Nyami2010
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 227
- 50
Ndugu wana JF
Ninahitaji kujiunga na chama cha siasa hapa kwetu. Lakini, kabla sijafanya maamuzi ni chama kipi nijiunge nacho, inanibidi nitizame nyuma ya pazia la kila chama cha siasa hapa nchini "lifting of the vail".
1. Nilipofunua pazia la TLP na NCCR-Mageuzi, nikamkuta Mh. Lyatonga Mrema, n.k
2. Pazia la CCM: Niwewakuta waasisi akina Baba wa Taifa, Mzee Karume, n.k
3. C.U.F nimewakuta akina Prof, n.k
4. Naomba kujua ni nani na wako wapi waasisi wa CHADEMA?
Nisaidieni, maana ninataka kujiunga na chama cha siasa haraka iwezekanavyo
Ninahitaji kujiunga na chama cha siasa hapa kwetu. Lakini, kabla sijafanya maamuzi ni chama kipi nijiunge nacho, inanibidi nitizame nyuma ya pazia la kila chama cha siasa hapa nchini "lifting of the vail".
1. Nilipofunua pazia la TLP na NCCR-Mageuzi, nikamkuta Mh. Lyatonga Mrema, n.k
2. Pazia la CCM: Niwewakuta waasisi akina Baba wa Taifa, Mzee Karume, n.k
3. C.U.F nimewakuta akina Prof, n.k
4. Naomba kujua ni nani na wako wapi waasisi wa CHADEMA?
Nisaidieni, maana ninataka kujiunga na chama cha siasa haraka iwezekanavyo