Mawazo yako yanafanana na avatar yako,lakini pia nimefatilia post zako nyingi humu JF is like unaumwa ukichaa vile au uliwai umwa bado ujapona vyema...na wewe upo na mke wako na watoto wako unawaambia mchango wako kwa ukombozi wa Tanzania ndio huo uharo ulioandika hapo? Hv unadhani Dr Slaa ni mwizi kama viongozi wa magamba? Jaribu kuwa na comments za mtu mzima na mwenye akili timamu,wewe ni baba wa familia ati!! unatia aibu hata kwa watoto wako,sasa kama baba ni kichwa tope hivi hao watoto watakuwaje? si watakuwa majitaka square.....!!!