CHADEMA ni chama cha kumnyonya mwananchi

CHADEMA ni chama cha kumnyonya mwananchi

Administer

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2020
Posts
2,633
Reaction score
2,378
Kila shughuli wanatangaza mchango kutoka Kwa wananchi.Hiki kimekuwa chama Cha kinyonyaji ruzuku mnapata kwa Nini msitumie kwenye shughuli za kujenga chama.Kila wakati ninyi ni kuombaomba kwa wananchi imekuwa too much.

Vyama viko vingi lakini sijaona wakiombaomba kila wakati.Mbayq zaidi fedha zinazokusanywa hazieleweki zinatumika vipi.

Huu ni upigaji kama upigaji mwingine .Mlimsema chama kinapokea fedha nyingi za ruzuku Sasa hiyo ruzuku imeenda wapi?Acheni utapeli wa kisiasa
 
Kila shughuli wanatangaza mchango kutoka Kwa wananchi.Hiki kimekuwa chama Cha kinyonyaji ruzuku mnapata kwa Nini msitumie kwenye shughuli za kujenga chama.Kila wakati ninyi ni kuombaomba kwa wananchi imekuwa too much.Vyama viko vingi lakini sijaona wakiombaomba kila wakati.Mbayq zaidi fedha zinazokusanywa hazieleweki zinatumika vipi.Huu ni upigaji kama upigaji mwingine .Mlimsema chama kinapokea fedha nyingi za ruzuku Sasa hiyo ruzuku imeenda wapi?Acheni utapeli wa kisiasa
Vipi nyie CCM, hela za kuhonga vitenge na mashati, na pikipiki mnapata wapi?
 
Kila shughuli wanatangaza mchango kutoka Kwa wananchi.Hiki kimekuwa chama Cha kinyonyaji ruzuku mnapata kwa Nini msitumie kwenye shughuli za kujenga chama.Kila wakati ninyi ni kuombaomba kwa wananchi imekuwa too much.

Vyama viko vingi lakini sijaona wakiombaomba kila wakati.Mbayq zaidi fedha zinazokusanywa hazieleweki zinatumika vipi.

Huu ni upigaji kama upigaji mwingine .Mlimsema chama kinapokea fedha nyingi za ruzuku Sasa hiyo ruzuku imeenda wapi?Acheni utapeli wa kisiasa
Usitoe kama ambavyo hutoi kwenye dhehebu lako kama unalo
 
Kila shughuli wanatangaza mchango kutoka Kwa wananchi.Hiki kimekuwa chama Cha kinyonyaji ruzuku mnapata kwa Nini msitumie kwenye shughuli za kujenga chama.Kila wakati ninyi ni kuombaomba kwa wananchi imekuwa too much.

Vyama viko vingi lakini sijaona wakiombaomba kila wakati.Mbayq zaidi fedha zinazokusanywa hazieleweki zinatumika vipi.

Huu ni upigaji kama upigaji mwingine .Mlimsema chama kinapokea fedha nyingi za ruzuku Sasa hiyo ruzuku imeenda wapi?Acheni utapeli wa kisiasa
Kama serekali inakusanya kodi na inaombaomba kwa wazungu, nini cdm?
 
Hivi umeolewa na una mume na watoto.Inawezekana uliolewa bado mdogo si kwa pumba hizo
 
Sasa unalia nini wakati wanyonywaji wako happy tu!
20240115_214407.jpg
 
CCM ndio inayonyonya Watanzania kwa tozo na kodi kandamizi halafu hiyo pesa nyingi inapigwa hata CAG aliongelea upotevu matrilion ya fedha za wananchi.
Kumbe CCM wanahusika kwenye huo ufisadi kwasababu tume zinaundwa nyuma ya mikamera majibu ya hizo tume nyuma ya pazia, ( majibu hakuna)

After all Commissions of Inquiries are established for public interest
 
Kwakuwa watoaji wapo, acha watoe. Huenda hata hizo wanazotoa hawakuzipata kihalali.

Unawezaje kwa mfano kuchangia watu maelfu toka mikoa mbalimbali Eti waende Kisutu kusikiliza Kesi ya Lissu? Hapo Kisutu ni uwanja wa Taifa? Una agenda gani nyuma yake?

Uzuri intelligencia ya Polisi haijalala.
 
Kila shughuli wanatangaza mchango kutoka Kwa wananchi.Hiki kimekuwa chama Cha kinyonyaji ruzuku mnapata kwa Nini msitumie kwenye shughuli za kujenga chama.Kila wakati ninyi ni kuombaomba kwa wananchi imekuwa too much.

Vyama viko vingi lakini sijaona wakiombaomba kila wakati.Mbayq zaidi fedha zinazokusanywa hazieleweki zinatumika vipi.

Huu ni upigaji kama upigaji mwingine .Mlimsema chama kinapokea fedha nyingi za ruzuku Sasa hiyo ruzuku imeenda wapi?Acheni utapeli wa kisiasa
Anayechangia hajashurutishwa, hajalazimishwa!
 
Bora mchango wa kutoa kwa hiari kuliko kukamuliwa matozo kibao
 
Hili neno kunyonya liangaliwe upya aisee...😂
 
Kila shughuli wanatangaza mchango kutoka Kwa wananchi.Hiki kimekuwa chama Cha kinyonyaji ruzuku mnapata kwa Nini msitumie kwenye shughuli za kujenga chama.Kila wakati ninyi ni kuombaomba kwa wananchi imekuwa too much.

Vyama viko vingi lakini sijaona wakiombaomba kila wakati.Mbayq zaidi fedha zinazokusanywa hazieleweki zinatumika vipi.

Huu ni upigaji kama upigaji mwingine .Mlimsema chama kinapokea fedha nyingi za ruzuku Sasa hiyo ruzuku imeenda wapi?Acheni utapeli wa kisiasa
Kama TANU tu wakati wa kudai uhuru wananchi walichangia Sana...
 
Kwakuwa watoaji wapo, acha watoe. Huenda hata hizo wanazotoa hawakuzipata kihalali.

Unawezaje kwa mfano kuchangia watu maelfu toka mikoa mbalimbali Eti waende Kisutu kusikiliza Kesi ya Lissu? Hapo Kisutu ni uwanja wa Taifa? Una agenda gani nyuma yake?

Uzuri intelligencia ya Polisi haijalala.
Kutoa ni moyo, hata kuhoji tuliandaliwa kuto kuhoji tena tatizo la kukataliwa kuhoji linaanzia kwenye ngazi ya familia kuna vitu ukihoji uliambiwa/utaambiwa kama umekua uondoke
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom