Chadema ndani ya Bukoba

Big up Regia Mtema-WK-KA.

Tunawaombea na tuko nyuma yenu. Saa ya Ukombozi imewadia. Nifikishie pole za dhati kwa Mhe.Dr.Slaa na wabunge kutokana na usumbufu wa kukamatwa kule Shinyanga. Hilo halitazuia nia na kusudi la CDM la kuwakomboa Watanzania kutoka kwenye MAKUCHA YA MAFISADI WA CCM. Hawa jamaa wa CCM wanafikiri kamatakamata na mabomu ndiyo vitazima moto wa CDM. They are totally wrong!

FREEDOM IS COMING TOMORROW!!!!!

God Bless you all. God Bless CHADEMA. God bless Tanzania.
 
Kama ni mila za kiafrika kabla ya ukoloni tulikuwa tunaziba sehemu chache za mwili,kama unabisha nenda kwa wahadzabe.
Nakuinama kwa mrembo huyu wa Slaa ni kuonesha heshima kwa Mwenyekiti tu siyo kuwa anaona aibu ya vazi alilovaa,watu wengine tabia zenu mbaya zinafichwa tu na mavazi marefu,hivyo msimsakame na vazi la kupambana ulitaka ajitande vitenge ili aoneshe kuwa yeey ni mwafrika halisi
 

Nimeipenda sana hii picha, siyo sura za watu bali wanayowaza
 
Maumivu ya kichwa huanza taaaaratb kisha, usije kabisa kupuuza yanapokuwa taaaaaratb piga pain killer mara moja maana unaweza ishia kitandani kwa siku kadhaa au kaburini kabsaaaaaa.
Hatima ya uongozi iko njia moja. huko cdm inakopita ni kama kuvuta manati tu cjui itaachiliwa wapi nimependa sana mfano wa manati toka kwa mwanajamvi ni kweli.
 
walah mimi ni mwanachama wa ccm ila kwa stail hii naamini sasa sisiem no way out lazima tung'ooke tu. Hali ngumu ya maisha ni kwa wote bila kujali vyama. Hakuna pakutokea ccm haifiki 2015. Keep my woods for true.
daima big up dada yetu hata sisi tulio nje ya nchi tunapata taarifa za uhakika mara zote toka kwako - edmonton canada
 
Awamu ya kwanza imekamilika awamu ya pili ni KUIMARISHA CHAMA MIKOANI NA WILAYANI. Hongera CDM kwa kutuamsha WATANZANIA.
 
na pia hivi vitu vina hitaji rasilimali fedha,watu na logistics ambayo nayo inahitaji fedha ,kwahiyo let give them space to complete there strategic plans ndugu.
 

dada asante sana mungu akubariki na akulinde siku zote uweze kutupa habari mbalimbali! viva forever CDM! NATAMANI 2015 IFKIE HARAKA NIICHAGUE TENA CHADEMA
 
Leo tunashambilia wilaya za mkoa huu na hivi sasa vikosi kazi ndio vinaondoka kuelekea kwenye maeneno husika.Dr Slaa atakuwa Nkenge wakati Mbowe atakuwa Biharamulo.Wengine watakuwa Chato,Karagwe na Muleba.

Aluta Continua.
 
leo tunashambilia wilaya za mkoa huu na hivi sasa vikosi kazi ndio vinaondoka kuelekea kwenye maeneno husika.dr slaa atakuwa nkenge wakati mbowe atakuwa biharamulo.wengine watakuwa chato,karagwe na muleba.

Aluta continua.
safi sana.
Viva la revolusion.
 
Dada Regia,mby lini?cc 2naonekana kama wanaharakat,2napata shida mitaani,kuulizwa kuwa,rais atakuja lini,yaani wa2 wana mzuka mpaka bac
 
Safi sana dada Regia,

Ahsante sana kwa updates.

Watu wa Dar msitusahau jamani, tunataka tuanze kwa kuwapokea kwa maandamano.

Pliz plz ..kama hili halipo kwenye ratiba mliweke pliz. haipendez mrudi makao makuu kimya kimya..lazima tuwapokee kama wakombozi, plizzz ya Dar muhimu sana.
 
Leo tunashambilia wilaya za mkoa huu na hivi sasa vikosi kazi ndio vinaondoka kuelekea kwenye maeneno husika.Dr Slaa atakuwa Nkenge wakati Mbowe atakuwa Biharamulo.Wengine watakuwa Chato,Karagwe na Muleba.

Aluta Continua.

Mueneze amani na sio chuki miongoni mwa wana jamii na sio chuki na uchochezi,

Jipangeni kwa uchaguzi wa Serikali za mitaa mwakani na uchaguzi mkuu wa 2015.
 

Mtasema maneno yoooote lkini siku zenu zinahesabika.

hamuwezi hata siku moja kuteteresha amani a nchi.

waulizeni Arusha nini kiliwapata baada ya kujaribu kucheza na dola
 
Hiyo yote ni mayuyu tu na mvua kubwa bado kushenya hivyo Mungu awe nanyi wote wote huko na pia dada yangu Regina Mungu atakungulie
 
Mkuu hapo umekosea kabisa! kwanza unamjua Gurudumu? Huyu ni mpiganaji na mpambanaji wa CDM dhidi ya mafisadi CCM.
Ujawahi kuona hata post zake na coment zake? Alichokifanya hapo kwa mh.R.Mtema ni kupeleka ujumbe ambao yeye na wata
nzania tuliowengi tungependa kuona maandamano ya nguvu ya umma kupitia CDM yanaenda moja kwa moja hadi ikulu na mkwere
alale mbele maana yeye na chama chake ccm wameshindwa kutekeleza kile ambacho wananchi wanataka.
 
Ni kweli kabisa mbona tangu Kikwete ahutubie Taifa Tv nyingi hazionyeshi maandamano hayo bora mngeandaa vipindi maalum hata kwa kulipia ili Watanzania wengi waelewe Tanzania inaelekea wapi mambo kama matukio ya Arusha,maandamano na mikutano inayofanyika kanda ya ziwa watu kama Pinda wanadanganya lakini watu kutoka maeneo mengine wanashindwa kuelewa ukweli ni upi na niwachache wenye access ya computer kama sisi asante
 
Hakika saa ya ukombozi ni sasa. Aliyekuwepo jana uwanja wa uhuru ameona kuwa sasa kilichobaki ni kuanza kuchimba kaburi na kukizika chanma cha majambazi. peeeeeeeeeeeeeeeepleeeeeeeeeeeeeeeeees?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…