CHADEMA na Lowassa, Homa ya CCM

CHADEMA na Lowassa, Homa ya CCM

Katiba inaruhusu hili?

MSILEWE CHENGA ZA CCM. Habari hapa ni katiba bora sio ya akina sita. Tunataka katiba ambayo mtu kabla kugombea AJIHOJI na asikimbilie.
Tunataka katiba itakaweka uongozi wowote uwe WITO na sio mtaji wa kutajilisha ukoo.
Tunataka katiba inayopunguza mapato ya viongoz ili wabaki wale wenye wito.

Mambo ya katiba kwasasa tumechelewa tuna vingi vya muhimu vya kufanya... Katiba inahitaji muda, weledi, hekima na maridhiano ya kitaifa. Tuwekeze kwenye uchaguzi kwasasa ili upite kwa amani halafu katiba itafuata, tuwe na mipangilio katika mambo
 
Hii kufananisha utendaji mbovu wa kazi wa Lowasa na CHADEMA mimi nalipinga kabisa .Mwalimu Nyerere aliwahi kusema ukiona mtu anatumia gharama nyingi kusaka madaraka hafai kuwa kiongozi anatakiwa kuogopwa kama ukoma au Ebola .hapo utakuwa umejifunza kitu huu ni mtamazamo wangu .

Neno Hata Mimi Lowasa cmkubali ata kidogo
 
Neno Hata Mimi Lowasa cmkubali ata kidogo

Ishu hapa ni kwamba kakivuruga chama chake mwanzo mwisho, na kajijengea ngome imara kiasi kwamba jaribio lolote la kutaka kumtosa litakuwa na gharama kubwa sana
 
Back
Top Bottom