Ushahidi wa wazi ni pale Zitto Kabwe ambaye ni Naibu Katibu Mkuu alipomwandikia Dr Slaa ambaye ni Katibu Mkuu barua binafsi ya kuomba chama kimsimamishe uongozi Lwakatare kutokana na kupatikana video akijihusisha kupanga njama za kumdhuru Denis Msacky. Hawa kama ni viongozi wa karibu, ilishindikana hayo aliyokuwa nayo Zitto kueleza ndani ya hivyo unavyoita vikao halali? Mbaya zaidi, ile barua baada ya kuiwasilisha kwa Katibu Mkuu, barua hiyo ilitundikwa mtandaoni na Mtu ambaye anadhaniwa kuwa ni Katibu Mkuu kupitia Id fake. Kwangu nilitafakari sana tukio lile na nimebaini yafuatayo
- Viongozi wa ngazi za chini wa CHADEMA hawana uhuru wa kueleza jambo mbele ya viongozi wa juu
- hakuna mawasiliano ya ana kwa ana baina ya Dr Slaa na Zitto
- homa ya uchaguzi mkuu inafanya viongozi wa juu wajenge hofu kwa viongozi wa chini
Mkuu salaam!!!!
Kuelewa ni uchaguzi na kwa sasa sio chaguo upande huo!!!!!
Hapo kwenye RED ni moja ya hoja ambazo huwa zinaniacha hoi sana; "kuna mkono wa CCM!" Kila linalotokea, ni lazima waihusishe CCM as if wanachama na viongozi wa CHADEMA can easily be manipulated or placed a price on top of their integrity!! Kama ulivyosema, hiyo nayo ni aina nyingine ya kuziba watu midomo coz' mtu ukifunguka lazima uonekane umenunuliwa na CCM hata kama hakuna kitu kama hicho!
Lakini kwa upande mwingine hii tabia ya kusukumizia matatizo sehemu nyingine inadhihirisha udhaifu katika uongozi. Kiongozi ni lazima apigane kufahamu chanzo cha matatizo na kuyatafutia ufumbuzi badala ya kukimbilia kutoa majibu mepesi kwamba "hawa wamenunuliwa na CCM!"
salaam mkuu
kuna vitu ni ishara ya nini watu watafanya wakipata madaraka
sasa hali hii jiulize wakisikia wanachama wa ccm wanataka kuandamana
na wao ndo wameshika dola....itakuwaje?
Dr.W.Slaa na Freeman A. Mbowe wanaiendesha Chadema kwa mkono wa chuma.
salaam mkuu
kuna vitu ni ishara ya nini watu watafanya wakipata madaraka
sasa hali hii jiulize wakisikia wanachama wa ccm wanataka kuandamana
na wao ndo wameshika dola....itakuwaje?
Mkuu, nimetafuta kitufe cha Like sijakiona. Hakina unastahili like yangu na umeongea jambo la maana sana. Yaani siku hizi Ben Saanane ndo amekuwa msemaji wa CHADEMA! Na haya anayojibu yamepitia vikao halali vya chama? Je haya ayasemayo Ben Saanane hayapingani na katiba ya chama?
...."Wewe upo hapa (nadhani ulimaanisha Ben yuko www.jamiiforums.com kujibu hoja) unajibu hoja nyingi za chama na.viongozi as if umeagizwa mbona hao viongozi hawakukemei kuwasemea???!!!!! Katiba inasemaje juu ya viongozi kushutumiwa na.kukaa kimya wao instead watokee watu binafsi kuwajibia!!!!!??????"....
Mkuu hivi unafikiri kuongoza chama cha siasa pinzani na ccm kwa mazingira ya Tanzania ni rahisi? Na tunataka majibu mitandaoni kwenye watu wanye uelewa kama wa kumbikumbi.
Hilo tu mkuu.
Kaka heshima!!!!...lakini unapoanza kuwaza kufanya jambo si unaweka na changamoto na jinsi ya kuzitatua kabisa ili kuondoa hili la kusema kazi ni ngumu wakati ushaianza????!!!! Na unakuwa flexible ili kuweza kwenda na mazingira,wakati na kubaki mstarini kwa manufaa ya washikadau????!!!
Huu uelewa wa kumbi kumbi si ndio huandaliwa mikutano na kutumia pesa ili kuwaelewesha! !!!Leo wamekuwa hawafai kiasi hiki????!!!! Hawa uelewa wa kumbi kumbi ndio hutoa na vipato vyao kuwezesha shughuli za wenye uelewa wa binadamu kumbe inafahamika kabisa huwa hawaelewi???!!!
Anyway yawezekana!!!!!
Nadhani like yako imelenga hapa...
Na mimi ninakueleza hivi ... Kuna utaratibu ambao ni wa kawaida kwa viongozi walio wengi wa vyama na serikali kujibu hoja wanazoletewa. Kama hoja/kero imepitia JF kwa mfano utaratibu aliuotumia Maskini Mkulima akiwalenga viongozi wakuu wa Chadema...mtu yeyote anaweza kujibu hoja hiyo kwa namna anavyodhani yeye. Katika hoja nyingi nilizowahi kuzisoma za Ben hakuna mahala anapoeleza kuwa..." mimi kama mwanachama wa CDM ninamjibia Mh. Mbowe au Mnyika au hata Zito hoja hii iliyoko jukwaani kama ifuatavyo...". Posts zote nilizosoma mara zote huwa ni mawazo yake binafsi.
Kwa namna ulivyokusudia kumpa 'like' huyo OLESAIDIMU basi unataka sasa kuanzia sasa hoja zote zinazojibiwa (katika mfumo wa maoni yao binafi) na Ritz, faiza Foxy @ Ze Ma...so, chama...na wengine ambazo zinawalenga viongozi wa CCM mfano M/kiti, nakadhalika...tuzichukulie ni kauli za viongozi wao.
Ebu jaribu kurekebisha hili na uelewe....Ben hayuko jukwaani kuwajibia viongozi wake ....pia na mimi siko hapa kumjibia Ben hoja zake...haya ni maoni yangu binafsi.
Hoja kuu ya post yangu ni kuwa Ben hayuko jukwaani kuwajibiwa viongozi wake wakuu wa chama hoja zinazoelekezwa kwao..yeye anatoa maoni yake binafsi.....
Kama hawa ni wanachama wa kawaida kwa upeo wako basi chama kimeiva!!!!
makaburu walikuwa wame plant watu ndani ya ANC
na hata kuwa na death squads lakini Mandela hakurudi kwenye mbinu za kunyamazisha wapinzani wake
alibaki kwenye mstari mmoja tu...hadi wakafika...
Mkuu wakati mwingine Copy na paste ya mbinu zina madhala sana hasa kwenye masuala yenye ...'parameters' zinazo badilika badilika. Mbinu ya Mandela kwa sasa itakuwa vigumu sana kui'paste' kama ilivyo huku kwetu Tanzania.
we unaona mwenyekiti wa chama kitaifa 'kupigana ngumi ' na mwenyekiti wa chama mkoa
na wabunge ni mbinu sahihi ya kuendesha chama?
Ben, pamoja na kujitahidi kujibu maswali na hoja za wadau humu ndani huku hoja nyingi ukizipinga but they have a point, kuna watu wanaongea ukweli humu but wanashindwa kuuprove ukweli wao kwa kuwa hawana ushahidi mkononi lakini wanaongea kitu ambacho kipo na ambacho jamii inakiona, pamoja na kujitahidi kukitetea chama chako humu, jitahidi pia na kuyafikisha mawazo haya kwa uongozi wako wa juu ya myafanyie kazi.Walimu wako walipata shida sana
Hoja ninazojibu hapa ninajibu kwa uelewa wangu na tangu nimejiunga JF mwaka 2007 nimekua nikifanya hivyo.Unataka wanikemee kwa lipi?Kuipigania nchi yangu kwa hoja?Kukitetea na kukilinda chama changu ambao ni wajibu wa msingi kwa mwanachama kikatiba?
Unaongelea kubadili katiba?Hili limekujaje hapa?Huwezi hata kujieleza