CHADEMA Ngara yaendelea kutishia uhai wa CCM

CHADEMA Ngara yaendelea kutishia uhai wa CCM

Mwaka huu hadi wana c.c.yeem wote wa tubu dhambi za ujangili,utekaji,ufisadi,na uuza madawa ya kulevya.
 
Naham sana Chadema ishinde mwaka 2015 nione hizo porojo zitaishia wapi na ahadi. Watu wanadhani kuongoza nchi ni lelemama. naomba sana ili nione nayoyafikiria
 
Naham sana Chadema ishinde mwaka 2015 nione hizo porojo zitaishia wapi na ahadi. Watu wanadhani kuongoza nchi ni lelemama. naomba sana ili nione nayoyafikiria

Kuomba tu hakutoshi mkuu,hamasisha watu wajiandikishe kwenye daftali la kudumu la wapiga kura ili tukamilishe kazi hii,"tupeni nchi tuongoze na kama tukishindwa tupigeni chini mara moja" maneno ya kamanda wa anga hayo.

Lets make it happen mkuu
 
safi sana watu wangu wa ngara,nadhani hata watu wangu wa Remela na Kanazi wameshajitambua!!! viva cdm Ngara!
 
nafarijika sana kusikia habari kama hizi, vipi?, akina sebabilina na methusela Jeremiah Gachocha wanasemaje?, make huu music siyo mchezo.
namsikitika sana ndugu Hamuduni dereva wa ccm ngara karibia sasa atakosa kazi,

Angejiongeza mapema akajiunga kwenye haya mapambano. m4c mbele kwa mbele

Yaan Hamdun kijana mdogo anakua CCM?jamani msisahau kwenda kwetu Ruganzo,big up
 
chezea chadema wewe ccm ngara wajiandae upepo wa doctor unakuja huko. waulize mwanza.
 
chezea chadema wewe ccm ngara wajiandae upepo wa doctor unakuja huko. Waulize mwanza.

tunamsubili sana raisi wetu wa kweli wa kuanzia 2015.


"dk.slaa"



'karibu sana ngala dk.slaa.
 
chezea chadema wewe ccm ngara wajiandae upepo wa doctor unakuja huko. waulize mwanza.
 
sio wazee wa magamba waje wawadanganye na Tshirt .kofia na fulana. arafu mbadilike. msikubali kuwa biskut. wanangara. mbele kwa mbele kurudi nyuma mwiko.
 
Saa ya ukombozi ndiyo sasa imefika kwa wana ngara wote kusema "GWAYAKA" ndani ya PEOPLE'S POWER
 
Saa ya ukombozi ndiyo sasa imefika kwa wana ngara wote kusema "GWAYAKA" ndani ya PEOPLE'S POWER

Yaani nimefurahi sana kuona ukombozi umefika kwetu,japo niko Arusha lakin nilkua naumia sana nikienda Ngara hakuna hata dalili,kweli ukombozi umeingia kwetu
 
tunamsubili sana raisi wetu wa kweli wa kuanzia 2015.


"dk.slaa"



'karibu sana ngala dk.slaa.

Msaada: Sidhani kama Kuna wilaya inaitwa Ngala hapa Tanzania! Au labda una maana ya Ngara iliyopo kagera ebu weka sawa hapo
kamanda
 
Back
Top Bottom