Chris Lukosi
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 4,581
- 2,937
Mkuu ile ilikuwa ni kanya boya na nilifanya hivyo kwa maagizo ya boss LemaHata Mh. Lema naye ameanza kuwa mjasilimali wa michango ya wanaCHADEMA. Nafikiri anajifunza kutoka kwa Mh. Mbowe. Sijui ile chopper bado iko kwenye meli au bandarini?. Mbona yuko kimya sana!!.
Huyu Chris Lukosi lazima atakuwa anafahamu kwa sababu yeye ndiye alimpeleka kwenda kupiga picha kwa ma-dealer wa used chopper.
Chilisosi akarusha hewani, si unajua tena siasa za chadema ni kanyaboya tu!