CHADEMA na muhuri wa damu katika Taifa lao

CHADEMA na muhuri wa damu katika Taifa lao

CHADEMA kitabaki kuwa genge la mhuni Mbowe anayetumia fedha kujijenga kwa mamluki wachache kwa njia mbalimbali kama kushinda mitandaoni. CHADEMA ingekuwa na support ya watanzania kwa kiasi fulani tu kinachoeleweka ingechukua nchi.
Lakini uroho wa madaraka wa Mbowe hauwezi kuipa ushindi CHADEMA, aidha wa kura au mioyo ya watanzania.
Ukiangalia historia ya CHADEMA imejengwa na two pillars;
  1. Imani (trust) ya watanzania kwa baadhi ya watu walioiongoza CHADEMA. Ukiangalia historia Mbowe kagombea urais mara mbili akaishia kupata kura asilimia 0. au chini ya 2! CHADEMA kilipata umaarufu kupitia viongozi wengine kama Zitto lakini kwa kiasi kikubwa sana Dr Slaa. Huyu watu walimtrust wengi na hivyo kuisupport CHADEMA. Lakini cha ziada alichofanya Dr Slaa ni kujenga mifumo ya CHADEMA na kutojijenga yeye binafsi. Ndiyo mana kwenye mgogoro uliopelekea kuondoka CHADEMA aliondoka peke yake bila kutaka kukibomoa chama, lkn leo hii Mbowe huwezi mtoa sababu kajijenga binafsi na kapanga watu wanaomtumikia yeye na siyo chama. Vilevile sababu Dr Slaa aliamini katika kujenga mifumo ndiyo sababu mojawapo iliyofanya CHADEMA ipate angalau kura ilizozipata kwenye uchaguzi wa 2015 na siyo kwamba Lowasa ndiyo alichangia sana kama ambavyo wanadanganya umma.
  2. Chuki iliyopitiliza ya watanzania kwa viongozi na serikali ya CCM ya wakati ule. Ni kweli kweli kwamba viongozi na serikali walikuwa mbali na watanzania sababu walishindwa kutatua kero sugu za watanzania. Rushwa zavwaziwazi, ufisadi, kupeana vyeo kindugu, huduma mbovu za jamii kama afya na elimu, bei za vitu kuwa juu, ukosefu wa ajira, ujambazi uliokithiri, uporaji na utapeli wa wazi mfano watu kuporwa nyumba ilikuwa jambo la kawaida, ubovu wa miundombinu kama barabara na umeme, nk. Kwa kuwabserikali ilionekana dhahiri kushindwa kutatua kero na kukosa dhamira yabwazi, wananchi waliichukia na kiurahisi kugeukia upinzani kupata faraja. Na ukikumbuka vizuri hizi ndiyo zilikuwa sera za upinzani zilizoibeba sana kwa sababu ziligusa mahitaji ya watu(maanake walio wengi).
Sasa baada ya CHADEMA hasa Mbowe kushawishiwa na kununuliwa na fisadi Lowasa, wakazitupa hizo sera zinazogusa mass, kwa tamaa ya kuingia ikulu. Kumbuka walivyodanganywa na Lowasa kuwa eti suala la kura wamuachie yeye, ila ana uhakika wanaingia ikulu.

Baada ya hapo CHADEMA ilibadilika na kukomaa kuwa chama cha ‘kihuni’. Angalia tu hata hapa JF manazi wengi wa CHADEMA ni ‘wahuni’ wanaoamini kwenye kutukana matusi na kudhalilisha kama njia ya kuzima hoja zenye nguvu. Uhuni wa CHADEMA unadhihirika maeneo mengi;
  1. Kuminya demokrasia ndani ya chama. Mbowe ni mwenyekiti wa kudumu kwenye chama cha ‘kidemokrasia’. Kiongozi anayetakiwa na Mbowe ndiye anayepitishwa kugombea iwe kwenye baraza la wanawake, vijana au kokote. Kumbuka ubabe wa bila majadiliano wa kulazimisha wabunge kutohudhuria bunge sababu ya COVID 19.
  2. Kufanya vitendo vya kihuni kisiri na kusingizia ni serikali ilimkuipaka matope. Hata mabomu ya Arusha inaaminika na wengi ni mpango wa wachache CHADEMA, vinginevyo mwambieni Mbowe atoe mkanda wa video uliorekodi tukio zima! Kumbuka wakati wa uchaguzi wa 2020 ofisi za CHADEMA zilikuwa zinatolewa kwanza documents muhimu alafu ndiyo zinachomwa! Au ule uhuninwa kuchapa karatasi feki za kura Dsm na kutangaza tumekamata kura za kughushi za CCM! Wanaita waandihi wa habari, wanawaonyesha kwa mbali hizo kura na kisha wanaenda kuzichoma kisiri. Walijua wakiziacha watu waziangalie kiundani itajulikana wamefoji sababu zilikuwa tofauti. Lakini kilele cha uhuni na kuumbuka ni kesi ya Mbowe ya ugaidi. Hii ndiyo imedhihirisha wazi CHADEMA ilikuwa inatumia mbinu gani katika maisha yake hasa baada ya kuishiwa sera kuanzia 2015 na Magufuli kuwa karibu na wananchi kwa kutatua kwa kasi na kuonyesha nia thabiti ya kuendelea kutatua kero za wananch.
Umejitahid sana kurefusha hii nsha lkn main point yako hapo ni personal attack against Mbowe. Issue ya slaa ni bora ungekaa kimya tu, hakuna mpinzani wa kweli na wa dhati ambae atatoka upinzan na kuelekea kule ambako maisha yake alipapiga vita sana!! Zito anaeleweka tu wala haina ubishi.
 
Hakuna chama ambacho kimewahi kuumizwa, kuteswa na kutoa gharama kubwa kwaajili ya ustawi wa Tanzania kama CHADEMA.

Sikuwahi kusikia kama Mwingereza aliwahi kuua viongozi wa TANU wakati wa harakati za kupigania uhuru.

CHADEMA, wakati wa utawala wa Kikwete, walirushiwa bomu lililoua watu wengi kule Arusha. Polisi waliwahi kumwua mwanachama wa CHADEMA kule Morogoro. Kiongozi wa CHADEMA kule Arusha alikatwa shingo kwa chainsew. Alphonce Mawazo, Mwenyekiti wa CHADEMA wa mkoa kule Geita, aliuawa kwa mapanga, na Serikali ya CCM ikawazuia watu wasitoe heshima za mwisho kwa Mawazo.

Pamoja na uovu wote huo, ambao hata TANU haikuwahi kufanyiwa na mkoloni mzungu, CHADEMA hawakukata tamaa, japo kwa majonzi makubwa, waliendelea na mapambano ya kutafuta haki zinazogandamizwa na watawala.

Wakati wa Utawala wa Magufuli, viongozi wa CHADEMA, magereza yakageuzwa kuwa nyumba zao, na mahakama kuwa ndiyo sebule zao. Wengine wakapotezwa mpaka leo. Kiongozi wa CHADEMA akamiminiwa risasi zaidi ya hata ngiri anavyoweza kushambuliwa, Ben Sanane akapotea, madiwani wakauawa.

Ni unyama ambao hata Mwarabu hakuwafanyia watumwa alionunua, ni ushenzi ambao hata mkoloni Mwingereza hakuwahi kuutenda, lakini CHADEMA wamefanyiwa. Ni nani katika hali ya kawaida, angeweza kuyamudu mateso na misiba hii? CHADEMA, kwa sababu ya upendo wao kwa Taifa, japo kwa taabu sana, walisonga mbele.

Wakati wa utawala wa Samia, kuingia tu, alichoona ni muhimu na cha haraka, ilikuwa ni kuwakamata na kuwasweka mahabusu mbalimbali viongozi na wanachama wa CHADEMA. Kisha wakaanza kuwatoa mahabusu taratibu. Mwishoni wakambakiza walitemtaka, Mh. Freeman Mbowe (Mungu amjalie afya njema, maisha marefu, moyo mkuu na ujasiri usiokoma), yeye wakambandika na kesi ya ugaidi. Wanaendelea naye mpaka siku watakapokuwa wameridhika.

Ni chama gani ambacho kimeipigania Tanzania ya demokrasia, haki, uhuru wa maoni na uhuru wa habari, uhuru wa Bunge, na haki ya maendeleo kwa Watanzania, kwa gharama kubwa zaidi ya CHADEMA? Hakika hakuna.

CHADEMA, wanachama na wapenzi wake wametoa damu, na maisha yao kwaajili ya Watanzania. Damu hii na maisha ya wenzetu hao, yasiende bure. Katiba mpya ni lazima, Tanzania ya haki, uhuru na demokrasia ni lazima.

CHADEMA wamepitia mengi Sana, mengine hata nguvu ya kusema haipo. Ila Mungu yupo pamoja nao na atawapigania dhidi ya maadui zake ambao wameshindwa kumuua wamebaki wanatapatapa na kuipeleka nchi kwenye mikopo.
 
Lakini kilele cha uhuni na kuumbuka ni kesi ya Mbowe ya ugaidi. Hii ndiyo imedhihirisha wazi CHADEMA ilikuwa inatumia mbinu gani katika maisha yake hasa baada ya kuishiwa sera kuanzia 2015 na Magufuli kuwa karibu na wananchi kwa kutatua kwa kasi na kuonyesha nia thabiti ya kuendelea kutatua kero za wananch.
Umejaaliwa uso mgumu usio na soni kama wa shetani mwenyewe.
Hivi kabisa hauwaoni WENZIO wanavyombwelambwela kule mahakamani na kesi mliyobumba ?
Nadhani ndo wale waathirika wa magufulegacy kama Betina, dawa yenu yaja kwa kasi.
 
Wewe ndie chawa, maana hata mawazo ya kuandika huna!

Toa wazo lako badala ya vijimaneno vya kihuni huni, siasa zinataka weledi na hoja sio ufuasi wa kinyumbunyumbu bila tafakuri.
Msidhani mko peke yenu nchi hii no..no...no!

Wananchi wapo macho wanawapimia wanasiasa na vyama vyao.
Uchaguzi wa 2025 sio wa kuangalia nani katoa damu au katoa jasho...no...no..no!

Wananchi wanataka kukwamuliwa kwenye matatizo ya msingi kijamii.
Tuna mambo meengi hata Samia tunamuangalia anavyotupeleka peleka,nae anapimiwa tu...

Majibu ya wananchi yataendelea kuwashangaza sana wanasiasa wa nchi hii.
Kama walivyowashangaza 2020, mashangazo huenda yakaendelea kwa kuwashangaza hata CCM wenyewe pia.

Watu walikwishaamka.
Hii habari ya kutuimbia wimbo mmoja wa Mawazo, sijui Saanane, Axory gwanda na Lissu ni mvinyo wa zamani.

Wananchi wana machungu yao mengi kuliko hayo mnayolazimisha yawe political mileage kwenu.

Tunafiwa na ndugu zetu kila uchao majumbani kwa kukosa pesa za kumudu gharama za matibabu mahospitalini.
Hivyo ndio vilio zaidi vya jamii.

Tunaumia na mfumko wa bei za bidhaa na mafuta ya kula na ya kuendeshea mitambo na magari.hicho ni kilio kikubwa cha jamii yetu kwa sasa na sio wimbo wenu wa Lissu anaekula mvinyo ulaya huku akuzunguka dunia kutuombea vikwazo vya kiuchumi watanzania. Kisa tu yeye binafsi asikilizwe....no...no..no!

Tuna wajasiliamali wamelazimishwa kuurudia umasikini kwa lazima, wameondolewa kwenye mzunguko wa pesa kwa kuwalazimisha Tozo.
Umeme unakatwa ovyo, salon za nywele kike na kiume, welders,mashine za kusaga na kukoboa nafaka, garments ndogogondogo za vyerehani za umeme, woote hawa wanashinda bila kipato.

Serikali iko kimya huku ikituwekea mawaziri wale wenye kutia mashaka na bodi za kilaghai...

Hizo ndio kero za wananchi wanzotaka kuwasikia wanasiasa wetu na wabunge wakijitokeza kuikemea serikali hii ikome kuendeleza ufisadi huu.....

Sio wimbo na whisky yenu ya old school!

Uchaguzi utakapofika 2025,kuna mengi yatakuwa yamejitokeza nchi hii.
Na huenda wakatokea wanasiasa makini wa kuwatetea wananchi kwa maslahi mapana ya kuzalendo.
Sio lazima tuchaguwe CCM au chadema....no...no...no!

Tutawakemea saana....acheni uhuni...

Una roho mabaya sana. Yani wewe uhai wa mtanzania mwenzako hauna maana zaidi ya kujengewa madarasa. Unafanya maendeleo gani wakati kuna watanzania wanzako wameuawa na kuzikwa kusikojulikana. Acheni dharau na uhai.
 
N
CHADEMA kitabaki kuwa genge la mhuni Mbowe anayetumia fedha kujijenga kwa mamluki wachache kwa njia mbalimbali kama kushinda mitandaoni. CHADEMA ingekuwa na support ya watanzania kwa kiasi fulani tu kinachoeleweka ingechukua nchi.
Lakini uroho wa madaraka wa Mbowe hauwezi kuipa ushindi CHADEMA, aidha wa kura au mioyo ya watanzania.
Ukiangalia historia ya CHADEMA imejengwa na two pillars;
  1. Imani (trust) ya watanzania kwa baadhi ya watu walioiongoza CHADEMA. Ukiangalia historia Mbowe kagombea urais mara mbili akaishia kupata kura asilimia 0. au chini ya 2! CHADEMA kilipata umaarufu kupitia viongozi wengine kama Zitto lakini kwa kiasi kikubwa sana Dr Slaa. Huyu watu walimtrust wengi na hivyo kuisupport CHADEMA. Lakini cha ziada alichofanya Dr Slaa ni kujenga mifumo ya CHADEMA na kutojijenga yeye binafsi. Ndiyo mana kwenye mgogoro uliopelekea kuondoka CHADEMA aliondoka peke yake bila kutaka kukibomoa chama, lkn leo hii Mbowe huwezi mtoa sababu kajijenga binafsi na kapanga watu wanaomtumikia yeye na siyo chama. Vilevile sababu Dr Slaa aliamini katika kujenga mifumo ndiyo sababu mojawapo iliyofanya CHADEMA ipate angalau kura ilizozipata kwenye uchaguzi wa 2015 na siyo kwamba Lowasa ndiyo alichangia sana kama ambavyo wanadanganya umma.
  2. Chuki iliyopitiliza ya watanzania kwa viongozi na serikali ya CCM ya wakati ule. Ni kweli kweli kwamba viongozi na serikali walikuwa mbali na watanzania sababu walishindwa kutatua kero sugu za watanzania. Rushwa zavwaziwazi, ufisadi, kupeana vyeo kindugu, huduma mbovu za jamii kama afya na elimu, bei za vitu kuwa juu, ukosefu wa ajira, ujambazi uliokithiri, uporaji na utapeli wa wazi mfano watu kuporwa nyumba ilikuwa jambo la kawaida, ubovu wa miundombinu kama barabara na umeme, nk. Kwa kuwabserikali ilionekana dhahiri kushindwa kutatua kero na kukosa dhamira yabwazi, wananchi waliichukia na kiurahisi kugeukia upinzani kupata faraja. Na ukikumbuka vizuri hizi ndiyo zilikuwa sera za upinzani zilizoibeba sana kwa sababu ziligusa mahitaji ya watu(maanake walio wengi).
Sasa baada ya CHADEMA hasa Mbowe kushawishiwa na kununuliwa na fisadi Lowasa, wakazitupa hizo sera zinazogusa mass, kwa tamaa ya kuingia ikulu. Kumbuka walivyodanganywa na Lowasa kuwa eti suala la kura wamuachie yeye, ila ana uhakika wanaingia ikulu.

Baada ya hapo CHADEMA ilibadilika na kukomaa kuwa chama cha ‘kihuni’. Angalia tu hata hapa JF manazi wengi wa CHADEMA ni ‘wahuni’ wanaoamini kwenye kutukana matusi na kudhalilisha kama njia ya kuzima hoja zenye nguvu. Uhuni wa CHADEMA unadhihirika maeneo mengi;
  1. Kuminya demokrasia ndani ya chama. Mbowe ni mwenyekiti wa kudumu kwenye chama cha ‘kidemokrasia’. Kiongozi anayetakiwa na Mbowe ndiye anayepitishwa kugombea iwe kwenye baraza la wanawake, vijana au kokote. Kumbuka ubabe wa bila majadiliano wa kulazimisha wabunge kutohudhuria bunge sababu ya COVID 19.
  2. Kufanya vitendo vya kihuni kisiri na kusingizia ni serikali ilimkuipaka matope. Hata mabomu ya Arusha inaaminika na wengi ni mpango wa wachache CHADEMA, vinginevyo mwambieni Mbowe atoe mkanda wa video uliorekodi tukio zima! Kumbuka wakati wa uchaguzi wa 2020 ofisi za CHADEMA zilikuwa zinatolewa kwanza documents muhimu alafu ndiyo zinachomwa! Au ule uhuninwa kuchapa karatasi feki za kura Dsm na kutangaza tumekamata kura za kughushi za CCM! Wanaita waandihi wa habari, wanawaonyesha kwa mbali hizo kura na kisha wanaenda kuzichoma kisiri. Walijua wakiziacha watu waziangalie kiundani itajulikana wamefoji sababu zilikuwa tofauti. Lakini kilele cha uhuni na kuumbuka ni kesi ya Mbowe ya ugaidi. Hii ndiyo imedhihirisha wazi CHADEMA ilikuwa inatumia mbinu gani katika maisha yake hasa baada ya kuishiwa sera kuanzia 2015 na Magufuli kuwa karibu na wananchi kwa kutatua kwa kasi na kuonyesha nia thabiti ya kuendelea kutatua kero za wananch.
Adhani malipo yameongezwa sio buku 7 tuu.
 
Hakuna chama ambacho kimewahi kuumizwa, kuteswa na kutoa gharama kubwa kwaajili ya ustawi wa Tanzania kama CHADEMA.

Sikuwahi kusikia kama Mwingereza aliwahi kuua viongozi wa TANU wakati wa harakati za kupigania uhuru.

CHADEMA, wakati wa utawala wa Kikwete, walirushiwa bomu lililoua watu wengi kule Arusha. Polisi waliwahi kumwua mwanachama wa CHADEMA kule Morogoro. Kiongozi wa CHADEMA kule Arusha alikatwa shingo kwa chainsew. Alphonce Mawazo, Mwenyekiti wa CHADEMA wa mkoa kule Geita, aliuawa kwa mapanga, na Serikali ya CCM ikawazuia watu wasitoe heshima za mwisho kwa Mawazo.

Pamoja na uovu wote huo, ambao hata TANU haikuwahi kufanyiwa na mkoloni mzungu, CHADEMA hawakukata tamaa, japo kwa majonzi makubwa, waliendelea na mapambano ya kutafuta haki zinazogandamizwa na watawala.

Wakati wa Utawala wa Magufuli, viongozi wa CHADEMA, magereza yakageuzwa kuwa nyumba zao, na mahakama kuwa ndiyo sebule zao. Wengine wakapotezwa mpaka leo. Kiongozi wa CHADEMA akamiminiwa risasi zaidi ya hata ngiri anavyoweza kushambuliwa, Ben Sanane akapotea, madiwani wakauawa.

Ni unyama ambao hata Mwarabu hakuwafanyia watumwa alionunua, ni ushenzi ambao hata mkoloni Mwingereza hakuwahi kuutenda, lakini CHADEMA wamefanyiwa. Ni nani katika hali ya kawaida, angeweza kuyamudu mateso na misiba hii? CHADEMA, kwa sababu ya upendo wao kwa Taifa, japo kwa taabu sana, walisonga mbele.

Wakati wa utawala wa Samia, kuingia tu, alichoona ni muhimu na cha haraka, ilikuwa ni kuwakamata na kuwasweka mahabusu mbalimbali viongozi na wanachama wa CHADEMA. Kisha wakaanza kuwatoa mahabusu taratibu. Mwishoni wakambakiza walitemtaka, Mh. Freeman Mbowe (Mungu amjalie afya njema, maisha marefu, moyo mkuu na ujasiri usiokoma), yeye wakambandika na kesi ya ugaidi. Wanaendelea naye mpaka siku watakapokuwa wameridhika.

Ni chama gani ambacho kimeipigania Tanzania ya demokrasia, haki, uhuru wa maoni na uhuru wa habari, uhuru wa Bunge, na haki ya maendeleo kwa Watanzania, kwa gharama kubwa zaidi ya CHADEMA? Hakika hakuna.

CHADEMA, wanachama na wapenzi wake wametoa damu, na maisha yao kwaajili ya Watanzania. Damu hii na maisha ya wenzetu hao, yasiende bure. Katiba mpya ni lazima, Tanzania ya haki, uhuru na demokrasia ni lazima.
Upo sahihi kabisa kuna Chama kinakunywa Damu za Watu

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Wewe ndie chawa, maana hata mawazo ya kuandika huna!

Toa wazo lako badala ya vijimaneno vya kihuni huni, siasa zinataka weledi na hoja sio ufuasi wa kinyumbunyumbu bila tafakuri.
Msidhani mko peke yenu nchi hii no..no...no!

Wananchi wapo macho wanawapimia wanasiasa na vyama vyao.
Uchaguzi wa 2025 sio wa kuangalia nani katoa damu au katoa jasho...no...no..no!

Wananchi wanataka kukwamuliwa kwenye matatizo ya msingi kijamii.
Tuna mambo meengi hata Samia tunamuangalia anavyotupeleka peleka,nae anapimiwa tu...

Majibu ya wananchi yataendelea kuwashangaza sana wanasiasa wa nchi hii.
Kama walivyowashangaza 2020, mashangazo huenda yakaendelea kwa kuwashangaza hata CCM wenyewe pia.

Watu walikwishaamka.
Hii habari ya kutuimbia wimbo mmoja wa Mawazo, sijui Saanane, Axory gwanda na Lissu ni mvinyo wa zamani.

Wananchi wana machungu yao mengi kuliko hayo mnayolazimisha yawe political mileage kwenu.

Tunafiwa na ndugu zetu kila uchao majumbani kwa kukosa pesa za kumudu gharama za matibabu mahospitalini.
Hivyo ndio vilio zaidi vya jamii.

Tunaumia na mfumko wa bei za bidhaa na mafuta ya kula na ya kuendeshea mitambo na magari.hicho ni kilio kikubwa cha jamii yetu kwa sasa na sio wimbo wenu wa Lissu anaekula mvinyo ulaya huku akuzunguka dunia kutuombea vikwazo vya kiuchumi watanzania. Kisa tu yeye binafsi asikilizwe....no...no..no!

Tuna wajasiliamali wamelazimishwa kuurudia umasikini kwa lazima, wameondolewa kwenye mzunguko wa pesa kwa kuwalazimisha Tozo.
Umeme unakatwa ovyo, salon za nywele kike na kiume, welders,mashine za kusaga na kukoboa nafaka, garments ndogogondogo za vyerehani za umeme, woote hawa wanashinda bila kipato.

Serikali iko kimya huku ikituwekea mawaziri wale wenye kutia mashaka na bodi za kilaghai...

Hizo ndio kero za wananchi wanzotaka kuwasikia wanasiasa wetu na wabunge wakijitokeza kuikemea serikali hii ikome kuendeleza ufisadi huu.....

Sio wimbo na whisky yenu ya old school!

Uchaguzi utakapofika 2025,kuna mengi yatakuwa yamejitokeza nchi hii.
Na huenda wakatokea wanasiasa makini wa kuwatetea wananchi kwa maslahi mapana ya kuzalendo.
Sio lazima tuchaguwe CCM au chadema....no...no...no!

Tutawakemea saana....acheni uhuni...

Wewe ndio mhuni na CCM yako. Mhuni Ni yule anakopa na kutoza tozo kwa wakati mmoja. Mhuni yule anayeipeleka nchi kwenye kupigwa mnada.
 
Hiv
CHADEMA kitabaki kuwa genge la mhuni Mbowe anayetumia fedha kujijenga kwa mamluki wachache kwa njia mbalimbali kama kushinda mitandaoni. CHADEMA ingekuwa na support ya watanzania kwa kiasi fulani tu kinachoeleweka ingechukua nchi.
Lakini uroho wa madaraka wa Mbowe hauwezi kuipa ushindi CHADEMA, aidha wa kura au mioyo ya watanzania.
Ukiangalia historia ya CHADEMA imejengwa na two pillars;
  1. Imani (trust) ya watanzania kwa baadhi ya watu walioiongoza CHADEMA. Ukiangalia historia Mbowe kagombea urais mara mbili akaishia kupata kura asilimia 0. au chini ya 2! CHADEMA kilipata umaarufu kupitia viongozi wengine kama Zitto lakini kwa kiasi kikubwa sana Dr Slaa. Huyu watu walimtrust wengi na hivyo kuisupport CHADEMA. Lakini cha ziada alichofanya Dr Slaa ni kujenga mifumo ya CHADEMA na kutojijenga yeye binafsi. Ndiyo mana kwenye mgogoro uliopelekea kuondoka CHADEMA aliondoka peke yake bila kutaka kukibomoa chama, lkn leo hii Mbowe huwezi mtoa sababu kajijenga binafsi na kapanga watu wanaomtumikia yeye na siyo chama. Vilevile sababu Dr Slaa aliamini katika kujenga mifumo ndiyo sababu mojawapo iliyofanya CHADEMA ipate angalau kura ilizozipata kwenye uchaguzi wa 2015 na siyo kwamba Lowasa ndiyo alichangia sana kama ambavyo wanadanganya umma.
  2. Chuki iliyopitiliza ya watanzania kwa viongozi na serikali ya CCM ya wakati ule. Ni kweli kweli kwamba viongozi na serikali walikuwa mbali na watanzania sababu walishindwa kutatua kero sugu za watanzania. Rushwa zavwaziwazi, ufisadi, kupeana vyeo kindugu, huduma mbovu za jamii kama afya na elimu, bei za vitu kuwa juu, ukosefu wa ajira, ujambazi uliokithiri, uporaji na utapeli wa wazi mfano watu kuporwa nyumba ilikuwa jambo la kawaida, ubovu wa miundombinu kama barabara na umeme, nk. Kwa kuwabserikali ilionekana dhahiri kushindwa kutatua kero na kukosa dhamira yabwazi, wananchi waliichukia na kiurahisi kugeukia upinzani kupata faraja. Na ukikumbuka vizuri hizi ndiyo zilikuwa sera za upinzani zilizoibeba sana kwa sababu ziligusa mahitaji ya watu(maanake walio wengi).
Sasa baada ya CHADEMA hasa Mbowe kushawishiwa na kununuliwa na fisadi Lowasa, wakazitupa hizo sera zinazogusa mass, kwa tamaa ya kuingia ikulu. Kumbuka walivyodanganywa na Lowasa kuwa eti suala la kura wamuachie yeye, ila ana uhakika wanaingia ikulu.

Baada ya hapo CHADEMA ilibadilika na kukomaa kuwa chama cha ‘kihuni’. Angalia tu hata hapa JF manazi wengi wa CHADEMA ni ‘wahuni’ wanaoamini kwenye kutukana matusi na kudhalilisha kama njia ya kuzima hoja zenye nguvu. Uhuni wa CHADEMA unadhihirika maeneo mengi;
  1. Kuminya demokrasia ndani ya chama. Mbowe ni mwenyekiti wa kudumu kwenye chama cha ‘kidemokrasia’. Kiongozi anayetakiwa na Mbowe ndiye anayepitishwa kugombea iwe kwenye baraza la wanawake, vijana au kokote. Kumbuka ubabe wa bila majadiliano wa kulazimisha wabunge kutohudhuria bunge sababu ya COVID 19.
  2. Kufanya vitendo vya kihuni kisiri na kusingizia ni serikali ilimkuipaka matope. Hata mabomu ya Arusha inaaminika na wengi ni mpango wa wachache CHADEMA, vinginevyo mwambieni Mbowe atoe mkanda wa video uliorekodi tukio zima! Kumbuka wakati wa uchaguzi wa 2020 ofisi za CHADEMA zilikuwa zinatolewa kwanza documents muhimu alafu ndiyo zinachomwa! Au ule uhuninwa kuchapa karatasi feki za kura Dsm na kutangaza tumekamata kura za kughushi za CCM! Wanaita waandihi wa habari, wanawaonyesha kwa mbali hizo kura na kisha wanaenda kuzichoma kisiri. Walijua wakiziacha watu waziangalie kiundani itajulikana wamefoji sababu zilikuwa tofauti. Lakini kilele cha uhuni na kuumbuka ni kesi ya Mbowe ya ugaidi. Hii ndiyo imedhihirisha wazi CHADEMA ilikuwa inatumia mbinu gani katika maisha yake hasa baada ya kuishiwa sera kuanzia 2015 na Magufuli kuwa karibu na wananchi kwa kutatua kwa kasi na kuonyesha nia thabiti ya kuendelea kutatua kero za wananch.

Hivi Lowassa Ni fisadi yupo chama gani?. Kama lowassa Ni fisadi kwanini msimshtaki mmebaki mnapiga kelele. Kama Lowassa Ni Fisadi kwanini msingechagua mgombea mwingine was upinzani mwaka 2015 Kama Anna Mghwira?. Msilete lawama sisizo na akili.
 
Kwani Chadema alipoondoka Dr Slaa haijafa!

Dr Slaa ndio alikufa kisiasa mpaka leo. Alipoondoka Dr Slaa 2015, ndipo chadema ilivunja rekodi ya kuwa na wabunge wengi na halmashauri nyingi kwenye uchaguzi mkuu wa 2015 kupita miaka yote. Mpaka Magufuri akaamua kuzuia mikutano yote ya siasa mpaka leo miaka 6 imeisha. Dr Slaa alibebwa na nyota ya CHADEMA hakuna jingine.
 
Hakuna chama ambacho kimewahi kuumizwa, kuteswa na kutoa gharama kubwa kwaajili ya ustawi wa Tanzania kama CHADEMA.

Sikuwahi kusikia kama Mwingereza aliwahi kuua viongozi wa TANU wakati wa harakati za kupigania uhuru.

CHADEMA, wakati wa utawala wa Kikwete, walirushiwa bomu lililoua watu wengi kule Arusha. Polisi waliwahi kumwua mwanachama wa CHADEMA kule Morogoro. Kiongozi wa CHADEMA kule Arusha alikatwa shingo kwa chainsew. Alphonce Mawazo, Mwenyekiti wa CHADEMA wa mkoa kule Geita, aliuawa kwa mapanga, na Serikali ya CCM ikawazuia watu wasitoe heshima za mwisho kwa Mawazo.

Pamoja na uovu wote huo, ambao hata TANU haikuwahi kufanyiwa na mkoloni mzungu, CHADEMA hawakukata tamaa, japo kwa majonzi makubwa, waliendelea na mapambano ya kutafuta haki zinazogandamizwa na watawala.

Wakati wa Utawala wa Magufuli, viongozi wa CHADEMA, magereza yakageuzwa kuwa nyumba zao, na mahakama kuwa ndiyo sebule zao. Wengine wakapotezwa mpaka leo. Kiongozi wa CHADEMA akamiminiwa risasi zaidi ya hata ngiri anavyoweza kushambuliwa, Ben Sanane akapotea, madiwani wakauawa.

Ni unyama ambao hata Mwarabu hakuwafanyia watumwa alionunua, ni ushenzi ambao hata mkoloni Mwingereza hakuwahi kuutenda, lakini CHADEMA wamefanyiwa. Ni nani katika hali ya kawaida, angeweza kuyamudu mateso na misiba hii? CHADEMA, kwa sababu ya upendo wao kwa Taifa, japo kwa taabu sana, walisonga mbele.

Wakati wa utawala wa Samia, kuingia tu, alichoona ni muhimu na cha haraka, ilikuwa ni kuwakamata na kuwasweka mahabusu mbalimbali viongozi na wanachama wa CHADEMA. Kisha wakaanza kuwatoa mahabusu taratibu. Mwishoni wakambakiza walitemtaka, Mh. Freeman Mbowe (Mungu amjalie afya njema, maisha marefu, moyo mkuu na ujasiri usiokoma), yeye wakambandika na kesi ya ugaidi. Wanaendelea naye mpaka siku watakapokuwa wameridhika.

Ni chama gani ambacho kimeipigania Tanzania ya demokrasia, haki, uhuru wa maoni na uhuru wa habari, uhuru wa Bunge, na haki ya maendeleo kwa Watanzania, kwa gharama kubwa zaidi ya CHADEMA? Hakika hakuna.

CHADEMA, wanachama na wapenzi wake wametoa damu, na maisha yao kwaajili ya Watanzania. Damu hii na maisha ya wenzetu hao, yasiende bure. Katiba mpya ni lazima, Tanzania ya haki, uhuru na demokrasia ni lazima.

Itabidi siku Moja Wana wa CHADEMA tuwe na maombi ya siku arobaini kwa imani yeyote. Tumlilie Mungu atuone na kutupigania dhidi ya dola ya CCM. Maana Kuna kipindi CHADEMA walibaki Kama yatima. Mahakama iliwapiga, bunge likawapiga na serikali ndio usisieme Kila mkuu wa mkoa na wilaya priority yake ilikiwa kuwanyongonyesha viongozi wake CHADEMA.

Walifanya maovu yote wanayojua wao dhidi ya CHADEMA Hadi kuingilia haki ya chama kuchagua wabunge wake wa viti maalum. Yani CHADEMA waliibiwa kura na bado wakaibiwa haki ya kuteua wabunge viti maalum. Kuna ubaya gani zaidi ya huo. Tunahitaji Kama CHADEMA tumgeukie Mungu ndio tumaini letu la mwisho. Kama aliweza kumuokoa Lissu na zile risasi bado anaweza kutenda makubwa kwetu. Tumaini letu liwe kwa Mungu pekee.
 
CUF ina historia ndefu ya harakati za siasa za upinzani katika nchi hii kuliko chama chochote kingine.

Wewe unalinganisha mateso ya utumwa utadhani ulikuwepo.

Tuonyeshe picha moja tu ya wanachadema wakiwa wamefungwa na minyororo shingoni na miguuni wakipelekwa gerezani wakiwa nusu uchi?

Matukio mengi ya chadema ni orchestra kuliko uhalisia wake.

Mengi yana walakini, na ni yana chain ya kutengenezwa na chadema yenyewe.

Ndio maana mfano, Lissu alishambuliwa ndio.

Hilo halina ubishi.....lakini chadema wametumia gharama zao kumtunza dereva wa Lissu nje ya nchi ili tu asihojiwe au kutoa ushirikiano kwa vyombo vya dola nchini.
Je kwa nini hili linatokea?

Kama anayo siri mnayohofia uhai wake, mbona Lissu hampeleki kwenye taasisi muhimu huko ughaibuni akatowe maelezo?

Amezunguka Dunia nzima na Media zote kubwa, lakini huwa hagusii hili la kukimbia na shahidi muhimu kwenye tukio lake?

Time Will Tell....ndio maana sishangai Mbowe kuwa jela.

Hatujui hao Makomandoo wake ameanza kuwatumia tangia lini?

Huenda wakawa sehemu ya mengi ambayo hatuyajui huku mkichafua serikali.
Nasikia mumeongezewa kutoka buku 7,eti imefikia ngapi sasa?
 
CUF ina historia ndefu ya harakati za siasa za upinzani katika nchi hii kuliko chama chochote kingine.

Wewe unalinganisha mateso ya utumwa utadhani ulikuwepo.

Tuonyeshe picha moja tu ya wanachadema wakiwa wamefungwa na minyororo shingoni na miguuni wakipelekwa gerezani wakiwa nusu uchi?

Matukio mengi ya chadema ni orchestra kuliko uhalisia wake.

Mengi yana walakini, na ni yana chain ya kutengenezwa na chadema yenyewe.

Ndio maana mfano, Lissu alishambuliwa ndio.

Hilo halina ubishi.....lakini chadema wametumia gharama zao kumtunza dereva wa Lissu nje ya nchi ili tu asihojiwe au kutoa ushirikiano kwa vyombo vya dola nchini.
Je kwa nini hili linatokea?

Kama anayo siri mnayohofia uhai wake, mbona Lissu hampeleki kwenye taasisi muhimu huko ughaibuni akatowe maelezo?

Amezunguka Dunia nzima na Media zote kubwa, lakini huwa hagusii hili la kukimbia na shahidi muhimu kwenye tukio lake?

Time Will Tell....ndio maana sishangai Mbowe kuwa jela.

Hatujui hao Makomandoo wake ameanza kuwatumia tangia lini?

Huenda wakawa sehemu ya mengi ambayo hatuyajui huku mkichafua serikali.
Mbona hili la Lissu lipo wazi sana na yeye mwenyewe alishalieza hadharani ni nani aliyesimamia mpango mzima wa yeye kudhuriwa.
 
Ingekuwa porojo ungeijibu kwa werevu wako hapahapa ili tuamini wewe ni binadamu na sio nyumbu!

Hoja haijibiwi kwa mistari ya kahawa!

CUF ipi hiyo, hii iliyokuwa inasaidiwa na serikali dhidi ya Maalim seif?. Sema wafuasi wa Maalim seif ndio wamepitia magumu sio CUF. CUF ilikuwa Maalim seif, alipoondoka ikafikia mwisho. Tofautisha CUF na CHADEMA. CHADEMA Ni taasisi wameondoka viongozi wengi lakini bado inaendelea. CUF kaondoka Maalim ndio ikawa mwisho wake.
 
Hoja mfu kabisaa, huyo dereva aje akae ubalozini, halafu muwaite Polisi wamhoji mbele ya mabalozi.

Kama anao ushahidi zaidi ya aliotuaminisha. Kwa nini Lissu mwanasheria,hajawahi mpeleka kwa taasisi mahiri huko ughaibuni na akatoa hicho mnachokificha?

Lissu tangu ameanza kuzunguka dunia, hatujawahi msikia akitamka lolote kuhusu huyo dereva hata siku moja.as if anapotezea kama hakuna hilo tukio.

Lissu anaye mwanasheria wa kimataifa Robert Amsterdam, huko Belgium [emoji1045] ,mbona asimpeleke akatowe ushuhuda wake ili utunzwe na kutambulika kisheria in case akipatwa na lolote baya?

Acheni hizooo!

Ni sheria gani inasema aliyenusurika kifo au aliye adhirika na shambulio ndio mwenye kuhojiwa?. Serikali itafute walinzi was siku hiyo na majirani walikuwepo eneo la tukio ndio watoe ushuhuda kwa waliyoyaona. Nadhani Lissu kupona kiliwaumiza Sana.
 
Mtoto mkorofi hawezi kukosa manundu kila siku usoni
Sasa chadema ni wakorofi warashindwaje kuumizwa

Mkorofi ni yule ambaye anapoteza watu na kuwaua. Fanya yote lakini damu isiyokuwa na hatia isimwagike kwenye ardhi yako. Mimi nitakuwa na amani siku ambayo wauaji wa Saanane na Azory watakapopatikana. Na waliomshambulia Lissu ambao wameanza kufahamika polepole.
 
Hoja mfu kabisaa, huyo dereva aje akae ubalozini, halafu muwaite Polisi wamhoji mbele ya mabalozi.

Kama anao ushahidi zaidi ya aliotuaminisha. Kwa nini Lissu mwanasheria,hajawahi mpeleka kwa taasisi mahiri huko ughaibuni na akatoa hicho mnachokificha?

Lissu tangu ameanza kuzunguka dunia, hatujawahi msikia akitamka lolote kuhusu huyo dereva hata siku moja.as if anapotezea kama hakuna hilo tukio.

Lissu anaye mwanasheria wa kimataifa Robert Amsterdam, huko Belgium [emoji1045] ,mbona asimpeleke akatowe ushuhuda wake ili utunzwe na kutambulika kisheria in case akipatwa na lolote baya?

Acheni hizooo!
Labda hufuatilii matukio kwa umakini. Lisu aliwahi kuongea kuhusiana na dereva. Dereva mwenyewe alikwishawahi kutoa maelezo kwa nyakati mbalimbali. Kuna clips mbalimbali za dereva wa Lisu.

Dereva hana kitu cha kuficha. Polisi hawana haja na maelezo yake. Lisu alikuwa hapa, mhusika mkuu, uliwahi kuwasikia polisi kuwa walimhoji? Hayo mambo ya dereva kutokuwepo ni visingizio tu.
 
Mkorofi ni yule ambaye anapoteza watu na kuwaua. Fanya yote lakini damu isiyokuwa na hatia isimwagike kwenye ardhi yako. Mimi nitakuwa na amani siku ambayo wauaji wa Saanane na Azory watakapopatikana. Na waliomshambulia Lissu ambao wameanza kufahamika polepole.
Wote walioua na kudhulumu, wao wenyewe na vizazi vyao wanatembea na laana. Na kamwe wao na wazao wao hawataonja neema ya Mungu bila ya toba iliyo kamili.

Hawa akina Kingai, Jumanne, Goodluck na Mahita, wafuatilieni, lazima wao na wana wao waandamwe na laana kwa uovu wao. Hawa ni wauaji, wataishi kwa kuhangaika.
 
Back
Top Bottom