chonde chonde uongozi wa CHADEMA uwaangukie madaktari kokote walipo na wawaombe warudishe majeshi, kwani uongozi wa CCM unachojali ni maisha yao tu na pamoja na familia zao.
Dr. Slaa tumia fursa hiyo kukutana na madaktari, kwani madaktari wanachohitaji hivi sasa ni faraja ili warudi kuwatumikia watz wenzao. Hiyo fursa ni adimu sana, thubutuni kuitumia na kurejesha imani kwa watanzania kuwa mnaweza kumaliza migogoro hatimaye watz wakapata huduma bora.