CHADEMA ni akina nani?

Unaitaji chama au unaitaji wasisi wa vyama,kukuweka sawa tu Mrema si mwasisi wa NCCR wa Lipumbumba si mwasisi wa CUF,
unamjibu wanini anaeleta PUMBA UNAJIBU PUMBA! HATA MAKAMBA ALISEMA YEYE NI MTAALAMU WA MATUSI!
 
usiwe mfupi kimawazo kama kidole kidogo cha muguu! huoni nchi ilivyo mpaka uambiwe? Re-think
 
Shukrani kwa wote waliochangia.

Inapoitaja CUF, huwezi acha kumtaja Prof. I. Lipumba, Seif Sharif, n.k

Unapoitaja UDP, hakika huwezi acha kumtaja Mzee J. Cheyo, n.k

Unapoigusa CCM, lazima uanze na TANU + Afroshiraz, na waasisi wake kama Baba wa Taifa, Kawawa, Bibi Titi, Karume, Seti Benjamin, n.k

Kwanini, hamuokenani kukubali kutizama nyuma ya pazia la CDM.

"Tell me your friend, and will tell you................"

CHADEMA ni wananchi wote wenye uzalendo na nchi yao na ndiyo waanzilishi kwa upande wa nyuma ya pazia!
 
Ndugu wana JF

Ninahitaji kujiunga na chama cha siasa hapa kwetu. Lakini, kabla sijafanya maamuzi ni chama kipi nijiunge nacho, inanibidi nitizame nyuma ya pazia la kila chama cha siasa hapa nchini "lifting of the vail".

1. Nilipofunua pazia la TLP na NCCR-Mageuzi, nikamkuta Mh. Lyatonga Mrema, n.k

NCCR sio Mrema bali ni: Mabere Marado, Christopher Mtikila, James Mbatia, Prince Bagenda, Dr. Ringo Tenga, Nindi Chimoto, Ndimara Tegambwage, Anthony Komu, Kibibi Senyagwa, Joseph Selasini, Evodius Mmanda, etc.

TLP sio MREMA bali ni Leo Lwekamwa na wenzake.

2. Pazia la CCM: Niwewakuta waasisi akina Baba wa Taifa, Mzee Karume, n.k

3. C.U.F nimewakuta akina Prof, n.k

CUF sio Lipumba bali ni James Mapalala, Alec Chemponda, Kashaju Bazigiza, Kasanga Tumbo, n.k
4. Naomba kujua ni nani na wako wapi waasisi wa CHADEMA?

Nisaidieni, maana ninataka kujiunga na chama cha siasa haraka iwezekanavyo

Kwa nini vijana wetu hamjui historia?
 
Unataka kujiunga na chama kutokana na waasis wake. Kwanza NCCR Mageuzi mrema si mwasis kwa taarifa yako. Halaf kama unajiunga na chama kwa kuwajua waasis wake nakushaur kajiunge na wale wavua gamba lakin sumu ni ileile maana ndo umepatia waasisi wake, kwingine kote ulikotaja umekosea. Nakuakia kila la kheri ili muongezeke mtakaokimbia Nchi baada ya 2015.
 
Nani alikwambia nyuma ya ccm, tlp , nccr, na udp kuna akina nani? si umesema umefunua nyuma ya pazia ukawa jua ni akina nani waasisi??? funua basi na pazia la chadema utawajua waasisi. Kama umeweza kuwajua waasisi wa ccm, tlp, nccr, na udp bila kuuliza, huna haja ya kuuliza a chadema pia. we funua pazia utawakuta watanzania
 
Unaitaji chama au unaitaji wasisi wa vyama,kukuweka sawa tu Mrema si mwasisi wa NCCR wa Lipumbumba si mwasisi wa CUF,
Mi sioni sababu za kutafuta waasisi kwa maana chama hubadilika kufuatana na wakati na viongozi watakaokuwa madarakani. Si kweli waasisi wa CCM ni Nyerere na Karume bali ni Nyerere na Aboud Jumbe Bn Mwinyi. CCM ilizaliwa mwaka 1977 wakati huo Mzee Karume alikuwa ameshafariki miaka sita nyuma (Alifariki kwa kupigwa risasi 1971). Kwa taarifa yako tu CCM ya leohii si ile aliyoiasisi Nyerere iliyokuwa ikisema Rushwa kwangu ni mwiko sitapokea wala kutoa rushwa, tena wakati huo mtu akiwa na utajiri usio na maelezo ilikuwa sababu tosha ya kutokuwa na sifa za kuwa kiongozi hata wa kata; tofauti na sasa ambapo sifa ya kuwa kiongozi ndani ya CCM ni kuwa fisadi, mwizi, kibakauchumi na mlaghai. CCM ya leo ni mateka wa wezi, mabepari, wahujumu uchumi na maharamia waliozagaa nchi nzima ambao kamwe haiwezi kujivua kwa maana wao ndiyo walioshika hatamu na wafadhili wakuu.
Kuhusu NCCR umeshajibiwa kwamba Mrema hakuwa mwasisi wala hajawahi kuasisi chama chochote cha siasa zaidi ya kudandia ili kuvunja "move" ya vyama hivyo katika harakati za kuelekea kwenye ukombozi kamili walaLipumba na mwenzie Seif si waasisi wa hiyo mnayoiita CUF ambayo iliasisiwa na Mzee James Mapalala alliyeporwa chama na uongozi kuwapisha vibaraka wa Usultani wa Oman.
Sera za CUF na CCM sasa ni kama sahani na kawa na wanafunzi wazuri na watiifu kwa CCM kwa dhumuni moja tu la "Hatuwezi kuwaachia nguruwe wale mihogo peke yao" Upo hapo?????
 
Chadema hatukutaki, nenda ccm, chadema ni chama makini na members wake hawajiungi kwa kuangalia nani mwenye chama, coz wenye chadema ni sisi wananchi na wanachama wa chadema..na si mtu au watu flani flani.
 
Ndugu wana JF

Ninahitaji kujiunga na chama cha siasa hapa kwetu. Lakini, kabla sijafanya maamuzi ni chama kipi nijiunge nacho, inanibidi nitizame nyuma ya pazia la kila chama cha siasa hapa nchini "lifting of the vail".

1. Nilipofunua pazia la TLP na NCCR-Mageuzi, nikamkuta Mh. Lyatonga Mrema, n.k

2. Pazia la CCM: Niwewakuta waasisi akina Baba wa Taifa, Mzee Karume, n.k

3. C.U.F nimewakuta akina Prof, n.k

4. Naomba kujua ni nani na wako wapi waasisi wa CHADEMA?

Nisaidieni, maana ninataka kujiunga na chama cha siasa haraka iwezekanavyo
niliwahi sikia kuwa ni mtei na bob makani, then makani (amefariki) na mtei akamwachia mkwewe mbowe, mbowe nae akamwita shemejie ndesa.
 
Ndugu wana JF

Ninahitaji kujiunga na chama cha siasa hapa kwetu. Lakini, kabla sijafanya maamuzi ni chama kipi nijiunge nacho, inanibidi nitizame nyuma ya pazia la kila chama cha siasa hapa nchini "lifting of the vail".

1. Nilipofunua pazia la TLP na NCCR-Mageuzi, nikamkuta Mh. Lyatonga Mrema, n.k

2. Pazia la CCM: Niwewakuta waasisi akina Baba wa Taifa, Mzee Karume, n.k

3. C.U.F nimewakuta akina Prof, n.k

4. Naomba kujua ni nani na wako wapi waasisi wa CHADEMA?

Nisaidieni, maana ninataka kujiunga na chama cha siasa haraka iwezekanavyo

Muasisi wa CUF ni Mapalala akina Seif na Lipumba ni sawa na JK, Mkama wa ccm.

CHADEMA -muasisi wake ni Edwin Mtei baba mkwe wa Freeman Mbowe, Mbowe ni mwenyekiti wa CHADEMA kwa sasa. Chadema imewahi kuwa na mwenyekiti mwingine Bob Makani.
 
Mwasisi wa Chadema ni baba mkwe wa Mh Mbowe yaani ni yule MTEI aliyekuwa Gavana wa benki kuu enzi za mwalimu.
 
Ndugu wana JF

Ninahitaji kujiunga na chama cha siasa hapa kwetu. Lakini, kabla sijafanya maamuzi ni chama kipi nijiunge nacho, inanibidi nitizame nyuma ya pazia la kila chama cha siasa hapa nchini "lifting of the vail".

1. Nilipofunua pazia la TLP na NCCR-Mageuzi, nikamkuta Mh. Lyatonga Mrema, n.k

2. Pazia la CCM: Niwewakuta waasisi akina Baba wa Taifa, Mzee Karume, n.k

3. C.U.F nimewakuta akina Prof, n.k

4. Naomba kujua ni nani na wako wapi waasisi wa CHADEMA?

Nisaidieni, maana ninataka kujiunga na chama cha siasa haraka iwezekanavyo

Hivi jamani kama ni lazima kuwajua waasisi wa CDM kabla hujajiunga, Si uended tu kwenye tovuti yao? Kwa nini ulilete hapa JF? Mbona nahisi unaleta majungu fulani tu! Just Google CHADEMA!
 
sio lazima uwe na chama unaweza kujiunga ktk kampeni za rostamu na lowasa za kuifilisi nchi na ukafanikiwa kilaiiiini...........au waweza kujiunga na magazeti ya rostamu kwa ajili ya kutukana na kudharirisha watz na kutoa habari za uongo na upotoshaji
 
nenda kwenye mtandao WWW Chadema.net then pakua katiba, dira na miongozo yake, anaglia kama inaendana na wewe jiunge ...la sivyo tafuta kwingine kunakokufaa usije kupotea njia kama SHANGWE CHITAMBALA!
 
Sidhani kama itakusaidia saaaana kuingia au kutoingia CHADEMA cause mwasisi wa Chama si CHAMA.Chama ni kundi la watu fulani lililosajiliwa chini ya sheria ya vama vya siasa kwa lengo la kushika madaraka ya nchi ili wapate fursa ya kupanga mikakati ya maendeleo ya nchi pamoja na sera.Kwa hiyo Chama ni zaidi ya Mwasisi kwa sababu hata yeye anaweza kutimuliwa au kujitoa kama alivyofanya Mapalaa wa CUF.Kwa sababu nataka ujiunge na Chama cha watu makini,watu waliochoshwa na maisha maumu,watu wanaoweza kuleta mabadilko katika nchi hii,nakutajia mwasisi wa CDM kuwa ni EDWIN MTEI,alishawahi kuwa Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania katika utawala wa MWALIMU.
 
Uamuzi wa kujiunga CHAMA cha siasa ni maisha, kama yalivyo maisha mengine.

Mfano, kwenye ndoa au ata mahusiano ya kawaida uwa kila mmoja anakuwa na zoezi la kumjua mwenzie. Kwani wasifu (c.v) si muhimu wakati wa kumuajiri mfanyakazi?

Profile ya vyama na waasisi wao ni miongoni mwavigezo muhimu katika kuwapata wanachama.

Mimi tu kuulizia ni nani wako nyuma ya pazia la CDM, reaction inakuwa negative...jamani!

Negative response haiwezi kunipelekea kufanya maamuzi. Niambieni ni nani wako nyuma ya pazia la CDM.

hatujiungi na chama kwa kuangalia waasisi tunangalia MISSION NA VISION waasisi waweza kuwa wazuri lakini chama sasa ni KIBOVU
 
Back
Top Bottom