CHADEMA na Lowassa, Homa ya CCM

CHADEMA na Lowassa, Homa ya CCM

Kiutendaji namkubali sana EL, ila sielewi kidogo kuhusu matumizi yake ya pesa kwa jamii mbalimbali hasa kipindi cha hivi karibuni. Nadhani nahitaji kueleweshwa. Otherwise he is a hardworking man.
 
Atatuongoza tuu taka msitake nyambafu wewe.masheikh wa jk wenyewe jana wamemchangia laki saba(700000)bagamoyo wakamwambia chukuwa form kuna kazi tena hapo sasa mnataka nani awe rais wa tz kupitia ccm?japo tunajua kabisa ukawa bado japo wanajipa matumaini
 
huyo lowasa ni fisad kma wengne kma anania njema na urais angepunguza pupa na angeuza sera kwa mdomo na si kwa pesa anavyotumia sasa.wtz tumwogope bepar huyu kma ukoma kwani akiingia madarakani atarudisha billions zote anazomwaga sasa .hakuna bepar anaefanya biashara yyte na kutaraj hasara.
 
Lowassa huyu huyu fisadi, Hebu kuweni serious jamani!

ww ndio unaeona fisadi lakini upepo upo upande wake,
hebu jiulize kwa nini anapigwa vita kiasi hicho?
mpeni nafasi muone balaa lake hapo chichiemu.
mtoa mada hajakosea ni kweli homa yenu ni ukawa na lowasa
 
Mimi ni CHADEMA siwezi kuona aibu wala haya kusema hili tena kwa uwazi kabisa na najivunia kuwa sehemu ya mageuzi! Ningependa mpambano uwe kati ya CCM LOWASSA na CHADEMA UKAWA kutakuwa na uhalisia na mashindano yatakayotoa hamasa na ushindani wa Tanzania tuitakayo
 
Wakweli tuseme ukweli kabsa homa ya jiji na ccm na mafisadi na wajingalumumba ni cdm na el wala hawezi kuwa jani zzk
 
Mti mwema ndio...............................
Mtasema ni fisadi
mtasema kamvi ni mgonjwa.

Msisahau ndiye rais wa 5 la,ccm inagawanyika.kama alivyo wahi tabiri baba wa taifa
 
mshana jr umenena kwa lugha iliyo bora, kuna kila dalili ya serikali ya mseto Edo& Ukawa
 
Last edited by a moderator:
mshana jr umenena kwa lugha iliyo bora, kuna kila dalili ya serikali ya mseto Edo& Ukawa

MSILEWE CHENGA ZA CCM. Habari hapa ni katiba bora sio ya akina sita. Tunataka katiba ambayo mtu kabla kugombea AJIHOJI na asikimbilie.
Tunataka katiba itakaweka uongozi wowote uwe WITO na sio mtaji wa kutajilisha ukoo.
Tunataka katiba inayopunguza mapato ya viongoz ili wabaki wale wenye wito.
 
Last edited by a moderator:
Muulizeni mwakyembe yule aliyemficha/ kutomtaja kwenye ripot yake ni nani?

Aliemficha ni mkuu wa kaya. ila Lowasa alifisadi kiufundi zamani enzi za mchonga. Vijana wa leo hawaelewi wao anapima utendaji katika mazingira ya muda wanaoishi sasa. Bila kujua ni timing za FUNDI mahili.
Ila kwa sasa mazingira ni tete ka yeyote tutakae chagua. DAWA ni kuweka katiba bora sio hii ya 6 na Chenge
 
Back
Top Bottom