CHADEMA ni akina nani?

CHADEMA ni akina nani?

hatujiungi na chama kwa kuangalia waasisi tunangalia MISSION NA VISION waasisi waweza kuwa wazuri lakini chama sasa ni KIBOVU

Misheni na visheni ni maandishi tu, jambo la muhimu ni kujua waanzilishi wa chama kwani itakuwa ni njia ya kuelekea kujua chama kinaamini katika nini, kumbukeni hata hizo misheni na visheni vinahitaji watu ili kutekelezwa hivyo watu ni muhimu zaidi ya hizo misheni na visheni zenu. Kwani kuna nini mnachokificha kuhusu waasisi wa CDM?
 
Shukrani kwa wote waliochangia.

Inapoitaja CUF, huwezi acha kumtaja Prof. I. Lipumba, Seif Sharif, n.k

Unapoitaja UDP, hakika huwezi acha kumtaja Mzee J. Cheyo, n.k

Unapoigusa CCM, lazima uanze na TANU + Afroshiraz, na waasisi wake kama Baba wa Taifa, Kawawa, Bibi Titi, Karume, Seti Benjamin, n.k

Kwanini, hamuokenani kukubali kutizama nyuma ya pazia la CDM.

"Tell me your friend, and will tell you................"

Red:
If your friends are RA, EL, AC, etc so what (not who) are you!
 
Back
Top Bottom