Chadema ndani ya mji mdogo wa Katoro/Buseresere

HAYUPO WAKUZUIA MABADILIKO TANZANIA niwakati wa mnyonge kupata uhuru wakweli kutoka kwa wakoloni CCM..!!..Usually
when people are sad they don't do anything they just CRY over their
condition but when they gel Angry they bring about a change" (MALCOLM X)
.
 
Mama .

Nyie wabunge mkiwa Bungeni mnalipwa posha kila siku. Je huko anawalipa nani Posho? na vipi hao wnaowahamasisha wanalipwa na nani? au ndio kuwadanganya watu wakati nyie mpo kazini?

Ndio ujue kuwa chema chajiuza kibaya chajitembeza. CCM mpaka wabebe watu kwenye malori, wawape na hela kabisa wanapopanda, wagawe fulana na Tshirts, na waandae burudani kama The comedy na bongo flava ndio watu wahudhurie lakini CHADEMA wananchi wanahamasishana wenyewe na wanakichangia. Kwa wewe uliyezoea posho nenda CHAMA CHA MAFISADI (CCM) ingawa unakaribishwa pia CHADEMA ila hakuna posho.
 

Kumbuka viwanja na majengo hayo wanayo kinyume cha sheria kwa vile yalijengwa kwa nguvu za watanzania wote wakati wa chama kimoja. Tutakapoanza utekelezaji wa ripoti ya tume ya Nyalali, basi CCM watabaki hawana hata ofisi.
 
Mama .

Nyie wabunge mkiwa Bungeni mnalipwa posha kila siku. Je huko anawalipa nani Posho? na vipi hao wnaowahamasisha wanalipwa na nani? au ndio kuwadanganya watu wakati nyie mpo kazini?
kama kawaida yako kijana wa vapour tupu.
 

Ujumbe mzito lakini unajua wabunge wengi wa CCM ni waganga njaa ukimwambia hakuna ruzuku ataacha ubunge mara moja. Nakumbuka mwaka 2002 niliandaa semina ya wabunge kuhusiana na umuhimu wa kutungwa kwa sheria ya mazingira. Mwenyekiti wa Kamati ya Mazingira wa wakati huo, ambaye sasa ni Spika, aliambia kuwa wabunge hawawezi kuhudhuria bila posho ya 60,000/-. Hiyo ni juu ya posho ya 60,000/- waliyokuwa wanapokea kwa siku. Hatukuwa na ujanja licha ya kuwafuata Dodoma ilibidi tuwape posho hiyo. Nashukuru miaka miwili baadae sheria hiyo ilipita. Nilichoelewa ni kuwa taasisi yoyote ile ya serikali, kijamii na binafsi inayoandaa semina kwa wabunge ni lazima iwalipe posho ya mahudhurio. Nadhani wabunge wa Chadema watapinga ulipwaji wa posho hizi kwa vikao vinavyofanyika Dodoma kwani huku ni sawa na kupokea posho mara mbili.

Kitu kingine kama mtu una semina ambayo umewaalika wabunge hiyo ni balaa kwani wengi wao huja na risiti za kununulia mafuta na usafiri ambazo ni za ajabu kweli kweli. Ni lazima suala hili nalo lithibitiwe.
 
Peoplessssssss powerrrrr,hakunaaaaaaaaa kulalaaaaaaaa mpakaaaaa kielewekeeeeee kikieleweka Ikuluuuuuu kwa maendeleo ya Watanzania
 
Mama .

Nyie wabunge mkiwa Bungeni mnalipwa posha kila siku. Je huko anawalipa nani Posho? na vipi hao wnaowahamasisha wanalipwa na nani? au ndio kuwadanganya watu wakati nyie mpo kazini?

Hata wakilipwa ni haki yao. unafikiri wanakula nini? wanalala wapi? kinacholipwa sio kwa ajili ya ufujaji wa fedha ila chakula na malazi unapokuwa nje ya kituo chako cha kazi kitaalam inaitwa night out allowance/ per diem
 

Nakufagilia mkuu kwa kutoa maelezo na uchambuzi wa kina; mwenye akili kakuelewa-asiyeelewa hawezi kueleweshwa na yeyote.
 
Naamini kuna mijitu humu jamvini inalipwa kwa kuandika upupu..haingii akilini CDM inaendeleza uzushi..hivi ni mTZ gani haguswi na ugumu huu wa maisha ulisababishwa na hawa wadhalimu CCM?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…