunjwa moyo na uongozi wa taifa wa chama hiki chini ya mwenyekiti wake Mheshimiwa Mbowe.Kwa kifupi Mheshimiwa Mbowe amefanya Kazi nzuri sana ya kudhohofisha harakati za Upinzani kuing'oa CCM madarakani,Sina maana kwamba Mheshimiwa Mbowe anatumiwa na CCM kufanya hivi,Lakini wakati mwingine nalazimika kuamini kwamba huenda Mheshimiwa huyu anatumika.

Nitakuachia vielelezo vifuatavyo hapa chini uamue kama uniunge mkono ama la:
1) Chini ya Dr Slaa CHADEMA ilikuwa moto mkali bungeni,Lakini akaja kushawashiwa aachane na Ubunge agombee urais wa nchi huku akipatiwa mgombea mwenza mwenye elimu ya darasa la saba kutoka Zanzibar, hii inaonyesha kwamba hawakuwa na dhamira ya kushinda uchaguzi.Tangu Dr Slaa aondoke Bungeni CHADEMA imepoteza makali yake.
2) Wakati wa mchakato wa katiba mpya Upinzani chini ya Mnadhimu wa Kambi rasmi ya Upinzani Mheshimiwa Tundu Lissu ulikata shauri la kugomea mchakato mzima lakini Mheshimiwa Mbowe akawaburuza wapinzani kuingia makubaliano na rais Kikwete ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM ambapo imeishia kwa Wapinzani kukosa walichokitaka na CCM kupata walichokitaka ambacho ni hii katiba pendekezwa.
3) Hakika hili suala la ESCROW ilikuwa kete muhimu ya kisiasa kwa wapinzani hasa ukitilia maanani kwamba kuna uchaguzi wa serikali za mitaa unakuja mwezi huu,CHADEMA walipaswa kuingia ndani zaidi Kwenye suala kwa kuibua majina ya watuhumiwa wote bila kujali vyeo vyao ili wananchi wawajue na hatimaye wafanye maamuzi sahihi wakati wa uchaguzi,lakini suala la ESCROW likazimwa chini ya msaada wa Mbowe kwa kile kinachoelezwa kama kukubaliana maazimio maalum na Waziri mkuu Mizengo Linda.
4) CHADEMA imeanza kupoteza wagombea wengi wa serikali za mitaa nchi nzima kutokana na makosa ya kizembe kabisa,Ajabu ni kwamba makosa ya namna hii yamekuwa yakifanywa mara kwa mara wakati wa chaguzi mbalimbali na uongozi wa chama taifa huonekani kutafuta suluhisho juu ya makosa hay a.Unaweza kudhani labda hizi ni hujuma za makusudi zinazofanywa dhidi ya chama huku viongozi wakuu wakifahamu.
5) Mgogoro wa viongozi wa CHADEMA uliopelekea baadhi ya viongozi Kufukuzwa ni dhahiri viongozi waliosimamia maamuzi haya walijua fika kwamba maamuzi haya yangekidhohofisha chama lakini wakaendelea nayo,Leo hii chama kimegundua athari za maamuzi yale na kufikiria na kufikiria kutaka kumrudisha mmoja wapo wa waathirika wa maamuzi yale ambaye ni Zitto Kabwe.Chama kingechukua njia mbadala ya kushughulikia mgogoro ule hali ya kusiasa ya chama isingifikia hapo ilipo,Simtetei Zitto however ila nasisitiza kuhusu busara na hekima vitawale Kwenye maamuzi ya viongozi wa chama ili CHADEMA iendelee kutawala katika anga za kisiasa hapa nchini na isiwe vinginevyo.
6) Kutofanyika kwa uchaguzi ulio huru na wa haki hususani kwenye nafasi za juu za uongozi (mwenyekiti) kunadhohofisha hoja za chama za kupigania demokrasia na uchuguzi huru,Nina uhakika kwamba uongozi wa CHADEMA unafahamu kuhusu madhara ya kisiasa juu ya ufanywaji wa siasa za namna hii ndani ya chama,Je wanafanya hivi makusudi kuhidhohofisha CHADEMA? Mbaya zaidi ni kuona sura zile zile za watu wakirejea kwenye nafasi nyeti za uongozi (Katibu mkuu na Mwenyekiti) tena kutoka kanda moja.Nilidhani CHADEMA wangejirekebisha kupitia uchaguzi uliofanyika hivi karibuni kwa kuweka sura mpya za viongozi kwenye hizo nafasi muhimu lakini wapi,Ni kama vile wanawasaidia CCM kuhuisha propaganda zao za ukanda dhidi ya CHADEMA.

Ulidhani wangeweka sura mpya?Uchakavu au upya wa sura haujawahi kuwa kigezo au sifa ya mgombea ndani ya chama chetu
 
Ulidhani wangeweka sura mpya?Uchakavu au upya wa sura haujawahi kuwa kigezo au sifa ya mgombea ndani ya chama chetu

Ben mwakani chonde chonde jipange ugombee ubunge. Ukifanikiwa kuingia bungeni patachimbika!
 
Ulidhani wangeweka sura mpya?Uchakavu au upya wa sura haujawahi kuwa kigezo au sifa ya mgombea ndani ya chama chetu

Ndani ya familia yetu tayari mama zangu walionekana kufurahishwa na Upinzani lakini tangu utokee mgogoro uliopelekea Zitto Kufukuzwa na kurudishwa uongozini kwa akina Mbowe kumewapotezea imani kabisa na wamerudi CCM,Mbaya zaidi wanaamini CHADEMA ni chama cha kikanda na kikabila,inaniuma sana,nashindwa kuitetea CHADEMA kutokana na tuhuma hizi kwasababu uongozi wa juu wa chama wanaoufahamu vizuri.Strategically CHADEMA isn't well organized, seriously!
 
Team ACT@work

You're very wrong my dear,I am not affiliated to any political party, I am independent who happened to be in love with CHADEMA's innovative and creative ideas but disappointed by the higher echelons of the party's party's leadership. Mkiendelea kuwa na close minded people hamtafika popote kisiasa,I am telling you!
 
Kwa upande wangu mimi, ninawafahamu watu ambao wameikubali CDM na kuiunga mkono especially baada ya kumshughulikia msaliti Zitto !.

Mama zako washauri wajiunge na ACT na chenyewe ni chama cha "upinzani" na haswa ukizingatia mmoja wa waanzilishi wake ni huyo huyo Zitto......

Ndani ya familia yetu tayari mama zangu walionekana kufurahishwa na Upinzani lakini tangu utokee mgogoro uliopelekea Zitto Kufukuzwa na kurudishwa uongozini kwa akina Mbowe kumewapotezea imani kabisa na wamerudi CCM,Mbaya zaidi wanaamini CHADEMA ni chama cha kikanda na kikabila,inaniuma sana,nashindwa kuitetea CHADEMA kutokana na tuhuma hizi kwasababu uongozi wa juu wa chama wanaoufahamu vizuri.Strategically CHADEMA isn't well organized, seriously!
 
Eti hatutafika popote !.

Hapo tulipofika mpaka wewe unasema kinafiki kwamba you have happened to be in love with CHADEMA unafikiri alitufikisha nani ?!

You're very wrong my dear,I am not affiliated to any political party, I am independent who happened to be in love with CHADEMA's innovative and creative ideas but disappointed by the higher echelons of the party's party's leadership. Mkiendelea kuwa na close minded people hamtafika popote kisiasa,I am telling you!
 
Eti hatutafika popote !.

Hapo tulipofika mpaka wewe unasema kinafiki kwamba you have happened to be in love with CHADEMA unafikiri alitufikisha nani ?!

Hili ndio tatizo lenu kubwa vijana wa CHADEMA, hampendi mashindano ya hoja ila mnapenda kumshambulia mtoa hoja,msiwe kama hawa vijana wa chama cha magamba ambao wapo radhi kufa kwaajili ya kuwatete mafisadi.Ni vyema mkajifunza kujitathimini ndani ya chama chenu badala ya kukubali kuburuzwa kimawazo na kundi la watu wachache!
 
Sasa hoja gani umeleta hapo ? Unaleta propaganda halafu unasema hoja !

Hili ndio tatizo lenu kubwa vijana wa CHADEMA, hampendi mashindano ya hoja ila mnapenda kumshambulia mtoa hoja,msiwe kama hawa vijana wa chama cha magamba ambao wapo radhi kufa kwaajili ya kuwatete mafisadi.Ni vyema mkajifunza kujitathimini ndani ya chama chenu badala ya kukubali kuburuzwa kimawazo na kundi la watu wachache!
 
Sasa hoja gani umeleta hapo ? Unaleta propaganda halafu unasema hoja !

Kwani kwako wewe HOJA ni nini?Nimetoa vielelezo hapo juu to make my point clear and if you have a counterargument then explain it!
 
Ndani ya familia yetu tayari mama zangu walionekana kufurahishwa na Upinzani lakini tangu utokee mgogoro uliopelekea Zitto Kufukuzwa na kurudishwa uongozini kwa akina Mbowe kumewapotezea imani kabisa na wamerudi CCM,Mbaya zaidi wanaamini CHADEMA ni chama cha kikanda na kikabila,inaniuma sana,nashindwa kuitetea CHADEMA kutokana na tuhuma hizi kwasababu uongozi wa juu wa chama wanaoufahamu vizuri.Strategically CHADEMA isn't well organized, seriously!

Unampendaje usiyeweza kumlinda na kumtetea???
 
Sina counter arguments kwenye propaganda !

Nimekujibu kwenye issues nyingine tu zilizofuata, kama hiyo ya kudai eti mama zako wamekata tamaa na upinzani ndani ya CDM eti kwa sababu Zitto amekuwa na mgogoro na CDM !. Na ndio maana nikakushauri wewe na hayo mama zako mjiunge na ACT kwani kipenzi chenu Zitto ndio alieanzisha hicho Chama !


Kwani kwako wewe HOJA ni nini?Nimetoa vielelezo hapo juu to make my point clear and if you have a counterargument then explain it!
 
Hovyo! Haya tumekusikia
 

Attachments

  • 1418123112394.jpg
    1418123112394.jpg
    59.8 KB · Views: 129
Hizo propaganda ulizotumwa na ccm kutuletea tumezishitukia tafuta zingine

You're rushing to the wrong conclusion about my political views. I have never supported CCM and I will never do that,get that point into your thick skull!
 
CDM haiwezi na haitaweza kamwe kuwa chama kizuri cha kukuvusha hapo ulipo..kwani wewe mchaga??? wenzako wanataka mangi atawale nchi wewe unaota wakuvushe hapo ulipo..ungejiuliza kwa ninni Mbowe ameng'ang'ania madarakani na jiulize kama kweli ataachia madaraka
Nimefanya uchunguzi Mdogo sana juu ya chama gani cha siasa chenye mawazo mazuri sana ya kuitoa nchi yetu ya Tanzania kutoka kwenye hali duni ya maendeleo ya kiuchumi na kijamii na Kuwa nchi ya ahadi,nikagundua kwamba CHADEMA ndio chama chenye mawazo bora kabisa kwa sasa.

Hiki chama kimeniingia sana moyoni na siku zote huwa natamani kichukue madaraka ya kuongoza nchi lakini navunjwa moyo na uongozi wa taifa wa chama hiki chini ya mwenyekiti wake Mheshimiwa Mbowe.Kwa kifupi Mheshimiwa Mbowe amefanya Kazi nzuri sana ya kudhohofisha harakati za Upinzani kuing'oa CCM madarakani,Sina maana kwamba Mheshimiwa Mbowe anatumiwa na CCM kufanya hivi,Lakini wakati mwingine nalazimika kuamini kwamba huenda Mheshimiwa huyu anatumika.

Nitakuachia vielelezo vifuatavyo hapa chini uamue kama uniunge mkono ama la:

1) Chini ya Dr Slaa CHADEMA ilikuwa moto mkali bungeni,Lakini akaja kushawashiwa aachane na Ubunge agombee urais wa nchi huku akipatiwa mgombea mwenza mwenye elimu ya darasa la saba kutoka Zanzibar, hii inaonyesha kwamba hawakuwa na dhamira ya kushinda uchaguzi.Tangu Dr Slaa aondoke Bungeni CHADEMA imepoteza makali yake.

2) Wakati wa mchakato wa katiba mpya Upinzani chini ya Mnadhimu wa Kambi rasmi ya Upinzani Mheshimiwa Tundu Lissu ulikata shauri la kugomea mchakato mzima lakini Mheshimiwa Mbowe akawaburuza wapinzani kuingia makubaliano na rais Kikwete ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM ambapo imeishia kwa Wapinzani kukosa walichokitaka na CCM kupata walichokitaka ambacho ni hii katiba pendekezwa.

3) Hakika hili suala la ESCROW ilikuwa kete muhimu ya kisiasa kwa wapinzani hasa ukitilia maanani kwamba kuna uchaguzi wa serikali za mitaa unakuja mwezi huu,CHADEMA walipaswa kuingia ndani zaidi Kwenye suala kwa kuibua majina ya watuhumiwa wote bila kujali vyeo vyao ili wananchi wawajue na hatimaye wafanye maamuzi sahihi wakati wa uchaguzi,lakini suala la ESCROW likazimwa chini ya msaada wa Mbowe kwa kile kinachoelezwa kama kukubaliana maazimio maalum na Waziri mkuu Mizengo Linda.

4) CHADEMA imeanza kupoteza wagombea wengi wa serikali za mitaa nchi nzima kutokana na makosa ya kizembe kabisa,Ajabu ni kwamba makosa ya namna hii yamekuwa yakifanywa mara kwa mara wakati wa chaguzi mbalimbali na uongozi wa chama taifa huonekani kutafuta suluhisho juu ya makosa hay a.Unaweza kudhani labda hizi ni hujuma za makusudi zinazofanywa dhidi ya chama huku viongozi wakuu wakifahamu.

5) Mgogoro wa viongozi wa CHADEMA uliopelekea baadhi ya viongozi Kufukuzwa ni dhahiri viongozi waliosimamia maamuzi haya walijua fika kwamba maamuzi haya yangekidhohofisha chama lakini wakaendelea nayo,Leo hii chama kimegundua athari za maamuzi yale na kufikiria na kufikiria kutaka kumrudisha mmoja wapo wa waathirika wa maamuzi yale ambaye ni Zitto Kabwe.Chama kingechukua njia mbadala ya kushughulikia mgogoro ule hali ya kusiasa ya chama isingifikia hapo ilipo,Simtetei Zitto however ila nasisitiza kuhusu busara na hekima vitawale Kwenye maamuzi ya viongozi wa chama ili CHADEMA iendelee kutawala katika anga za kisiasa hapa nchini na isiwe vinginevyo.

6) Kutofanyika kwa uchaguzi ulio huru na wa haki hususani kwenye nafasi za juu za uongozi (mwenyekiti) kunadhohofisha hoja za chama za kupigania demokrasia na uchuguzi huru,Nina uhakika kwamba uongozi wa CHADEMA unafahamu kuhusu madhara ya kisiasa juu ya ufanywaji wa siasa za namna hii ndani ya chama,Je wanafanya hivi makusudi kuhidhohofisha CHADEMA?

Mbaya zaidi ni kuona sura zile zile za watu wakirejea kwenye nafasi nyeti za uongozi (Katibu mkuu na Mwenyekiti) tena kutoka kanda moja.Nilidhani CHADEMA wangejirekebisha kupitia uchaguzi uliofanyika hivi karibuni kwa kuweka sura mpya za viongozi kwenye hizo nafasi muhimu lakini wapi,Ni kama vile wanawasaidia CCM kuhuisha propaganda zao za ukanda dhidi ya CHADEMA.
 
Back
Top Bottom