CHADEMA na TEKNOLOJIA

Exaud J. Makyao

JF-Expert Member
Nov 30, 2008
1,518
22
CHADEMA imeamua kurahisisha maendeleo ya chama kwa kuingiza suala la teknolojia.

Sasa CHADEMA imeanzisha E-Membership.
Yaani Electronic Membership.
Mtu akitaka kujiunga na CHADEMA aweza kujiunga kupitia INTERNET.

Naona wanataka kuweka katika vitendo SERA YA CHADEMA YA ELIMU.

SEHEMU YA SERA HIYO INASEMA HIVI,


Hali ya Elimu yetu Tanzania ikoje?
  1. Elimu bado ni ya kikoloni inayozalisha watwana.
  2. Mitaala haiendani na hali halisi ya kidunia.
  3. Wanafunzi wanalazimishwa kusoma kila somo kupata vyeti wakati vipaji haviendelezwi.
  4. Mpango wa Elimu ya Msingi wa kudandia uliyogubikwa na rushwa – Maandalizi ya walimu ni duni na rasilimali hazifikii walengwa.
  5. Bajeti ya elimu finyu sana – asilimia 9 tu!
  6. Tanzania ni nchi ya tatu kutoka mwisho duniani ambayo kiuwiano na idadi yake ya watu, ina idadi ndogo ya wasomi wa sekondari na vyuo.
  7. Elimu inawezeshwa kwa fedha za mikopo na misaada ya wahisani wakati fedha itokanayo na kodi atozwayo mwananchi inafanyiwa anasa tu.
  8. Gharama za elimu bado ni mzigo mkubwa kwa familia masikini.
  9. Mazingira ya elimu ni duni – madarasa, nyumba za walimu, maabara na vitabu.
  10. Mfumo wa Elimu hauna mtazamo wa Kijinsia hivyo hauweki mazingira mazuri ya kupata maarifa kwa wanafunzi wa kike na pia wanafunzi wenye ulemavu.
  11. Mazingira ya shule haya kidhi haja na sio rafiki kwa watoto wenye ulemavu wa viungo,wasioona na viziwi.
  12. Elimu ya teknohama hususan sayansi ya kompyuta haijaanzishwa.
  13. Mfumo wa elimu unaochelewesha kuhitimu – kuchelewa kuanza (miaka 7+) na kuchelewa kumaliza (2,7,6,3+)
  14. Elimu ya Uraia ni finyu na potofu.
  15. Michezo mashuleni imefutwa na hivyo kuziba vipaji vya watoto mfano UMITASHUMTA na UMISETA.


Hii imekaaje wanajamii?
 
Last edited:
CHADEMA imeamua kurahisisha maendeleo ya chama kwa kuingiza suala la teknolojia.

Sasa CHADEMA imeanzisha E-Membership.
Yaani Electronic Membership.
Mtu akitaka kujiunga na CHADEMA aweza kujiunga kupitia INTERNET.

Naona wanataka kuweka katika vitendo SERA YA CHADEMA YA ELIMU.

SEHEMU YA SERA HIYO INASEMA HIVI,



Hali ya Elimu yetu Tanzania ikoje?
  1. Elimu bado ni ya kikoloni inayozalisha watwana.
  2. Mitaala haiendani na hali halisi ya kidunia.
  3. Wanafunzi wanalazimishwa kusoma kila somo kupata vyeti wakati vipaji haviendelezwi.
  4. Mpango wa Elimu ya Msingi wa kudandia uliyogubikwa na rushwa – Maandalizi ya walimu ni duni na rasilimali hazifikii walengwa.
  5. Bajeti ya elimu finyu sana – asilimia 9 tu!
  6. Tanzania ni nchi ya tatu kutoka mwisho duniani ambayo kiuwiano na idadi yake ya watu, ina idadi ndogo ya wasomi wa sekondari na vyuo.
  7. Elimu inawezeshwa kwa fedha za mikopo na misaada ya wahisani wakati fedha itokanayo na kodi atozwayo mwananchi inafanyiwa anasa tu.
  8. Gharama za elimu bado ni mzigo mkubwa kwa familia masikini.
  9. Mazingira ya elimu ni duni – madarasa, nyumba za walimu, maabara na vitabu.
  10. Mfumo wa Elimu hauna mtazamo wa Kijinsia hivyo hauweki mazingira mazuri ya kupata maarifa kwa wanafunzi wa kike na pia wanafunzi wenye ulemavu.
  11. Mazingira ya shule haya kidhi haja na sio rafiki kwa watoto wenye ulemavu wa viungo,wasioona na viziwi.
  12. Elimu ya teknohama hususan sayansi ya kompyuta haijaanzishwa.
  13. Mfumo wa elimu unaochelewesha kuhitimu – kuchelewa kuanza (miaka 7+) na kuchelewa kumaliza (2,7,6,3+)
  14. Elimu ya Uraia ni finyu na potofu.
  15. Michezo mashuleni imefutwa na hivyo kuziba vipaji vya watoto mfano UMITASHUMTA na UMISETA.

Hii imekaaje wanajamii?

Ni vema kuweka sera katika vitendo.
 
CHADEMA imeamua kurahisisha maendeleo ya chama kwa kuingiza suala la teknolojia.

Sasa CHADEMA imeanzisha E-Membership.
Yaani Electronic Membership.
Mtu akitaka kujiunga na CHADEMA aweza kujiunga kupitia INTERNET.

Naona wanataka kuweka katika vitendo SERA YA CHADEMA YA ELIMU.

SEHEMU YA SERA HIYO INASEMA HIVI,


Hali ya Elimu yetu Tanzania ikoje?

  1. Elimu bado ni ya kikoloni inayozalisha watwana.
  2. Mitaala haiendani na hali halisi ya kidunia.
  3. Wanafunzi wanalazimishwa kusoma kila somo kupata vyeti wakati vipaji haviendelezwi.
  4. Mpango wa Elimu ya Msingi wa kudandia uliyogubikwa na rushwa – Maandalizi ya walimu ni duni na rasilimali hazifikii walengwa.
  5. Bajeti ya elimu finyu sana – asilimia 9 tu!
  6. Tanzania ni nchi ya tatu kutoka mwisho duniani ambayo kiuwiano na idadi yake ya watu, ina idadi ndogo ya wasomi wa sekondari na vyuo.
  7. Elimu inawezeshwa kwa fedha za mikopo na misaada ya wahisani wakati fedha itokanayo na kodi atozwayo mwananchi inafanyiwa anasa tu.
  8. Gharama za elimu bado ni mzigo mkubwa kwa familia masikini.
  9. Mazingira ya elimu ni duni – madarasa, nyumba za walimu, maabara na vitabu.
  10. Mfumo wa Elimu hauna mtazamo wa Kijinsia hivyo hauweki mazingira mazuri ya kupata maarifa kwa wanafunzi wa kike na pia wanafunzi wenye ulemavu.
  11. Mazingira ya shule haya kidhi haja na sio rafiki kwa watoto wenye ulemavu wa viungo,wasioona na viziwi.
  12. Elimu ya teknohama hususan sayansi ya kompyuta haijaanzishwa.
  13. Mfumo wa elimu unaochelewesha kuhitimu – kuchelewa kuanza (miaka 7+) na kuchelewa kumaliza (2,7,6,3+)
  14. Elimu ya Uraia ni finyu na potofu.
  15. Michezo mashuleni imefutwa na hivyo kuziba vipaji vya watoto mfano UMITASHUMTA na UMISETA.


Hii imekaaje wanajamii?
LINK ya hiyo page ipo wapi??
 
Hii imekaa vizuri.
CHADEMA imeamua kudhihirisha kuwa inasonga mbele.
CCM itaiga mara moja,
Subiri uone.
 
Waache watapetape na faulo walizocheza, nani anende huko sasa!

wasijifanye kama hakuna lililotokea! watu wameona na wamewa-devalue.

unafikiri nilivyokuwa nafanya kazi ya kupiga debe kuwa hiki ni chama makini iilikuwa ndogo, kla nikiwaona niliokuwa nawahubiria nawakwepa!!
 
CHADEMA imeamua kurahisisha maendeleo ya chama kwa kuingiza suala la teknolojia.

Sasa CHADEMA imeanzisha E-Membership.
Yaani Electronic Membership.
Mtu akitaka kujiunga na CHADEMA aweza kujiunga kupitia INTERNET.

Naona wanataka kuweka katika vitendo SERA YA CHADEMA YA ELIMU.

SEHEMU YA SERA HIYO INASEMA HIVI,



Hali ya Elimu yetu Tanzania ikoje?
  1. Elimu bado ni ya kikoloni inayozalisha watwana.
  2. Mitaala haiendani na hali halisi ya kidunia.
  3. Wanafunzi wanalazimishwa kusoma kila somo kupata vyeti wakati vipaji haviendelezwi.
  4. Mpango wa Elimu ya Msingi wa kudandia uliyogubikwa na rushwa – Maandalizi ya walimu ni duni na rasilimali hazifikii walengwa.
  5. Bajeti ya elimu finyu sana – asilimia 9 tu!
  6. Tanzania ni nchi ya tatu kutoka mwisho duniani ambayo kiuwiano na idadi yake ya watu, ina idadi ndogo ya wasomi wa sekondari na vyuo.
  7. Elimu inawezeshwa kwa fedha za mikopo na misaada ya wahisani wakati fedha itokanayo na kodi atozwayo mwananchi inafanyiwa anasa tu.
  8. Gharama za elimu bado ni mzigo mkubwa kwa familia masikini.
  9. Mazingira ya elimu ni duni – madarasa, nyumba za walimu, maabara na vitabu.
  10. Mfumo wa Elimu hauna mtazamo wa Kijinsia hivyo hauweki mazingira mazuri ya kupata maarifa kwa wanafunzi wa kike na pia wanafunzi wenye ulemavu.
  11. Mazingira ya shule haya kidhi haja na sio rafiki kwa watoto wenye ulemavu wa viungo,wasioona na viziwi.
  12. Elimu ya teknohama hususan sayansi ya kompyuta haijaanzishwa.
  13. Mfumo wa elimu unaochelewesha kuhitimu – kuchelewa kuanza (miaka 7+) na kuchelewa kumaliza (2,7,6,3+)
  14. Elimu ya Uraia ni finyu na potofu.
  15. Michezo mashuleni imefutwa na hivyo kuziba vipaji vya watoto mfano UMITASHUMTA na UMISETA.

Hii imekaaje wanajamii?

Chadema inapiga mark time, hatua moja mbele moja nyuma.

Eeee?
Kwa vipi mapinduzi?
 
Waache watapetape na faulo walizocheza, nani anende huko sasa!

wasijifanye kama hakuna lililotokea! watu wameona na wamewa-devalue.

unafikiri nilivyokuwa nafanya kazi ya kupiga debe kuwa hiki ni chama makini iilikuwa ndogo, kla nikiwaona niliokuwa nawahubiria nawakwepa!!

Mkuu Waberoya, "watu wameona na wamewa-devalue" ... for how long?! In every political system there is ups and downs, hiccup waliyopata Chadema in a strictest sense imewafaa sana na imetokea wakati mzuri, approximately 14 months before general election. They've ample time to resolve any internal disgruntlements, lakini kwa vile "miafrika ndivyo tulivyo," hatuchelewi kuona this short-term turmoil be carried forward into future election affairs. Na sisi the so called great thinkers are recklessly trumpeting hard to see these egoistic interests beneath the differences we read about are carried forth.

Hii issue ya membership online i don't think has anything to do with the recent affairs ndani ya chama. CCM walichezeana faulo 1995 na 2005, hata hivi karibuni tu kwenye CC yao kuhusiana na mambo ya Mh. Sitta. Lakini chama as chama has to prevail. Hatuwezi kuwakatisha tamaa Watanzania wenye nia ya kujiunga na Chadema kana kwamba minong'ono iliyotokea spells their death and all.

If they've thought hard on how to implement and maintain the membership system, then let it be. Good on them, at least they are doing something that goes with technological trends.
 
Last edited:
Mkuu Waberoya, "watu wameona na wamewa-devalue" ... for how long?! In every political system there is ups and downs, hiccup waliyopata Chadema in a strictest sense imewafaa sana na imetokea wakati mzuri, approximately 14 months before general election. They've ample time to resolve any internal disgruntlements, lakini kwa vile "miafrika ndivyo tulivyo," hatuchelewi kuona this short-term turmoil be carried forward into future election affairs. Na sisi the so called great thinkers are recklessly trumpeting hard to see these egoistic interests that are beneath the differences we read about are carried forth.

Hii issue ya membership online i don't think has anything to do with the recent affairs ndani ya chama. CCM walichezeana faulo 1995 na 2005, hata hivi karibuni tu kwenye CC yao kuhusiana na mambo ya Mh. Sitta. Lakini chama as chama has to prevail. Hatuwezi kuwakatisha tamaa Watanzania wenye nia ya kujiunga na Chadema kana kwamba minong'ono iliyotokea spells their death and all.

If they've thought hard on how to implement and maintain the membership system, then let it be. Good on them, at least they are doing something that goes with technological trends.

Umesomeka mkuu,
Hakuna chama ambacho hakipiti kwenye changamoto.
La msingi ni kuzitumia changamoto hizo kuwa fursa.
 
Waache watapetape na faulo walizocheza, nani anende huko sasa!

wasijifanye kama hakuna lililotokea! watu wameona na wamewa-devalue.

unafikiri nilivyokuwa nafanya kazi ya kupiga debe kuwa hiki ni chama makini iilikuwa ndogo, kla nikiwaona niliokuwa nawahubiria nawakwepa!!

Waberoya,

CLinton family walimtukana sana Obama. Haikupita miezi kadhaa, walewale waliokuwa wakisema jamaa HAFAI, wakawa jukwaani wakisema jamaa ni MWOKOZI WA USA. Na watu hata hawakusema flip flops. Wakawa naye kwenye majukwaa yote na mwisho wako pamoja serikalini. Hii haikusemwa kuwa imevunja chama.
Iwe isiwe, Zitto kaweka NJIA. next time sijui kama watakuwa na uwezo wa kuzuia watu maana umma utakuwa mapemaaa unadai demokrasia ya kweli iwepo. Siwezi kuwa nachangia 300 kwa mwezi halafu nisikie Chadema ina wenyewe. Kama ina wenyewe basi si wachangie hizo 300 zetu? Kuanzia ilipojileta sokoni kuja kuomba nguvu kwa wananchi, imekosa mwenyewe. Kama wanataka iwe ya wachaga tu au wa kaskazini tu, ipelekeni huko Kibohehe na msiilete Dar kwa Wazaramo.
Nina uhakika na moja. Hiki chama very soon kitakuwa cha Watanzania. Watabana weee, mwisho wake wataachia. Na hapo Chadema itakokota watu kama kokoro. Mzee Mtei utakumbukwa tu kwa kuanzisha Chadema na heshima yako milele itakuwa kubwa. Ila ukianza kuharibu, basi historia itajua wapi ikuweke.
Naipenda film aliyocheza Antonio Banderas iitwayo THE 13th WARRIOR. Humo ndani kuna maneno "mtu akiishi duniani, na watu baadaye waje waichore (ichonge/andika) historia yake, basi huyo mtu ni TAJIRI". Mzee Mtei, USITAKE KUIHARIBU hiyo historia yako.
 
Waberoya,

CLinton family walimtukana sana Obama. Haikupita miezi kadhaa, walewale waliokuwa wakisema jamaa HAFAI, wakawa jukwaani wakisema jamaa ni MWOKOZI WA USA. Na watu hata hawakusema flip flops. Wakawa naye kwenye majukwaa yote na mwisho wako pamoja serikalini. Hii haikusemwa kuwa imevunja chama.
Iwe isiwe, Zitto kaweka NJIA. next time sijui kama watakuwa na uwezo wa kuzuia watu maana umma utakuwa mapemaaa unadai demokrasia ya kweli iwepo. Siwezi kuwa nachangia 300 kwa mwezi halafu nisikie Chadema ina wenyewe. Kama ina wenyewe basi si wachangie hizo 300 zetu? Kuanzia ilipojileta sokoni kuja kuomba nguvu kwa wananchi, imekosa mwenyewe. Kama wanataka iwe ya wachaga tu au wa kaskazini tu, ipelekeni huko Kibohehe na msiilete Dar kwa Wazaramo.
Nina uhakika na moja. Hiki chama very soon kitakuwa cha Watanzania. Watabana weee, mwisho wake wataachia. Na hapo Chadema itakokota watu kama kokoro. Mzee Mtei utakumbukwa tu kwa kuanzisha Chadema na heshima yako milele itakuwa kubwa. Ila ukianza kuharibu, basi historia itajua wapi ikuweke.
Naipenda film aliyocheza Antonio Banderas iitwayo THE 13th WARRIOR. Humo ndani kuna maneno "mtu akiishi duniani, na watu baadaye waje waichore (ichonge/andika) historia yake, basi huyo mtu ni TAJIRI". Mzee Mtei, USITAKE KUIHARIBU hiyo historia yako.

kula tano!

Naenda kunywa pespi bariidi, huku nikipiga mruzi. Lakini nikiwa na matumaini CHADEMA wafanye move fulani kufuta hii iliyotokea! tunataka tukiwapa nchi, hata tukiondoka duniani, then tunaamini wajukuu zetu wako salama, na sio kuleta ubaba mkwe , this was totally absurd!

Haiingii akilini, CHADEMA na ujanja wooote wa kusaka nyaraka za siri ndani ya sserikali ishindwe kuwapata waliopewa fedha na CCM hata kutaja ni nani hyu aliyetoa hela, kinyume na hicho ni uongo na Mtei hapa alikosea sana kusema hayo, !!!

Nachelewa pepsi!!
 
Umesahau kuwa hata wachaga wanauza pepsi? inabidi umuulize mhudumu au mmiliki wa hapo unaponunua pepsi ili kujua kabila lake you chaga hater.

Mwafrika, please acha kumbatiza jina member mwenzio. Mambo alioyoyaongelea kuhusiana na Chadema hayatoi rai ya kuweza kumpachika jina lenye athari kama hilo. Refrain tafadhali ili tuendelee na majadiliano kama watu tunaoweza kukubaliana pahali na pahali kupingana. Thanks.
 
Mwafrika, please acha kumbatiza jina member mwenzio. Mambo alioyoyaongelea kuhusiana na Chadema hayatoi rai ya kuweza kumpachika jina lenye athari kama hilo. Refrain tafadhali ili tuendelee na majadiliano kama watu tunaoweza kukubaliana pahali na pahali kupingana. Thanks.

SteveD,

Huwa mimi sina simile na watu wanaoonyesha chuki za kidini au za kikabila hapa JF. Ninawasakama mpaka pale wanapoomba msamaha na kukiri kuwa wamekosea ha kuahidi kuwa hawatarudia tena.

Huyu waberoya alifikia hatua ya kuuliza mwana JF (kwa hasira) kama ni mchaga. Tukianza kuulizana makabila hapa JF hatutafika kokote. Kwa sasa mimi nayeye tu mpaka kieleweke.

Wewe unaweza kuacha kusoma maandishi yangu na utakuwa okay. Kwa sasa mimi na huyu waberoya mpaka kitaeleweka hapa jamvini kama anaendeleza chuki dhidi ya wachaga au ameacha.

Asante kwa ushauri wako.
 
SteveD,

Huwa mimi sina simile na watu wanaoonyesha chuki za kidini au za kikabila hapa JF. Ninawasakama mpaka pale wanapoomba msamaha na kukiri kuwa wamekosea ha kuahidi kuwa hawatarudia tena.

Huyu waberoya alifikia hatua ya kuuliza mwana JF (kwa hasira) kama ni mchaga. Tukianza kuulizana makabila hapa JF hatutafika kokote. Kwa sasa mimi nayeye tu mpaka kieleweke.

Wewe unaweza kuacha kusoma maandishi yangu na utakuwa okay. Kwa sasa mimi na huyu waberoya mpaka kitaeleweka hapa jamvini kama anaendeleza chuki dhidi ya wachaga au ameacha.

Asante kwa ushauri wako.

Ahsante, nimekusoma mkuu.

Hata hivyo nina nyongeza nikiamini katika kushauriana miafaka hupatikana.

Aliyemhoji kama ni Mchaga au laa ni Eric Ongara kama sikosei kwenye ile thread aliyoianzisha. Kwa maoni yangu alitamka hayo akiwa na hasira sana maana mwanzo wa ile post katoa hoja yake vizuri tu tena very objectively, lakini kwenye kumalizia ndiyo kalikoroga kwa kuweka vijembe kumlenga mtu mmoja na kujisahau kuwa vijembe vya makabila vinahusu watu wote. Kuna pahali nimesoma anaonekana ku-acknowledge hiyo shortfall pale alipomjibu mkulu Mkandara.

That being said, kwa upande wako mkuu, je huku kujikimu na kuhakikisha kuwa unamkomoa kwa makosa yake huoni kama kwamba kunaweza kutumbukia kwenye ukiukaji wa sheria za hapa jamvini, achilia mbali hali na hulka ya kutapakaisha hali za ugomvi na maneno ya kushushuana kuwa kero kwa wengine? Kwa kweli mimi nakusihi u-drop tu hii case yake kwa manufaa ya kuendeleza mijadala bila ndani ya wigo inamokubalika. Kama ni kupingwa vikali kwa yale aliyoyasema - basi tayari atakuwa ameelewa, kama bado, basi huyo si wa kuelewa. Nikikumbuka michango yake mingine aliyokwisha itoa humu jamvini kwa umakini mkubwa, naamini ameelewa alipokwazika. Ahsante.
 
Ahsante, nimekusoma mkuu.

Hata hivyo nina nyongeza nikiamini katika kushauriana miafaka hupatikana.

Aliyemhoji kama ni Mchaga au laa ni Eric Ongara kama sikosei kwenye ile thread aliyoianzisha. Kwa maoni yangu alitamka hayo akiwa na hasira sana maana mwanzo wa ile post katoa hoja yake vizuri tu tena very objectively, lakini kwenye kumalizia ndiyo kalikoroga kwa kuweka vijembe kumlenga mtu mmoja na kujisahau kuwa vijembe vya makabila vinahusu watu wote. Kuna pahali nimesoma anaonekana ku-acknowledge hiyo shortfall pale alipomjibu mkulu Mkandara.

That being said, kwa upande wako mkuu, je huku kujikimu na kuhakikisha kuwa unamkomoa kwa makosa yake huoni kama kwamba kunaweza kutumbukia kwenye ukiukaji wa sheria za hapa jamvini, achilia mbali hali na hulka ya kutapakaisha hali za ugomvi na maneno ya kushushuana kuwa kero kwa wengine? Kwa kweli mimi nakusihi u-drop tu hii case yake kwa manufaa ya kuendeleza mijadala bila ndani ya wigo inamokubalika. Kama ni kupingwa vikali kwa yale aliyoyasema - basi tayari atakuwa ameelewa, kama bado, basi huyo si wa kuelewa. Nikikumbuka michango yake mingine aliyokwisha itoa humu jamvini kwa umakini mkubwa, naamini ameelewa alipokwazika. Ahsante.

To the contrary mkuu,

Waberoya bado anazidi kuandika kuwa hakuna makosa kuulizia makabila ya watu (kwa nia ya kupunguza ukabila). Katika hili bado anataka kuendeleza chuki dhidi ya kabila fulani ambalo yeye haoni kama linafaa kuongoza au kufanya chochote asichokipenda (katika hii case - wachaga).

Kama kuna sheria yoyote ya JF inayozuia kuwakemea wale wenye chuki za kikabila kama waberoya, naomba nikiri kuwa sikuwa na taarifa ya hiyo sheria, na nitashukuru sana kama nikiambiwa hilo. Kwa kufanya hivyo, basi nitamwacha waberoya aendeleze chuki zake dhidi ya wachaga (hasa pale anapopata hasira) kwa vile sipendi kamwe kuvunja sheria za JF.

Kwa sasa, bado sijaona kama waberoya ameacha chuki zake za kikabila dhidi ya wachaga. Na kwa hilo, mimi na waberoya tuko kwenye siku ndefu sana hapa (as longer as sivunji sheria za JF).
 
Waache watapetape na faulo walizocheza, nani anende huko sasa!

wasijifanye kama hakuna lililotokea! watu wameona na wamewa-devalue.

unafikiri nilivyokuwa nafanya kazi ya kupiga debe kuwa hiki ni chama makini iilikuwa ndogo, kla nikiwaona niliokuwa nawahubiria nawakwepa!!

Usikate tamaa mkuu kujenga demokrasia ni safari ndefu, usione marekani wako pale waliwahi kupigana vita ya wenyewe kwa wenyewe.
 
Chadema imefunika! Mimi nilikuwepo wakati wanazindua Teknolojia ya kuingia chamani kwa njia ya mtandao.
CCM, watakesha. Kutumia fedha kuna kikomo. Na mbinu nyingine ziko njiani.
Hata hotuba ya Mbowe, ilikuwa kiboko. Naye Lipumba, ameongezea uzito kwa hotuba yake yenye mvuto.
 
Chadema imefunika! Mimi nilikuwepo wakati wanazindua Teknolojia ya kuingia chamani kwa njia ya mtandao.
CCM, watakesha. Kutumia fedha kuna kikomo. Na mbinu nyingine ziko njiani.
Hata hotuba ya Mbowe, ilikuwa kiboko. Naye Lipumba, ameongezea uzito kwa hotuba yake yenye mvuto.

Tuko Pamoja mkuu
 
Back
Top Bottom