The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,899
Sijui waziri kuvuli wa kazi na ajira wa CHADEMA ni nani
na anafanya nini kwa kweli
simsikii popote
hakuna maswali khusu wafanyakazi kabisaa hata kwa waziri mkuu
sasa hivi wafanyakazi wa makampuni meengi mno wanateseka
sheria za kazi hazifuatwi kabisa
nawajua mfano wafanyakazi wa Hospitali ya Hindul Mandal hasa wauguzi
ambao hawana kupumzika hata siku moja
wanaingia shift miezi sta mfululizo
TANESCO usiseme kuna vibarua wana miaka zaidi ya kumi
hawajaajiriwa na hakuna malipo ya overtime
wala off...
Kiwanda cha nondo mbagala wanakufa kila siku kwa sumu na mazingira mabovu
ya kazi na wengineo tele....
wapo wafanyakazi weengi sasa hawana off wala malipo ya overtime kwa mujibu wa sheria za nchi
but ni kimyaaa kimyaa kabisaa
no body talks about this
CHADEMA wanasemaje?
hakuna namna ya kuwabana wahusika now?
na anafanya nini kwa kweli
simsikii popote
hakuna maswali khusu wafanyakazi kabisaa hata kwa waziri mkuu
sasa hivi wafanyakazi wa makampuni meengi mno wanateseka
sheria za kazi hazifuatwi kabisa
nawajua mfano wafanyakazi wa Hospitali ya Hindul Mandal hasa wauguzi
ambao hawana kupumzika hata siku moja
wanaingia shift miezi sta mfululizo
TANESCO usiseme kuna vibarua wana miaka zaidi ya kumi
hawajaajiriwa na hakuna malipo ya overtime
wala off...
Kiwanda cha nondo mbagala wanakufa kila siku kwa sumu na mazingira mabovu
ya kazi na wengineo tele....
wapo wafanyakazi weengi sasa hawana off wala malipo ya overtime kwa mujibu wa sheria za nchi
but ni kimyaaa kimyaa kabisaa
no body talks about this
CHADEMA wanasemaje?
hakuna namna ya kuwabana wahusika now?