Kigogo
JF-Expert Member
- Dec 14, 2007
- 20,508
- 6,146
Jamaa mbona ana hasira sana tangu aliponyang'anywa tonge?
nilikuwa namheshimu sana huyu mzeee lakini nimekuja kugundua ni ***** la kutupwa hasa mara baada ya chadema kuwatosa CUF kwenye serikali kivuli....kwangu mimi namuona ni mtu anayetapatapa tu