Not_Yet_Uhuru
JF-Expert Member
- Oct 11, 2010
- 1,304
- 431
Tendwa mwenyewe wakati wa kuanza kampeni 2010 alipelekewa malalamiko kuwa CCM na JK mwenye anakiuka maadili na sheria ya uchaguzi, kuzidisha muda, kutumia sms kuchochea na kukashifu, alifanya nini? si alihalalisha maovu hayo ya CCM maana ndio walomteua?
na sasa matisho yake kwa CDM nani hajui kuwa anatetea kulinda CCM iliyomteua?
umma unamtambua fika kwa porojo zake. akithubutu kuigusa CDM ataikimbia mwenyewe, hasira ya umma
na sasa matisho yake kwa CDM nani hajui kuwa anatetea kulinda CCM iliyomteua?
umma unamtambua fika kwa porojo zake. akithubutu kuigusa CDM ataikimbia mwenyewe, hasira ya umma