Chadema na Lissu wapo mitandaoni tu

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Aug 24, 2011
49,185
103,688
EkOYV7gWsAM-DOq.jpeg

Huu ni mtandao gani wajameni.
 
Bashiru na Pole Pole wanakihujumu sana Chama chetu.... Walahi hawa watu hawafai kubaki baada ya huu uchaguzi..... Kumbe jasiri aachi asili, Bashiru was CUF member. kirusi tuliletewa.
 
Sasa hapo kuna nini?? Mwambieni mpigapicha wenu siku nyingine awe anapiga picha kupitia drone ili tuone ukweli halisi. Angalia nyomi ya Tanganyika Packers TBC1 live. Lakini bado siku 13 tu tuwanyooshe!
wadau wanataka kujua idadi ya wasanii hapo packers
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom