Una uhakika na unacho kinena?
Muulize Padri Slaa atakuonyesha sponsor wote wanaomdhamini
Kweli hafifu kichwani kwako. Fundisho kwa wengine majina yanaumba. Jamaa kajita hafifu na kweli si mnaona hazitoshi.Mama .
Nyie wabunge mkiwa Bungeni mnalipwa posha kila siku. Je huko anawalipa nani Posho? na vipi hao wnaowahamasisha wanalipwa na nani? au ndio kuwadanganya watu wakati nyie mpo kazini?
hongera napend sana unavyotupa habariinaonesha mkutano utakuwa mzuri sana kwani maandalizi mazuri yamefanyika.baadhi ya wabunge tuko hapa twiga lodge tunasubiri muda ufike.jana nako chato mambo yalikuwa mazuri sana.
Una uhakika na unacho kinena?
Muulize Padri Slaa atakuonyesha sponsor wote wanaomdhamini
hongera napend sana unavyotupa habari
Waumini huchanga pesa kwa njia ya zaka na sadaka kupeleka Roma siyo Roma kutoa pesa kupeleka kwa waumini, labda kuwe na maafa hapo pesa huweza kutolewa kusaidia walioathirika kwa kupitia shirika lake la misaada la Caritas. Ukiwa na mawazo ya kupewa badala ya kutoa utakufa maskini wa kutupwa.
CCM wapeleke hoja Bungeni ya kufuta ruzuku ya vyama vya siasa hata kama na wao wataathirika. Inaelekea CDM hawafanyi kosa na ruzuku yao; ruzuku inatumika kuibomoa CCM kisawasawa. Dawa ya kukomesha haya maandamano na mikutano ya CDM isiyosha ni kuwaondolea uwezo wa mapato. CCM wao si wana vyanzo vingine vya mapato kama viwanja vya mipira na majengo!!!!
Wadau wapenda maendeleo nipo ktk mji mdogo wa katoro mpakani mwanza na kagera hali ni ya mashamsham utafikiri anakuja cjui nani maana hata rais huwa cio hivi,muda mfupi ujao kutakuwa na maandamano na mkutano wa hadhara,hii ni wakeup cal kwa cheyo,wasira, nk wanaowatia hofu wtz,kwa hali ilivyo naomba serkali ifate ushauri wa kuwakamata ili iwe rahisi kuiondoa madarakani.pipooos pr ni noma
hivi mh.regia, kuna uwezekano wowote mkapishana njiani na msafara wa PM, Pinda? Cpati picha jinsi wananchi walivyowakubali halafu itokee mpishane nae, maana kaamriwa na jk awafuate huko huko ili awadhibiti msiendelee kutia mchanga kitumbua chake. Sijui ataficha wapi uso wake, maskini mtoto wa mkulima!
Chadema Silaha yao kubwa katika mikutano yao ni Uongo, uzushi na kufarakanisha watu na Serikali yao kwa nia ya kuleta machafuko makubwa nchini..
Hatuko pamoja nanyi
Kila la kheri cdm nimesikia arusha tarehe o7/o2/2o100 kuna ukweli wa kauli hii?
mkuu usifikirie CCM na Chadema tu!!!!tanzania tuna vyma vilivyosajiliwa,18 na vi 5 kati ya hivyo vinafaidika na ruzuku. Sidhani km hii ni ruzuku...ebu jiulize wakati wa operation Sangara ruzuku ya CHADEMA ilikua kiasi gani?
Watakao changa Cash, TRA watawapelekea assessment ya kodi kubwa ili kuwapunguzia huo uwezo wa kuchangia CDM
tunawatakia kila la kheri, Mungu awabariki sana. msisahau kwenda na kule Tanga pia, hasa Lushoto maeneo ya Mlalo, natarajia kuwa mbunge wa jimbo la Mlalo Lushoto 2015 kupitia CDM
vipi ule mpango wa mahakama ya kadhi umeishia wapi?Shehe mkuu amewasaliti?Mimi nataka ije Shariah kabisa ila iwe ya waislam tu ili nijionee ni wanani watabadili dini fasta.
Wakati wa kampeni ya Uchaguzi, CCM ilitumia muda mwingi sana kuviita vyama vya upinzani kuwa vyama vya msimu au vyama vya uchaguzi. Sasa vyama hivyo vimeanza kufanya kazi full time! CCM inalalama nini tena? Hizo wanazofanya Chadema ndo siasa zenyewe na kwa hali inavyoonesha vurugu hazina nafasi hadi hapo serikali inapoamua kutumia polisi kuanzisha vurugu.
Sasa Chadema wanafanya siasa, basi na CCM wafanye siasa, si kulalamika kuwa eti Chadema inaikosanisha na wananchi. CCM inatarajia Chadema wafanye siasa gani kama si kuisema yale inayoshindwa kutelekeleza? Ukishindwa kutekeleza yale uliyoahidi ndo mtaji wa wapinzani wako na majukwaa ndo mahali pa wapinzani kupatumia.
CCM nayo, badala ya kutumia viongozi wa serikali, isimame kama CCM na waitetee serikali yake; hzo ndo siasa za kistaarabu. Kuendelea kulalamika kwa CCM kunaonesha kuwa hawako tayari kuona vyama walivyokuwa wakiviita vya msimu au vya uchaguzi vikiwa vya kudumu! Siasa ndo hizo, majukwaani. Kote wananchi wanatoka wanacheka na kuiona CCM chama cha wapuuzi. Badala ya CCM kutaka kutumia nguvu ya dola kuleta vurugu, waumize vichwa, na watafute majibu ya hoja za Chadema waende kwa wananchi wawaambie.
CCM wana midomo mingi sana! Lakini wakisimama wenyewe kama CCM wanajua kuwa hawana mvuto ndo maana wanalalamika. Lakini ulalamishi wao hauna uhalali wa kimkakati kwani wao ndo wamekuwa wakiongoza kwa kukejeli vyama vya upinzani kuwa vya msimu au vya uchaguzi. Sasa hizo ndo siasa za kudumu na Chadema haitakiwi walale! Waendeleze harakati hizo hadi 2015, CCM ikiendelea kulalamika tu, itavuna mabua. Wakitumia nguvu za dola ndo wamekwisha kabisa kwani watasakamwa na dunia nzima. Njia pekee ni wao kutumia majukwaa kama Chadema kueleza ya kwao; swali ni je yanaelezeka? Wanaweza kusimama mbele ya watanzania na kuwaambia kuwa Dowans ni halali? Au kuwa EPA haukuwa wizi?
Hapo ndo pagumu, ila inatakiwa wazoee kuwa siasa za upinzani za kudumu walizokuwa wanaziomba ndo zimeshaanza hizo! Fungate walilokuwa nalo toka 1992 mfumo wa vyama vingi ulipoanzishwa ndo limeisha rasmi! CCM wake up, or sleep for ever!
Chadema Silaha yao kubwa katika mikutano yao ni Uongo, uzushi na kufarakanisha watu na Serikali yao kwa nia ya kuleta machafuko makubwa nchini..
Hatuko pamoja nanyi