Mimibaba
JF-Expert Member
- Jul 1, 2009
- 4,557
- 1,291
Ni vizuri ku share ni kipi mmejifunza kutokana na siasa za Znz? Tusiwe wachoyo ni vizuri kutathimini na sio kujificha na kufa kibudu.
Sijawahi kusikia au kuona jitihada za kushirikiana na mpumbavu zina tija.