TandaleOne
JF-Expert Member
- Sep 4, 2010
- 1,644
- 709
Hatuwezi kukubali mabadiliko na kisha kupinga chanzo cha mabadiliko hayo, ukifanya hivyo utajiingiza ktk utata wa kimantiki- ni kauli niliyowahi kuisoma katika moja ya vitabu vya falsafa nilivyowahi kuvisoma.,ni kauli inayotokana na mmoja wa magwiji wa falsafa duniani na waasisi wa somo hillo.,socrates..,ni wazi kuwa alikuwa anamaanisha ni vigumu kwa watu wenye ufahamu wa mambo kupinga mamlaka na nafasi ya JK kama Rais na kisha kukubali kuwa anayo nafasi ya kufanya maamuzi juu ya mchakato wa kikatiba.
hakika huu ni utata...!
hakika huu ni utata...!