nickname
JF-Expert Member
- Dec 20, 2009
- 544
- 147
Kwa idadi ya viti vilivyochukuliwa na CHADEMA mpaka sasa kwenye uchaguzi mkuu 2010 na kwa kura za uraisi atakazopata Dk.Slaa nina matumaini CHADEMA wataongeza wabunge wengi wa viti maalum na hivyo CHADEMA kuwa na wabunge wengi katika bunge lijalo la 2010 - 2015.
Mimi nawashukuru sana CHADEMA chini ya MBOWE,ARFI,SLAA,ZITTO ,MNYIKA,wabunge wa bunge lililopita na wanachama wote wa CHADEMA kwa kufanikiwa kukiuza chama kwa wananchi na wananchi kuweza kukikubali CHADEMA na kuwa chama KIKUU cha USHINDANI Tanzania.
Kwa viti vya Ubunge na Udiwani ilivyopata hadi sasa katika uchaguzi mkuu 2010 wa Tanzania,CHADEMA imeweza kufuta ule UVUMI uliokuwa ukienezwa na CCM kuwa ni chama cha kikabila.
Mimi nasema hivi CHADEMA SIO chama cha kikabila BALI ni chama cha Umma wa KITANZANIA kinachoamini katika Nguvu ya umma.
Kwa mujibu wa matokeo mpaka naandika thread hii CHADEMA imeweza kupata viti vya Ubunge katika mikoa ifuatayo
ARUSHA,MWANZA,DAR ES SALAAM,RUKWA,RUVUMA ,SHINYANGA,KILIMANJARO,KAGERA,KIGOMA,MBEYA ,MOROGORO na IRINGA.Hii ni mikoa ya Kanda zote za Tanzania isipokuwa kanda ya kati na Visiwani Zanzibar.
CHADEMA NI CHAMA CHA KITAIFA NA WALA SIO CHAMA CHA UPANDE MMOJA TU WA KASKAZINI.MUNGU IBARIKI TANZANIA,MUNGU IBARIKI CHADEMA,MUNGU WABARIKI WATANZANIA WAENDELEE KUISUPPORT CHADEMA.AMEN
Mimi nawashukuru sana CHADEMA chini ya MBOWE,ARFI,SLAA,ZITTO ,MNYIKA,wabunge wa bunge lililopita na wanachama wote wa CHADEMA kwa kufanikiwa kukiuza chama kwa wananchi na wananchi kuweza kukikubali CHADEMA na kuwa chama KIKUU cha USHINDANI Tanzania.
Kwa viti vya Ubunge na Udiwani ilivyopata hadi sasa katika uchaguzi mkuu 2010 wa Tanzania,CHADEMA imeweza kufuta ule UVUMI uliokuwa ukienezwa na CCM kuwa ni chama cha kikabila.
Mimi nasema hivi CHADEMA SIO chama cha kikabila BALI ni chama cha Umma wa KITANZANIA kinachoamini katika Nguvu ya umma.
Kwa mujibu wa matokeo mpaka naandika thread hii CHADEMA imeweza kupata viti vya Ubunge katika mikoa ifuatayo
ARUSHA,MWANZA,DAR ES SALAAM,RUKWA,RUVUMA ,SHINYANGA,KILIMANJARO,KAGERA,KIGOMA,MBEYA ,MOROGORO na IRINGA.Hii ni mikoa ya Kanda zote za Tanzania isipokuwa kanda ya kati na Visiwani Zanzibar.
CHADEMA NI CHAMA CHA KITAIFA NA WALA SIO CHAMA CHA UPANDE MMOJA TU WA KASKAZINI.MUNGU IBARIKI TANZANIA,MUNGU IBARIKI CHADEMA,MUNGU WABARIKI WATANZANIA WAENDELEE KUISUPPORT CHADEMA.AMEN