Mbimbinho
JF-Expert Member
- Aug 1, 2009
- 8,317
- 7,738
I bet anatania., kama CDM walitakiwa kufutwa wangekuwa washafutwa longtime, hapo anapima tu upepo.
Ndg. TWENDWA kama unasoma hii post, nakushauri acha kabisa hata kufikiria hiyo kitu., maana utakuwa mwsho wa kila kitu kuanzia Mkwere, baraza lake la mafisadi, CCm, NEC, wewe pia n most of it, kuna watu watakimbia hii nchi.
Unabishaaaa? jaribu uone..:hand::hand::hand:
Ndg. TWENDWA kama unasoma hii post, nakushauri acha kabisa hata kufikiria hiyo kitu., maana utakuwa mwsho wa kila kitu kuanzia Mkwere, baraza lake la mafisadi, CCm, NEC, wewe pia n most of it, kuna watu watakimbia hii nchi.
Unabishaaaa? jaribu uone..:hand::hand::hand: