apewe Regia Mtema hii nafasi
apewe Regia Mtema hii nafasi
Mkuu hili linaweza kuwa tatizo kubwa ndani ya CDM. Inawezekana kweli hakina kuaminiana ndio maana matamko yanakuwa mengi tena ya kujifagilia kila mtu kivyake. Tumbo amekuwa redundant automatically. Kila mtu anakimbilia kwa waandishi wa habari na tamko lake sasa Tumbo atatoa wapi matamko ya kutoa kwa umma!tatazo cdm hawaaminiani.kila kiongozi anaogopa kufunikwa na mwenzake.
Mkuu nani, Tumbo au?Huyo mtu ndo namsikia leo..!
Mkuu hili linaweza kuwa tatizo kubwa ndani ya CDM. Inawezekana kweli hakina kuaminiana ndio maana matamko yanakuwa mengi tena ya kujifagilia kila mtu kivyake. Tumbo amekuwa redundant automatically. Kila mtu anakimbilia kwa waandishi wa habari na tamko lake sasa Tumbo atatoa wapi matamko ya kutoa kwa umma!
wanasema ndio demokracia ndani ya chama!
Erasto Tumbo anapwaya sana ktk hii idara. Makamanda hamuoni?!
Usichanganye matamko binafsi na yale ya chama.Mkuu hili linaweza kuwa tatizo kubwa ndani ya CDM. Inawezekana kweli hakina kuaminiana ndio maana matamko yanakuwa mengi tena ya kujifagilia kila mtu kivyake. Tumbo amekuwa redundant automatically. Kila mtu anakimbilia kwa waandishi wa habari na tamko lake sasa Tumbo atatoa wapi matamko ya kutoa kwa umma!
Jamaa lakini ana hoja hata kama ameshindwa kuijenga vizuri.siku zote post za mstari mmoja huwa hazina mashiko kwa sababu huwa hazijengi hoja kutetea kile anachokiamini mtu au huyu mleta thread anafikiri kile anachokifikiri kwenye kichwa chake kila mtu anakifikiri pia
Usichanganye matamko binafsi na yale ya chama.
Huenda yote mawili yanatokea!!Kuna shida hapa: Huenda msemaji hatimizi wajibu wake ipasavyo au huenda msemaji wa chama anaingiliwa na viongozi wa juu na kunyimwa kutekeleza majukumu yake.