CHADEMA Ngara yaendelea kutishia uhai wa CCM

CHADEMA Ngara yaendelea kutishia uhai wa CCM

WILLAFRICA

JF-Expert Member
Joined
Nov 12, 2013
Posts
4,027
Reaction score
933
Hali imendelea kuwa tete kwa chama cha mapinduzi c.c.m,baada ya chadema ni msingi kuendelea kuvuna wanachama zaidi ya elfu na miambili(1200) ndani ya siku mbili tu .


'ambapo chini ya kijana mpambanaji kenedy staphord m/kiti wa chadema (w), ilifanyika mikutano katika vijiji vyote vya kata ya kabanga.

"mbali na hilo alhamisi ana enda kupokea wanachama wa c.c.m mia tatu hamsini katika kijiji cha kumgamba, kata ya nyakisasa.

Ambao wamehama chama cha c.c.m baada ya kukerwa na serikali ya kijiji kuuza msitu wa kijiji chao,
wananchi hao katika barua yao wanasema kuwa walimwandikia bwana staphord kwakuwa wanaimani na chadema ni chama chenye kuwa tetea wanyonge wa nchi hii na kina uwezo wa kuchukua maamuzi magumu.
Kwani walisha mwandikia mkuu wa wilaya bwana ,costantin kanyasu lakini hakuna alicho wasaidia zaidi ya ujanja ujanja wa njoo kesho njoo kesho,

hivyo wanasema wamechoshwa na viongozi wote wa c.c.m na serikali yote kwa ujumla.

Source:0782593011 m/kiti chadema (w)
 
...Kazi nzuri sana Makamanda wa Ngala

Hapa sombetini ccm haionekani nasikia wameingia mitini!!!!

kura mbili tu
 
Na bado wiki hili watahama vigogo wawili wa c.c.m ngala.
 
Mie nikiona haya huwa naanza jiuliza maswali, je hao wanaohama ccm kwenda chadema, wanajua mwongozo wa chadema. Pili wanakubali kuenenda na mwongozo wa Chadema? Au do mambo ya danganya toto!!!???
 
2015 imewadia na cccm pa kwenda hawana labda Samunge kwa babu wao

CDM ni msingi ni soooo!
 
mie nikiona haya huwa naanza jiuliza maswali, je hao wanaohama ccm kwenda chadema, wanajua mwongozo wa chadema. Pili wanakubali kuenenda na mwongozo wa chadema? Au do mambo ya danganya toto!!!???

ukianza safari kilakitu ni mbele kwa mbele, tunahitaji timu ya ushindi kuchukua nchi mikononi mwa c.c.m.
 
nafarijika sana kusikia habari kama hizi, vipi?, akina sebabilina na methusela Jeremiah Gachocha wanasemaje?, make huu music siyo mchezo.
namsikitika sana ndugu Hamuduni dereva wa ccm ngara karibia sasa atakosa kazi,

Angejiongeza mapema akajiunga kwenye haya mapambano. m4c mbele kwa mbele
 
...Kazi nzuri sana Makamanda wa Ngala

Hapa sombetini ccm haionekani nasikia wameingia mitini!!!!

kura mbili tu

Hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha
 
Dah ! Hii cdm ni msingi hii ! Kazi ipo .

Chadema ni msingi inapukutisha magamba. .kuna picha waliweka makamanda wanakusanya kadi za magamba kwenye kifurushi cha kanga ya magamba Hahaha hahaha hahaha hahaha nilicheka sana
 
nafarijika sana kusikia habari kama hizi, vipi?, akina sebabilina na methusela jeremiah gachocha wanasemaje?, make huu music siyo mchezo.
Namsikitika sana ndugu hamuduni dereva wa ccm ngara karibia sasa atakosa kazi,

angejiongeza mapema akajiunga kwenye haya mapambano. m4c mbele kwa mbele

hao wote sasa hivi ni cha mtoto, ngala ya leo siyo kama ya mwaka arobaini na saba.

Kamanda staphord ni mwanaukombozi bora na makini.
 
Pipozzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzz



pawaaaaaaaaaaaaa
 
hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha

na mimi naongeza "ha!"
 
je after 2015 what next? hebu tuache kuwa kama bendera, kila upepo ukivuma twaelekea bila kuwa na msingi
1. what does CHADEMA STAND FOR??????????????(BELIEF/VALUE)
2. DOES IT LIVE BY ITS CORE BELIEF/VALUE?
 
je after 2015 what next? Hebu tuache kuwa kama bendera, kila upepo ukivuma twaelekea bila kuwa na msingi
1. What does chadema stand for??????????????(belief/value)
2. Does it live by its core belief/value?

nina wasiwasi na wewe kijana wangu hebu hatakama ni div:5 basi ujipanue kifikira,siyo unakurupuka tu!
 
Back
Top Bottom