CHADEMA naomba ufafanuzi

Nduka

JF-Expert Member
Dec 3, 2008
8,552
2,359
Waungwana tangu chama hiki kipate nguvu ya uungwaji mkono na ruzuku kimeanzisha mapambano ambayo kimsingi sioni kama ni muhimu kwa chama cha siasa. Natumbua lengo la chama cha siasa ni kushika dola hivyo inaeleweka zaidi kwa mapambano ya CDM kuelekezwa CCM ila hainiingii akilini pale mapambano yanapoelekezwa kwa vyama vyenzake vya upinzani. Kwa mfano CDM ipo kwenye mapambano ya kila siku na CUF na NCCR hivi mapambano haya yanalenga kupata nini? Na ni kwa nini CUF na NCCR?
 
Waungwana tangu chama hiki kipate nguvu ya uungwaji mkono na ruzuku kimeanzisha mapambano ambayo kimsingi sioni kama ni muhimu kwa chama cha siasa. Natumbua lengo la chama cha siasa ni kushika dola hivyo inaeleweka zaidi kwa mapambano ya CDM kuelekezwa CCM ila hainiingii akilini pale mapambano yanapoelekezwa kwa vyama vyenzake vya upinzani. Kwa mfano CDM ipo kwenye mapambano ya kila siku na CUF na NCCR hivi mapambano haya yanalenga kupata nini? Na ni kwa nini CUF na NCCR?

Kaka jibu ni dogo sana, katika vita hakuna adui mkubwa wala mdogo,adui ni adui tu, na kwa sababu kama ulivyosema CDM inataka kushika dola ni lazima kuakikisha kwamba mashambulizi ni kwa kila ajae mbele.
 
Kaka jibu ni dogo sana, katika vita hakuna adui mkubwa wala mdogo,adui ni adui tu, na kwa sababu kama ulivyosema CDM inataka kushika dola ni lazima kuakikisha kwamba mashambulizi ni kwa kila ajae mbele.

Iramba nakubaliana na wewe kwa upande mmoja lakini sioni kama haya mapambano ni strategic maana yanapunguza focus kwenye lengo kuu lakini pia kuharibu kujenga uadui na adui wa adui yako ni kupoteza nguvu bure maana yeye alipaswa kushughulikiwa na adui yako. Hii haipunguzi gharama tu bali pia hupunguza nguvu za adui.
 
huwezi kuwa na vita na mtu bado ukaamini mke na watoto wake ni salama sana hata ukanywe nao chai.

Edmund kinachowafanya NCCR na CUF kuwa mke na mtoto wa CCM ni kipi na kinachowafanya CHADEMA wasiwe ni kipi?
 
Waungwana tangu chama hiki kipate nguvu ya uungwaji mkono na ruzuku kimeanzisha mapambano ambayo kimsingi sioni kama ni muhimu kwa chama cha siasa. Natumbua lengo la chama cha siasa ni kushika dola hivyo inaeleweka zaidi kwa mapambano ya CDM kuelekezwa CCM ila hainiingii akilini pale mapambano yanapoelekezwa kwa vyama vyenzake vya upinzani. Kwa mfano CDM ipo kwenye mapambano ya kila siku na CUF na NCCR hivi mapambano haya yanalenga kupata nini? Na ni kwa nini CUF na NCCR?

Mkuu hivyo vyama ni wakala wa chama tawala. CCM imewapa jukumu la kuivuruga CDM. Sasa CDM baada ya kushtukia dili lao wameamua kujizatiti kupambana nao yaani 3 in 1.
 
Kila siku CHADEMA, CHADEMA, CHADEMA. Hivi hii chadema itazuia msife? au itawaokoa na moto wa milele?.
SIASA ZITAPITA BALI NENO LA MUNGU LITADUMU MILELE.
 
Waungwana tangu chama hiki kipate nguvu ya uungwaji mkono na ruzuku kimeanzisha mapambano ambayo kimsingi sioni kama ni muhimu kwa chama cha siasa. Natumbua lengo la chama cha siasa ni kushika dola hivyo inaeleweka zaidi kwa mapambano ya CDM kuelekezwa CCM ila hainiingii akilini pale mapambano yanapoelekezwa kwa vyama vyenzake vya upinzani. Kwa mfano CDM ipo kwenye mapambano ya kila siku na CUF na NCCR hivi mapambano haya yanalenga kupata nini? Na ni kwa nini CUF na NCCR?

We don't get U.

Sidhani kama una ushahidi kwa hayo uliyosema? Thibitisha hilo kabla hujaandika.
 
Waungwana tangu chama hiki kipate nguvu ya uungwaji mkono na ruzuku kimeanzisha mapambano ambayo kimsingi sioni kama ni muhimu kwa chama cha siasa. Natumbua lengo la chama cha siasa ni kushika dola hivyo inaeleweka zaidi kwa mapambano ya CDM kuelekezwa CCM ila hainiingii akilini pale mapambano yanapoelekezwa kwa vyama vyenzake vya upinzani. Kwa mfano CDM ipo kwenye mapambano ya kila siku na CUF na NCCR hivi mapambano haya yanalenga kupata nini? Na ni kwa nini CUF na NCCR?
Mbona hilo avatar lako linafanana na marehemu CCM na CUF?
 
We don't get U.

Sidhani kama una ushahidi kwa hayo uliyosema? Thibitisha hilo kabla hujaandika.

Mzee wa njaa, unataka uthibitisho upi? Wa Wenje kumkebehi mwenyekiti wa NCCR au Halima Mdee kumtusi kabisa? Au kauli za Mbowe alipoeleza kwa nini kambi rasmi bungeni haihusishi wabunge wa vyama vingine vya upinzani?
 
Mzee wa njaa, unataka uthibitisho upi? Wa Wenje kumkebehi mwenyekiti wa NCCR au Halima Mdee kumtusi kabisa? Au kauli za Mbowe alipoeleza kwa nini kambi rasmi bungeni haihusishi wabunge wa vyama vingine vya upinzani?

Kauli yako haina facts ndio maana nakuambia thibitisha ndugu....
 
Mkuu hivyo vyama ni wakala wa chama tawala. CCM imewapa jukumu la kuivuruga CDM. Sasa CDM baada ya kushtukia dili lao wameamua kujizatiti kupambana nao yaani 3 in 1.
NCCR na CUF vilikuwa na nguvu zamani kabla ya CDM labda CDM ndio inatumiwa kuvivuruga.
 
NCCR na CUF vilikuwa na nguvu zamani kabla ya CDM labda CDM ndio inatumiwa kuvivuruga.

CUF wapo kwenye serikali ya umoja wa kitaifa
NCCR nao hivyo hivyo, angalia Mbatia na manjonjo yake
 
wewe Nduka , ni mwana Gamba na ndio maana unaumia sana tunapowasema NCCR na CUF kwani unatimiza kiapo cha ndoa,kwamba ntakupenda kwenye shida na raha.swali dogo tu kwako ambalo ndio litakua jibu la swali lako. NI JE WEWE KAMA MWANA CCM UNAUMIA NINI NA KUPUNGUKIWA NINI SISI CHADEMA TUNAPOWASEMA CUF NA NCCR?
 
CUF wapo kwenye serikali ya umoja wa kitaifa
NCCR nao hivyo hivyo, angalia Mbatia na manjonjo yake

Hivi hadi leo tunaushamba wa demokrasia kiasi hicho au ni makusudi? Aina ya muafaka wa Zanzibar sio mgeni duniani na nilidhani kwa hali hyo CDM ingejinasibisha kwa CUF ili kujifunza kwa maslahi ya wananchi. Ni ubinafsi tu ndio unaweza kukusukuma uendeleze migogoro kwa maslahi ya chama. Hivi baada ya uchaguzi CDM walimtambua rais? Na msimamo wa CDM kwenye rasimu ya katiba je? Hii ni mifano ya makubaliano yenye maslahi kwa wananchi na taifa. Siku zote unaanza na maslahi ya taifa halafu chama baadaye.
 
wewe Nduka , ni mwana Gamba na ndio maana unaumia sana tunapowasema NCCR na CUF kwani unatimiza kiapo cha ndoa,kwamba ntakupenda kwenye shida na raha.swali dogo tu kwako ambalo ndio litakua jibu la swali lako. NI JE WEWE KAMA MWANA CCM UNAUMIA NINI NA KUPUNGUKIWA NINI SISI CHADEMA TUNAPOWASEMA CUF NA NCCR?

Hivi kila mtu CDM hata hiyo demokrasia kwenye jina la CDM itakuwa na maana? Naumia kama mtanzania kuona taasisi inayoendeshwa kwa kodi za wananchi inafanya kazi kinyume na malengo yake.
 
Back
Top Bottom