rallphryder
JF-Expert Member
- Jan 24, 2015
- 3,630
- 1,444
Kwani uteuzi huu kwa jinsi ulivyokubalika Tanzania nzima, najua mna kazi ya ziada ya kupika kashfa kwake kwa kuwa ndio kitu ambacho wapinzani wanakiishi. Kiukweli maeneo mengi nchini ambayo chadema mlidhani mnakubalika mmeona shamrashamra za watu huko maeneo mliodhani ni ngome ya upinzani kote wananchi wamemkubali Dr John Pombe Magufuli, Tunangojea muanzishe thread kibao za kukashifu maana hayo ndiyo mliyobakiza mkidhani yanaweza kuwasaidia. Go Dr go!