CHADEMA na Kushuka kwa TSHS

Mambo ya kiuchumi CDM hawawezi kutoa kauli yoyote wao wana subiri maandamano tu..

Wewe unadhani mtu kama Heche ataongea nini kwenye uchumi wa nchi hii.

Yeye anachojua ni kufoka na kuvaa magwanda tu

Na ndio maana huku duniani kila mtu kaja kutimiza aliloletwa kutimiza na wapo wachumi wa kufanya kazi zao na kama wameshindwa basi wapo watakao piga kelele na kuandamana kama wachumi wametupeleka hapa tulipo na hao wana siasa wao wategemea nini Mkuu??

Au nawe wafurahia nchi uchumi kushuka tuu na hakuna suruhisho lolote kutoka kwa viongozi wetu tulio wapa dhamana ya kutuongoza???
Uchumi sio tuuangalie kwa kutizama graph ya GDP tuuu bali hata tufike basi huku chini kwa raia wetu psychically tuoanishe kweli kipato kinamtosha huyu mwananchi au kwa life style aliyo nayo currently???

Swala la kiuchumi ni la kitaifa sio liwe la mtu mmoja mmoja hatuto toka wananchi twatakiwa kuwa kitu kimoja pale viongozi wetu wapo tupeleka sipo tuwa na kuthubutu na kusema nooooooo
 
Ritz nakushauri ukapimwe akili maana ndicho kipimo pekee cha sanity ya binadamu yeyote yule. Panda basi la Shabiby ukifika Dodoma kuna clinic ya Mirembe au kama unaishi ughaibuni basi tafuta huduma ya karibu huko huko ili ukirudi jamvini uwe timamu kifikra na busara pevu kama ya kuandika upupu wako. Ronald Reagan na John Major hawakuwa wamesoma lakini waliongoza USA na UK vizuri sana. Naomba kuwasilisha hoja
 
hah ah aha haaaaaaaaa jamaa kachapia mbayaaaaaaa ni balance of payments bhanaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
CCM na Gavana wao hawajui neno balance of trade .Wakilijua hili basi Uchumi utasimama na CCM ukiwaambia in the open hawakubali ila wanapinga wakiingia wanajifanya kutoka kwamba wan solution kumbe wame copy .Kwa sasa wako bize kila moja anatafuta cha kuuza .Pinda kauza Ardhi huko US Mkulo na Gavana nao wana yao .

i wish u knew how much and what they export. That could have been valuable enough to balance the trade
 
Wewe mwenyewe hilo neno nililo bold hapo juu hulijui, nenda kwa mwalimu wako kamuulize tena sio kutuletea upupu humu ndani. Umelisikia kwenye mikutano ya hadhara bila kujua nn maana yake

Maneno uliyo bold si ya msingi sana labda unge bold ya Pinda kuuza ardhi ndiyo u-comment.
 
Kuuza madini kupita BOT yaani madini yote kabla ya kuuzwa lazima yaizinishwe na BOT ili kumonitor mapato hilo moja lakini pili kupunguza importation ya vitu substandard na vitu ambavyo tungeweza kuzalisha wenyewe kama office furniture haina haja kuagiza hivi kutoka nje wakati kuna vijana wengi wanajishughulisha na uselemala kwahiyo ni kuwawezesha vijana hawa ili watengeneze vitu vyenye viwango tunavyo taka.
Pia kuongeza uzalishaji wa ndani kwa vitu tunavyoweza kuunda wenyewe sio kila kitu tuimport hata pamba za masikio,viberiti,mswaki hii itapunguza ile negative balance ya Exportation minus Importation.
Inauma sana, unapokwenda supermarket unakuta maziwa fresh kutoka nje ya nchi na wabongo wanayakimbilia huku wakilaumu kushuka kwa sarafu yetu.
 
Jamani, hali hii si nzuri. Wataalamu wakae waangalie tunakokwenda ili watuongoze tushirikiane katika kujenga Taifa. Tuache kubezana kwa sababu jambo hili sio la kichama, tunaadhirika watanzania wote. Huu ni wakati muafaka wa kuonyesha uzalendo. CDM onyesha direction kama lipo la kufanya.
 
Inflation rate 17%. KAzi ipo. Mkuu alisoma uchumi enzi hizo na anauweza kwelikweli. Kuongezeka magari DAr uchumi umepaa.
 
Lini au siku gani ulishawahi kumsikia Lema au Heche au Mbilinyi wakiongelea masuala ya Exchange rate Economics?

Wanachojua ni maandamano tu

ushakaa nao karibu au unatumia hisia kujudge? Majuzi bungeni hutuba ya Lema inahusu nini, au na wewe ulikuwa copy and past, ukajiita msomi wa degree.
 
Kwa sasa kuna crisis ya kuporomoka kwa TSHS against USD.Je chadema ingesolve vipi tatizo hili? Cant you advise mkulo on this?

....inge....., mambo ya ngeli hayo!!!!. waulize CCM wanasolve vp.
tulipowaambia kuchagua ccm ni kuchagua dhahama mlidhani tunadanganya.?
hakuna uzalishaji nchi hii, nchi wamepewa wahindi na Wachina waichezee watakavyo tutafika kweli???tuna viwanda vya viberiti hapa badala ya kuviwezesha kuongeza uzalishaji wao wanaruhusu more importations....naambiwa hata toothpick zimeagizwa china kiasi cha kuzidi USD5M kwa mwaka jana peke yake...
kama mmeshindwa jiondoeni tuwasaidie.
 
Masuala ya Uchumi ni taaluma sio porojo..

Nikiangalia safu yote ya Uongozi wa CDM wenye elimu ya chuo kikuu ni watatu tu.
1. Zitto Kabwe
2. Halima Mdee
3. Tindu Lissu
Wengine hamna kitu


Mie napita tu, ila nahisi upo kwnye JOTO. Dr Silaa je? Mbowe Je? Utapakatwa muda sio mwingi ukizingatia kibaridi cha mvua za vuli ndio hiki.
 
Chadema hawajui mambo ya uchumi. Wanachojua wao ni maandamano tu.
 
Mambo ya kiuchumi CDM hawawezi kutoa kauli yoyote wao wana subiri maandamano tu..

Wewe unadhani mtu kama Heche ataongea nini kwenye uchumi wa nchi hii.

Yeye anachojua ni kufoka na kuvaa magwanda tu

Lazima una matatizo ya mtindio wa ubongo wewe
 
Mambo ya kiuchumi CDM hawawezi kutoa kauli yoyote wao wana subiri maandamano tu..

Wewe unadhani mtu kama Heche ataongea nini kwenye uchumi wa nchi hii.

Yeye anachojua ni kufoka na kuvaa magwanda tu

Hii falsafa yako ni sawa na wawindaji wawili wenye bunduki moja, aliyebeba bunduki anashindwa kumlenga swala halafu anamlaumu asiye na bunduki kuwa yeye ndo hawezi kabisa. ccm oyeeee!
 
Mambo ya kiuchumi CDM hawawezi kutoa kauli yoyote wao wana subiri maandamano tu..

Wewe unadhani mtu kama Heche ataongea nini kwenye uchumi wa nchi hii.

Yeye anachojua ni kufoka na kuvaa magwanda tu



Nakumbuka uliwahi kusema wewe sio ccm wala hujawahi kucritisize cdm. Naona leo umebadilika kwa kumshambulia Heche na cdm. Wamebadilika nini!?
 
mambo ya uchumi ni wataalamu zaidi siyo ya chama

Kwahiyo chadema si lazima watoe tamko, tunaye gavana wa benki kuu kazi yake nikuangalia hayo mambo

Besides, kushuka dhamani kwa shilling ni very tricky issue in economics

Until we go away with paper money, hela zitashuka mpaka system nzima ife.
 
Back
Top Bottom