CHADEMA Ngara yaendelea kutishia uhai wa CCM

CHADEMA Ngara yaendelea kutishia uhai wa CCM

Ccm hawafai kuendelea kuongoza taifa letu, wameharibu mfumo wetu wa elimu, na kwa sasa wamewaingiza wanasiasa kwenye elimu, wanalazimisha kufaulisha wanafunzi hata wasio na uwezo darasani! Ccm ya sasa ni majanga matupu!
 
Nyie Chadema na CCM ni kunguru tu. Tunataka chama kipya. Plus inashanganza kuona watu wanashabiki viongozi wenye ma scandal wa Chadema. Nchi inahitaji chama kipya na wanasiasa makini.
 
Well done. Moto chini mpaka kieleweke. CDM NI KATIBA. Mapungufu ya viongozi yako kwa kila mtu.
 
Asante kwa majibu yako kaka ila kumbuka tu that life goes on beyond 2015
 
Mbona unatukana mkuu ngoja dawa ikuingie vizuri

Hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha Hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha
 
Mie nikiona haya huwa naanza jiuliza maswali, je hao wanaohama ccm kwenda chadema, wanajua mwongozo wa chadema. Pili wanakubali kuenenda na mwongozo wa Chadema? Au do mambo ya danganya toto!!!???

Ulitakiwa pia zaidi kuuliza kuhusu wale wa naohama cdm kaenda ccm
 
Nyie Chadema na CCM ni kunguru tu. Tunataka chama kipya. Plus inashanganza kuona watu wanashabiki viongozi wenye ma scandal wa Chadema. Nchi inahitaji chama kipya na wanasiasa makini.

Anzisha cha familia yenu?
 
Toa utoto wewe ukombozi unaujua ww!

Mbona povu? saa ya ukombozi ni sasa! watu wa Ngara maeneo ya Mgoma,Kumutana,Bukiliro,Mabawe,Mbuba,kanazi,Buhororo,Remela,Muhweza,Benaco,Ziroziro,K9,Mkibogoye,Kabanga hadi Murusagamba wameiona nuru mpya kupitia CDM! hongereni sana watu wa Ngara kwa kujitambua na kumkana shetwani (ccm) na mambo yake yote!
 
du wana ngara mmeamua kufanyamabadiliko.hongerenisana.
 
Tanzania haiwezi kupiga hatua CCM ikiwa hai! il I tusonge mbele lazima CCM IFE!
 
tumechoshwa na chama kimoja kutawala kwa ufisadi uliokithiri na majigambo yao kifirauni
 
Back
Top Bottom