Kila siku CHADEMA, CHADEMA, CHADEMA. Hivi hii chadema itazuia msife? au itawaokoa na moto wa milele?.
SIASA ZITAPITA BALI NENO LA MUNGU LITADUMU MILELE.
alex,
mapambano haya yanainufaisha zaidi ccm kuliko cdm, nadhani unakumbuka mara kadhaa bungeni wapinzani wa nccr na cuf wameiunga mkono ccm ili tu kuikomoa cdm, hii nadhani si nzuri sio kwa cdm tu bali hata kwa demokrasia.
Akili kama hizi zimemkosti shoga yenu kiti cha ubunge sasa nilidhani mtajifunza..
Vipi wewe kipanga muuzaji wa kule jukwaa lenu kuna kitu unataka kutoka kwangu nini?
Waungwana tangu chama hiki kipate nguvu ya uungwaji mkono na ruzuku kimeanzisha mapambano ambayo kimsingi sioni kama ni muhimu kwa chama cha siasa. Natumbua lengo la chama cha siasa ni kushika dola hivyo inaeleweka zaidi kwa mapambano ya CDM kuelekezwa CCM ila hainiingii akilini pale mapambano yanapoelekezwa kwa vyama vyenzake vya upinzani. Kwa mfano CDM ipo kwenye mapambano ya kila siku na CUF na NCCR hivi mapambano haya yanalenga kupata nini? Na ni kwa nini CUF na NCCR?
Kila siku CHADEMA, CHADEMA, CHADEMA. Hivi hii chadema itazuia msife? au itawaokoa na moto wa milele?.
SIASA ZITAPITA BALI NENO LA MUNGU LITADUMU MILELE.
Kwani wewe nduka ni mgeni nchi hii? Huna habari kwamba CDM anapambana na ccm na matawi yake yote, yaani ccm na ccm c?Iramba nakubaliana na wewe kwa upande mmoja lakini sioni kama haya mapambano ni strategic maana yanapunguza focus kwenye lengo kuu lakini pia kuharibu kujenga uadui na adui wa adui yako ni kupoteza nguvu bure maana yeye alipaswa kushughulikiwa na adui yako. Hii haipunguzi gharama tu bali pia hupunguza nguvu za adui.
Kila siku CHADEMA, CHADEMA, CHADEMA. Hivi hii chadema itazuia msife? au itawaokoa na moto wa milele?.
SIASA ZITAPITA BALI NENO LA MUNGU LITADUMU MILELE.
Bunge la 2005~2010 halikuwa na ubaguzi huu, hata UDP waliokuwa na mbunge mmoja walishirikishwa.
Alex,
Mapambano haya yanainufaisha zaidi CCM kuliko CDM, nadhani unakumbuka mara kadhaa bungeni wapinzani wa NCCR na CUF wameiunga mkono CCM ili tu kuikomoa CDM, hii nadhani si nzuri sio kwa CDM tu bali hata kwa demokrasia.