Chadema na yatakayojiri wiki hii

Inasikitisha hapa JF kwamba hata wale member wanaojulikana kuwa balanced kihoja wanaacha matusi kama hayo yapite hivi hivi bila kukemewa.

Ingawa wakati mwingine si busara kujibu tusi kwa tusi kuna wakati mtu unalazimishwa kama anavyopaswa kufanyiwa huyo dada mropokaji hapo juu.

Nungunungu, wewe ukijisekea kukemea kemea tu, ama sivyo kutakuwa na watu wanafuatilia kila post ya mtu mwingine. Hakuna sababu ya kuwaita majina ya matusi lakini unapotumia kisifa ni bora uhalalishe. Kama mtu kusema "malaya" ni lazima kudefine ana maana gani kwani Malaya inatumika katika jamii kuzungumzia mambo mengi, Spana Malaya, Funguo Malaya, n.k
 
Nimepata kipeperushi hiki kwenye e mail yangu, ngoja niwawekee hapa .






"Mabadiliko ya Kweli, Uhuru wa Kweli"


• Je, unataka kupata fikra mbadala kuhusu sheria, mikataba na hatma ya madini yetu?
• Je, unataka kushiriki vuguvugu la demokrasia ya rasilimali?
• Je, ungependa kujadili ufisadi na hatma ya Tanzania?

Nakupongeza kwa kuitikia NDIO! Kurugenzi ya Vijana inakualika wewe na wenzako bila kujali itikadi:

Wapi?: Ukumbi wa DDC(mkabala na Mlimani city), Barabara ya Chuo Kikuu

Lini?: Jumamosi, 17 Novemba 2007, saa 2 asubuhi mpaka saa 8 mchana

Kunani? Kongamano la Vijana Wasomi Katika Siku ya Wanafunzi Duniani

Mgeni nani? Profesa Mwesiga Baregu, toka Chuo Kikuu cha Dar es salaam

Watoa mada je? Dr Wilbroad Slaa(Mb), Zitto Kabwe(Mb), Tundu Lissu na wengineo

Wajadilifu nao? Dr Azaveli Lwaitama, Mabere Marando, Suzan Lyimo(Mb) na wengine

Nini zaidi? Ujumbe kwa burudani toka kwa wasanii maalumu

Wengine je? wanafunzi wa sekondari, wafanyakazi vijana nanyi pia-mtapata fursa ya kuuliza maswali na kutoa hoja zenu mbalimbali; wakati ni wetu,njoo tuwe wakala wa mabadiliko tunayotaka kuyaona

Kwa maelezo zaidi: tembelea www.chadema.net ama piga simu au tuma ujumbe kwenda 0713760534





"Msomi ni sawa na mtu aliyepewa chakula katika kijiji chenye njaa ili apate nguvu akatafute chakula kwenye nchi ya mbali kisha awaletee wananchi wa kijiji chake. Kadhalika msomi yoyote aliyepewa elimu kwa kodi ya wananchi akishindwa kuleta maendeleo yeye ni msaliti kwa watanzania"

(Julius Kambarage Nyerere)


VIJANA: NGUVU YA MABADILIKO
 
The point ni kwamba kama watuhumiwa wa ufisadi 10, wanaifanya CCM yenye wanachama Millioni tano wote kuwa mafisadi,

then what is wrong with Wachagga viongozi 10 na familia zao, kuifanya Chadema chama cha Wachagga?

Tatizo liko wapi hapa?
 
Mkuu hata wewe?

Inaerlekea wewe ulikuwa unategemea chochote kutoka kwa huyu bwana. Onyo, huyu bwana ni wale wale nanaofurahia damu ya watanganyika kumwagika kwa wao kupata tumaisha ahuweni hana lolote la maana mnamkweza tu!
 
Inaerlekea wewe ulikuwa unategemea chochote kutoka kwa huyu bwana. Onyo, huyu bwana ni wale wale nanaofurahia damu ya watanganyika kumwagika kwa wao kupata tumaisha ahuweni hana lolote la maana mnamkweza tu!

We mwanaume

Uko tofauti kabisa na jina lako SHALOM ambalo ni ishara ya UPENDO. Una wivu na Kitila nini?

Si ametuambia amehama Chama Cha Mafisadi kukimbia athari za MASHETANI kumuambukiza? angekuwa anapenda damu imwagike si angebakia Chama Cha Malaya akitetea watanzania wengi kumwaga damu kwa UMASIKINI huku mkiimba nyimbo za MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA?

Asha
 
Onyo, huyu bwana ni wale wale nanaofurahia damu ya watanganyika kumwagika kwa wao kupata tumaisha ahuweni hana lolote la maana mnamkweza tu!

Mkuu Shalom,

Heshima mbele,inayokwezwa hapa fourm ni hoja ya mjumbe yoyote inayo-make sense, sio viroja au kushambulia personal yaani watu usiowajua hapa forum kama ulivyofanya hapa, hiii hapa huwa tunaita nonesense, maana hoja hujibiwa kwa hoja,na sio viroja kama hivi vyako,

Kwa sababu wewe humjui mtu hapa forum, na hakuna anayekujua wala anyehitaji kukujua, hapa fourm Spade huitwa Spade!

Ahsante Mkuu, next time deal na hoja, maana humjui mtu hapa na hakuna anyekujua!
 
Mkuu Shalom,

Heshima mbele,inayokwezwa hapa fourm ni hoja ya mjumbe yoyote inayo-make sense, sio viroja au kushambulia personal yaani watu usiowajua hapa forum kama ulivyofanya hapa, hiii hapa huwa tunaita nonesense, maana hoja hujibiwa kwa hoja,na sio viroja kama hivi vyako,

Kwa sababu wewe humjui mtu hapa forum, na hakuna anayekujua wala anyehitaji kukujua, hapa fourm Spade huitwa Spade!

Ahsante Mkuu, next time deal na hoja, maana humjui mtu hapa na hakuna anyekujua!


Ha ha ha ha ha! ni kweli sikujui personally na wala sina haja hiyo, ila nakujua mawazo yako na unachokitetea hapa JF. Kama kusema kuwa chadema ni chama cha wachaga ni hoja ok wewe ni mtu wa hoja sana na sishangai kwa nini unatetea ccm hapa kwa nguvu zako zote.

Wewe unatufanya tuaone mafisadi wanaokaa kimya ni afadhali kuliko wewe. Hebu nieleze nini hasa unachotetea ndani ya ccm hasa. kama wewe unafaidika na mienendo mizima ningekushauri ukae kimya tu usubiri mwisho wenu kwa hamu. Na ukitaka hoja lete hoja.
 
We mwanaume

Uko tofauti kabisa na jina lako SHALOM ambalo ni ishara ya UPENDO. Una wivu na Kitila nini?

Si ametuambia amehama Chama Cha Mafisadi kukimbia athari za MASHETANI kumuambukiza? angekuwa anapenda damu imwagike si angebakia Chama Cha Malaya akitetea watanzania wengi kumwaga damu kwa UMASIKINI huku mkiimba nyimbo za MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA?

Asha

Haujanielewa soma vizuri utaona kuwa nilikuwa namsaidia Kitila na sio kumpinga. kama sijaeleweka vizuri sorry bro Kitila!
 
The point ni kwamba kama watuhumiwa wa ufisadi 10, wanaifanya CCM yenye wanachama Millioni tano wote kuwa mafisadi,

then what is wrong with Wachagga viongozi 10 na familia zao, kuifanya Chadema chama cha Wachagga?

Tatizo liko wapi hapa?

Na wakina Bush wanaifanya republican cha cha wakina Bush, na wakina kennedy wote wako dem, unaongea nini wewe? na mwingine kashinda juzi Argentina ha ha ha! ccm ziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Wewe unatufanya tuaone mafisadi wanaokaa kimya ni afadhali kuliko wewe. Hebu nieleze nini hasa unachotetea ndani ya ccm hasa. kama wewe unafaidika na mienendo mizima ningekushauri ukae kimya tu usubiri mwisho wenu kwa hamu. Na ukitaka hoja lete hoja.

1. Mkuu uzalendo sio lazima kuwa upinzani, na wewe vipi ukitueleza jinsi unavyofaidika na Chadema, maana kwako inaonekana imani ya mwananchi katika chama cha siasa hutengenezwa na faida?

2. Sitetei watuhumiwa wa ufisadi serikalini hata siku moja, besides so far hao ni watuhumiwa tu ni mpaka watakapokuwa convicted na mahakama yetu ya sheria, then nikiwatetea nitakuwa more than them, lakini wananchi wengi tunakubaliana kuwa kwenye mahakama ya siasa walishashindwa kesi, ndio maana rais ameunda kamati, na bunge imeunda kamati, ku-deal na hiyo ishu huku tukisubiri mkono wa sheria,

3. Hivi huo mwisho utakuja lini mkuu ambao kila siku tusiokuwa upinzani tunatishiwa nao? The ishu sio mwisho isipokuwa mabadiliko ya kisiasa na maendeleo kwa taifa letu, kwa sababu kufukua maovu ya baadhi ya viongozi wa serikali sio tiketi kuwa unaweza kuongoza, na wala sio tija kuwa sasa mwisho wa CCM yenye wanachama millioni tano itafika mwisho kwa sababu ya watuhumiwa wa ufisadi 10 walioko serikalini, ambao wote sio wanachama wa CCM,

Mimi nafikiri wewe ndiye ungekaa kimya ususbiri kamati zilizoundwa zinazowahusisha viongozi wa upinzani, ikiwa ni pamoja na chadema, zifanye kazi yake na kutoa taarifa kwetu wananchi wote,

Otherwise, karibu mkuu tukate ishus, na lete more hoja kama unazo, maana so far sizioni mkuu!

2..
Na wakina Bush wanaifanya republican cha cha wakina Bush, na wakina kennedy wote wako dem, unaongea nini wewe? na mwingine kashinda juzi Argentina ha ha ha! ccm ziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

Hapa ndio kabisa sielewi the point, mimi nimesema kuwa watuhumiwa wa ufisadi serikalini wanaofikia kama kumi, hawaifanyi CCM chama chenye wananchama millioni tano kiwe ni cha mafisadi, kama vile viongozi watano wa kichagga na familia zao ndani ya Chadema wasivyokifanya kiwe chama cha wachagga, sasa what is your point hapo maana siioni?

Chadema Oyeeeeeeeeeeeee!
 
Mkuu Shalom,

Heshima mbele,inayokwezwa hapa fourm ni hoja ya mjumbe yoyote inayo-make sense, sio viroja au kushambulia personal yaani watu usiowajua hapa forum kama ulivyofanya hapa, hiii hapa huwa tunaita nonesense, maana hoja hujibiwa kwa hoja,na sio viroja kama hivi vyako,

Kwa sababu wewe humjui mtu hapa forum, na hakuna anayekujua wala anyehitaji kukujua, hapa fourm Spade huitwa Spade!

Ahsante Mkuu, next time deal na hoja, maana humjui mtu hapa na hakuna anyekujua!

Shukrani kwa kumtolea uvivu huyu kijana !
 
1. Mkuu uzalendo sio lazima kuwa upinzani, na wewe vipi ukitueleza jinsi unavyofaidika na Chadema, maana kwako inaonekana imani ya mwananchi katika chama cha siasa hutengenezwa na faida?

2. Sitetei watuhumiwa wa ufisadi serikalini hata siku moja, besides so far hao ni watuhumiwa tu ni mpaka watakapokuwa convicted na mahakama yetu ya sheria, then nikiwatetea nitakuwa more than them, lakini wananchi wengi tunakubaliana kuwa kwenye mahakama ya siasa walishashindwa kesi, ndio maana rais ameunda kamati, na bunge imeunda kamati, ku-deal na hiyo ishu huku tukisubiri mkono wa sheria,

3. Hivi huo mwisho utakuja lini mkuu ambao kila siku tusiokuwa upinzani tunatishiwa nao? The ishu sio mwisho isipokuwa mabadiliko ya kisiasa na maendeleo kwa taifa letu, kwa sababu kufukua maovu ya baadhi ya viongozi wa serikali sio tiketi kuwa unaweza kuongoza, na wala sio tija kuwa sasa mwisho wa CCM yenye wanachama millioni tano itafika mwisho kwa sababu ya watuhumiwa wa ufisadi 10 walioko serikalini, ambao wote sio wanachama wa CCM,

Mimi nafikiri wewe ndiye ungekaa kimya ususbiri kamati zilizoundwa zinazowahusisha viongozi wa upinzani, ikiwa ni pamoja na chadema, zifanye kazi yake na kutoa taarifa kwetu wananchi wote,

Otherwise, karibu mkuu tukate ishus, na lete more hoja kama unazo, maana so far sizioni mkuu!

2..

Hapa ndio kabisa sielewi the point, mimi nimesema kuwa watuhumiwa wa ufisadi serikalini wanaofikia kama kumi, hawaifanyi CCM chama chenye wananchama millioni tano kiwe ni cha mafisadi, kama vile viongozi watano wa kichagga na familia zao ndani ya Chadema wasivyokifanya kiwe chama cha wachagga, sasa what is your point hapo maana siioni?

Chadema Oyeeeeeeeeeeeee!

Mkuu,
mchunie huyu bwa mdogo aliyepotea aka SHALOM !!
 
The point ni kwamba kama watuhumiwa wa ufisadi 10, wanaifanya CCM yenye wanachama Millioni tano wote kuwa mafisadi,

then what is wrong with Wachagga viongozi 10 na familia zao, kuifanya Chadema chama cha Wachagga?

Tatizo liko wapi hapa?

mzee mlinganisho wako hauko sawa. Mafisadi 10 na wachagga 10 ni kulinganisha mafenesi na mananasi - kwa vile yote yameanza na "ma" na kuishia na "si" haina maana ni matunda yale yale. Ufisadi mtu huzaliwi nao, na haulazimiki kuwa fisadi.. watu wanazaliwa kuwa wachagga kaka. Ukinipa uchaguzi chama cha mafisadi ambacho kimejaa watu wa makabila mbalimbali na ni mafisadi na ukanipa chama cha watu wa kabila moja (which is not possible anyway) ambao ni wapenda haki, usawa, utu, na nafasi sawa kwa wote.. sir.. uchaguzi wangu ni rahisi!
 
Ukinipa uchaguzi chama cha mafisadi ambacho kimejaa watu wa makabila mbalimbali na ni mafisadi na ukanipa chama cha watu wa kabila moja (which is not possible anyway) ambao ni wapenda haki, usawa, utu, na nafasi sawa kwa wote.. sir.. uchaguzi wangu ni rahisi
!

Mkuu Heshima mbele, ninaamini kwamba wewe you are too big na hizi none-hojas, maana zingekuwa hoja za msingi basi matokeo ya ya uchaguzi wa udiwani majuzi yangekuwa tofauti na yalivyokuwa, maana hii ishu ni mbichi kabisaa,

ninarudia tena kwamba watuhumiwa 10 wa ufisadi serikalini, hawawezi kuwa symbol ya wananchi millioni tano ambao ni wanachama wa CCM, kama vile ambavyo viongozi watano Wachagga na familia zao, ambavyo hawawezi kuwa symbol ya Chadema kuwa chama cha kikabila, halafu besides serikali iliyoko madarakani bongo sasa hivi ilichaguliwa na wananchi zaidi ya hao wanachama millioni tano wa CCM, meaning kwamba haikuchaguliwa na wanachama wa CCM peke yake, isipokuwa kuna wananchi wasiokuwa na vyama au kutoka vyama vya upinzani, walio-cross the line na kuipigia CCM kwa hiyo hoja za generalization haziwezi ku-stand the test,

Watuhumiwa wa ufisadi ni 10-11, sasa kama hawa wana-define CCM as chama, basi tunakuwa taifa la mafisadi maana CCM si ndio chama tawala, au? Kwa nini another foreigner asituite taifa la mfisadi kwa sababu ya watuhumiwa wachache wa ufisadi, ambao hawana hata 0% percent kwenye the total number ya taifa letu?

Haya mambo ya unazi hayawezi kulisaidia taifa letu, never, na ndio maana huwa hatuyapendi, isipokuwa mnatulazimisha tu! Mkuu Shalom, hebu angalia hii hapa chini do you like it? Je inaweza kutusadia nini kwenye taifa letu? Huyu mkuu si alizomewa huyu tukaambiwa sio kweli, hivi kweli wananchi watakosa vipi kumzomea huyu? Yaani yeye atajilinganisha na kichwa makini kama cha Zitto? Ndio matatizo ya unazi yaani na yeye anataka kujifanya anaweza kumwambia Zitto, what to do kisa unazi tu! Hebu soma inavyosikitisha!

HATUA ya Rais Jakaya Kikwete kumteua Mbunge wa Kigoma Kaskazini (CHADEMA), Kabwe Zitto, kuingia katika Kamati ya Kuchunguza Mikataba ya Madini inaelekea imezusha mgogoro wa ndani katika Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Hatua hiyo imetokana na Mbunge wa Tarime (CHADEMA), Chacha Wangwe, kutamka hadharani kuwa Zitto anapaswa kujiuzulu kutoka kwenye Kamati hiyo iliyoundwa na Rais Jakaya Kikwete, hali inayopingana na fikra za Zitto.

"Zitto anapaswa kujiuzulu si zaidi ya saa 24 kuanzia leo. Kukubali uteuzi ni sawa na kuusaliti upinzani nchini," Chacha alikaririwa akimwambia mmoja wa wabunge mjini Dodoma jana. Mbali na kauli hiyo, gazeti moja la kila siku jana lilimkariri Wangwe, hivi: "Alisema anapinga suala hilo kwa madai kwamba, kuundwa kwa kamati hiyo kumelenga kudhoofisha hoja ya msingi ya wapinzani ya kutaka sheria ya madini ifutwe kabla ya kwenda katika hatua ya pili ya kujadili mikataba. ‘Kizingiti kikubwa ni sheria, ndiyo haijakaa vizuri. Hivyo kilichotakiwa ni sheria kufutwa kwanza halafu ndiyo tuzungumze mikataba mipya'."

Mwandishi Wetu alipowasiliana naye mjini Dodoma jana, Wangwe alisema amsubiri kidogo amalize kikao cha Kamati na hadi tunakwenda mitamboni ilikuwa hajapatikana na simu yake ya mkononi muda wote ilikuwa imezimwa. Kwa upande wake Zitto, aliliambia Mtanzania kuwa hajausaliti upinzani na wala kuteuliwa kwake katika kamati hii hakupingani na dhana yoyote kwani imebeba malengo yanayowiana na dhamira ya kambi ya upinzani na kwamba hatajiengua kutoka katika kamati hiyo.
Kauli hiyo ya Zitto inapingana na ile iliyotolewa na Wangwe. Wangwe na Zitto wote ni wabunge kutoka CHADEMA na Zitto ni bosi wake Wangwe kwani ni Naibu Katibu Mkuu wa Chama hicho. Hata hivyo, Wangwe ni mmoja kati ya viongozi wenye nguvu kubwa ya ushawishi ndani ya CHADEMA. Zitto alisema si busara kwake kujiondoa katika kamati hiyo kwa kuwa malengo yake yanarandana na ya kambi ya upinzani.

Akifafanua Zitto alisema baadhi ya hadidu za rejea za Kamati ya Madini iliyoundwa na Rais Kikwete, zinarandana na baadhi ya vipengele vya Azimio la Songea, ambalo lilitangazwa na upinzani mjini Songea, Septemba 10, mwaka huu. Alisema azimio hilo linahimiza kuundwa kwa kamati ya madini pamoja na kufanyika kwa marekebisho ya sheria za; madini, kodi ya mapato ya mwaka 2004 na sheria ya uwekezaji.
"Si kweli kwamba kambi ya upinzani ilitaka kufutwa kwa sheria ya madini, matakwa yake ni kufanyiwa marekebisho ya sheria hiyo pamoja na sheria nyingine," alisema Zitto.

Alisema vipengele hivyo ni sehemu ya hadidu za rejea za kamati ya madini iliyoundwa na Rais Kikwete.
 
mzee mlinganisho wako hauko sawa. Mafisadi 10 na wachagga 10 ni kulinganisha mafenesi na mananasi - kwa vile yote yameanza na "ma" na kuishia na "si" haina maana ni matunda yale yale. Ufisadi mtu huzaliwi nao, na haulazimiki kuwa fisadi.. watu wanazaliwa kuwa wachagga kaka. Ukinipa uchaguzi chama cha mafisadi ambacho kimejaa watu wa makabila mbalimbali na ni mafisadi na ukanipa chama cha watu wa kabila moja (which is not possible anyway) ambao ni wapenda haki, usawa, utu, na nafasi sawa kwa wote.. sir.. uchaguzi wangu ni rahisi!

BOGUS !!!!

baada ya PM (kasungura) na wewe umekuja na mafenesi na mananasi ! hahaaaa, sasa subiri ....... !!

mananasi ya mwanakijiji !
 
Ahahahahaah....we Kada wewe.....
Na wewe si unavyako.....Viazi vya Kada...kwikwikwiiiii
 
Nyani nafikiri hapa kuna walakini

EL- kasungurua
KadaMpinzani-Viazi
Mwanakijiji-mafenesi na mananasi (tena matunda yote aliyoyataja yana vichomichomi, pokes )
these things have one thing in common !
kuna nini hapa ?
 
Back
Top Bottom