Hii ni "fragile" period kwa vile kuna chaguzi zijazo. Maadui wenu wanasubiri mvurugane kwenye chaguzi za ndani and surely will take advantage of this kupita kirahisi chaguzi zijazo. Postpone chaguzi hizo , zifanyike baada ya chaguzi za taifa zijazo.
CHAGUZI KATIKA VYAMA VYOTE DUNIANI ZINALETAGA MITAFARUKU KATIKA VYAMA VYOVYOTE DUNIANI, HATA KWENYE DINI WANAKOCHAGUANA KUPATA SAY MAASKOFU.
Kama mliongea mwaka mzima na CCM at the end of the day wakawatolea nje , tena kwa kebehi na dharau, leo wawaache salama katika fragile period kama hii, NEVER!
Erythrocyte
CHAGUZI KATIKA VYAMA VYOTE DUNIANI ZINALETAGA MITAFARUKU KATIKA VYAMA VYOVYOTE DUNIANI, HATA KWENYE DINI WANAKOCHAGUANA KUPATA SAY MAASKOFU.
Kama mliongea mwaka mzima na CCM at the end of the day wakawatolea nje , tena kwa kebehi na dharau, leo wawaache salama katika fragile period kama hii, NEVER!
Erythrocyte