Pukudu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 3,148
- 2,219
aaah tendwa umelewa!! hivi waandishi wa habari hawana vile vidude vya kupima kiwango cha ulevi? Coz nafkiri wkt msajili akiongea kuhusu kufuta cdm alikuwa amelewa so siye yeye ni pombe tendwa ni mwanasheria na anajua procedure zote na kukufuta chama bila kwanza kukaa na hao viongozi na wanachama kujadili makosa yao ni ultra vires na tendwa anajua hivyo hayo ya jana aliyosema ni chicha tu