CHADEMA na Christian Democratic Parties

CHADEMA na Christian Democratic Parties

Status
Not open for further replies.
Unashindwa kuleta hoja za msingi unaleta huo upuuzi wako hapa eti cdm ni ya kikristo mtabaki kubwabwaja mapropaganga yasiyo na msingi badala ya kuleta mambo ya maendeleo kuna mambo ya kujadili na siyo huo ***** wako hapa mabilioni ya uswis ufisadi wa kutisha tanesco yote hayo huyaoni mpaka ulete umbea hapa?mwambie aliyekutuma akupe mshahara mana ndo kazi yenu nynyiemu kuleta masuala ya kijinga then mnabaki kumbwelambwela shame on you magamba

Uzalendo ndio ulionituma, kama kulipwa basi nitalipwa na matokeo ya uchaguzi mkuu ujao kwa watanzania kukinyima kura CHADEMA ya kuingia Ikulu ikiwa pamoja na kura za wabunge.

Kw2a mfano matokeo ya miezi michache iliyopita ya Udiwani (CCM-22, CHADEMA -5) NI malipåo makubwa sana.
 
uliyoyasema yana ukweli maana wanajamvi wanashindwa kutoa hoja badala yake wanashindana kutoa matusi hoja ujibiwa kwa hoja na sio kupaza sauti uonekane unamaanisha unachoongea watanzania tusiwe washabiki tu kunapo kuwa na ukweli tukae tuangalie hata kama kitu unakipenda sana lakn uwe tayar kubadilika unapoona ulichotegemea sicho
chadema nilikipenda sana walipouza sera zao lakn siku hiz wamejaa lawama tu.INASIKITISHA KUONA WATU WANASHINDWA KUMPINGA KWA USHAIDI INANIFANYA MIMI NIAMIN ANACHOSEMA
 
Ndio nia kuu kupeleka malalamiko kwa Tendwa. Lakini kabla sijafanya hivyo nahitaji umma uelewe kwanini napeleka malalamiko yangu kwa msajili wa vyama.

Nafikiri si makosa kuwajulisha wanachama wa CHADEMA na Watanzania wote kwa nini ninaamini kuwa hiki ni chama cha kidini. Nimechoshwa na wanasiasa kulalamika majukwaani tu kuwa CDM ina udini. Napenda kwenda mbali zaidi ya hapo.

Vipi washakuongezea salio umerudi tangia tarehe 19 mpaka leo 23 wee kiboko
 
NAKUONYA WEWE IBILISI NA WENZAKO KWA JINA LA NIKO AMBAYE NIKO -UKOME KUCHOCHEA MAMBO YENU YA UDINI.
1.Uko madrasa huwa mnafundishwa tu kuhusu ukristo au uislam!?
2.Mbona hao wakwenu wakienda kwenye mikutano kama hiyo hakuna anayewabuguzi?SELFISHNESS
3.MKASOME DARASANI ACHANI MAKAMASI KWENYE AKILI ZENU,UROPOKAJI NK.
4.NINAUHAKIKA KUWA MKILALA MNAOTA TU UKRISTO.LILIWASHINDA BABU NA BIBI ZENU...?IWE WEWE KADAGAA...
NB:
+ IF YOU CAN NOT FIGHT US JOIN US.
+Una Mapepo-Nikuondolee.
+Dini haisambazwi kwa Upanga Bali NENO LA IMANI.
 
Unajua kunabaadhi ya watu wanapenda kampeni za chini chini na kutaka kutuingiza Tanzania kwenye ugomvi wa kidini.Baba wa Taifa alipendi hilo swala na aliyepost nadhani atapata lana ya Mwl Nyerere.Wewe unauthibitisho gani CDM au CUF ni vyama vya udini kama unauhakika sema tukupe namba ya Tendwa akavifute.MUNGU IBARIKI TZ
 
watanzania hatudanganyiki na propaganda za udini....

Hebu mje na mbinu mpya......

Wengine kuanzia wenyekiti, makamu hadi waweka hazina dini fulani halafu kutwaaaaaa kujifanya hamwegemei udini na kuisakama chadema

wengine wanadiriki kusema hawajashinda kwa sababu jimbo lina wakristu halafu mwajifanya chadema udini....

Acheni unafiki wa kizamani....

Njoeni na propaganda mpya za kuconvince watu....hizi chafu hazina deal...
 
Si siri kuwa CHADEMA inauhusiano wa karibu au ni mwanachama wa Christian Democratic Parties duniani. Kuhudhuria kwa mwenyekiti wa BAVICHA katika mkutano wa CDU kule Ujerumani ni moja ya uthibitisho wa ukaribu huo. Lakini si kuhudhuria tu bali hata wanachama wa CHADEMA wakati huo waliandika hapa JF kuthibitisha ushirikiano na uhusiano wa CHADEMA na Christian Democratic Union cha Ujerumani. Wanachama hawakutueleza kinaga ubaga hasa ni nini idiolojia ya Christian Democratic Parties. Niliahidi kuandika mada kuhusu hili, na

hii ni sehemu ya kwanza katika mfululizo wa sehemu 4.

Christian Democratic Parties DunianiChristian Democracy ni idiolojia ya kisiasa yenye lengo la kutumia misingi ya Kikristo katika tawala za jamii. Muundo huu ulizaliwa katika karne ya 19 huko Ulaya kwa ushawishi wa mafundisho ya Kikatoliki ya kijamaa pamoja na wale wenye mlengo wa kulia (Conservatism).

Kifupi, Christian democracy imekuwa na siasa kali zaidi katika maswala ya Tamaduni, jamii na moral issues pia inazingatia social markets economy katika upande wa uchumi.
Tukimnukuu Geoffrey K Robert na Patricia Hogwood wameandika " Christian Democracy has incorporated many of the views held by Liberals, conservatives and socialists within the wider framework of moral and Christian Principles". Aidha baadhi wanaenda mbali zaidi pale wanapoandika kuwa Vyama hivi vinaamini kuwa Serikali inaunda Mamlaka yake toka kwa Mungu na sio toka kwa watu.
Nguvu ya vyama vya kidemokrasia vya Kikristo Ulaya
Mtazamo wa kisiasa wa vyama vya Kidemokrasia vya Kikristo umetofautiana katika makali yake (conservatism) kutoka nchi moja hadi nyingine kutokana na umaarufu au uzito wa kanisa katika nchi husika.Kwa mfano vile vya Ulaya vina siasa za kati (moderate conservative), lakini nchi za Ujerumani, Uhispania na Belgium vyama hivi vina nguvu sana na ni conservative zaidi.Katika kipindi cha hivi karibuni (2000-2012) Vyama vingi vya kidemokrasia vya kikristo vimesota sana katika chaguzi kuu. Vingi vikiishia kupata 4-9% katika chaguzi kuu, vingine vikiishia kupata chini ya 3% na kushindwa kuingia Bungeni. Nchi ambazo vyama hivi vina nguvu na kushika madaraka katika miaka ya hivi karibuni ni Ujerumani (Christian Democratic Union- Bi Angela Merkel, kabla yake, Konrad Adenauer, Helmut Kohl), Italia- (Giulio Andreotti-PM, Giorgio La Pira, Aldo Moro-PM, Adone Zoli-PM.), Uhispania (Mariano Rajoy-PM).

Nafasi ya CHADEMA

Maswali mengi, watanzania tunapaswa kujiuliza, hivi CHADEMA inapokwwenda katika mikutano kama hiyo inakuwa na ajenda gani na inajifunza nini? Je ni idiolojia ya principles za kikristo ndio tuzitarajie itapochukua madaraka? Hivi ni makosa kukiita chama hicho kuwa ni cha kidini.

Waswahili wanasema niambie rafiki zako ni akina nani, nitakueleza wewe ni nani? Marafiki wa CHADEMA ndio hao nafikiri si vigumu kwa watanzania kukielezea kinaga ubaga kuwa hiki ni chama cha aina gani.

Sehemu ya pili itaelezea Historia ya chimbuko la vyama vya Kikristo.

acha unafiki wewe!! raisi JK kila kukicha anaenda kuhemea huko na bakuli analeta unakula leo ndo umepata uchungu. CDM uhusiano tu ndo unauliza!! watu wa kundi la PM7 masalia a.k.a Dogo au Prezoo mna matatizo.mnahoji vitu vya kipumbafu, kwa taarifa tu prezzo wenu ni kigagula na ametangaza vita na mfuasi wake asiye tii maagizo yake anasema msipotii yatawakuta ya kuwakuta. kwa hiyo sishangai hizi post zenu
 
Kimsingi, PROPAGANDA za kutumia UDINI kama njia ya kudhoofisha CHADEMA, zilisha prove failure,
Kuhusu suala la CHADEMA kuwa na uhusiano na chama cha kikristu cha Ujerumani, nakuja kutoa maelezo,
 
Jakaya kikwete.....Mwislam
Philipo mangula....MKRISTO
Abdulahiman kinana.Mwislam
Mwigulu nchemba....Mwislam
Asha Rose migiro...Mwislam
Nape Mnauye........Mwislam

Do Mimi napita tu.
 
Kimsingi, PROPAGANDA za kutumia UDINI kama njia ya kudhoofisha CHADEMA, zilisha prove failure,
Kuhusu suala la CHADEMA kuwa na uhusiano na chama cha kikristu cha Ujerumani, nakuja kutoa maelezo,
 
Ukitaka uwashike. Pabaya chadema ni kuhusu swala la udini,, ww angalia JF wachangiaji au members majority ni watu gani?? Nenda Facebook pia issue yoyote ile wachangiaji!!!!! Wanaompinga ZZK majority???? Inaweza kuwa sio adiology ya cdm lakini ndo chama kimepokewa na jamii hivyo,, kama kufanya marekebisho wafanye sasa waache kutukana ,, wafanye utafiti wajue sababu na wazifanyie kazi

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Kimsingi, PROPAGANDA za kutumia UDINI kama njia ya kudhoofisha CHADEMA, zilisha prove failure,
Kuhusu suala la CHADEMA kuwa na uhusiano na chama cha kikristu cha Ujerumani, nakuja kutoa maelezo,

Nasubiri maelezo. Naona wewe una hoja, WENGINE NI MAELEZO YA VIJIWENI TU.
 
Kimsingi, PROPAGANDA za kutumia UDINI kama njia ya kudhoofisha CHADEMA, zilisha prove failure,
Kuhusu suala la CHADEMA kuwa na uhusiano na chama cha kikristu cha Ujerumani, nakuja kutoa maelezo,

nakusubiri ulete data za vijiweni
 
Jakaya kikwete.....Mwislam
Philipo mangula....MKRISTO
Abdulahiman kinana.Mwislam
Mwigulu nchemba....Mwislam
Asha Rose migiro...Mwislam
Nape Mnauye........Mwislam

Do Mimi napita tu.

Una hakika kuwa Asha Migiro ni mwislam.

Hata hivyo point haikuwa mtu au watu bali muelekeo wa Chama. Walipoalikwa Ujerumani na Christian Democratic Union Party cha Bi Anggela Merkel walitamba sana. Nilwauliza hivi ni nini mnachofaidika au kujifunza toka kwa chama hicho? Mjibuji wa swali langu alijitahidi kujibu lakini alificha ukweli katika baadhi ya mambo muhimu sana, hasa kuhusu uhusiano wa kanisa na chama hicho. Ndipo nikaahidi kuja na mada itayohusu vyama vya kikristo duniani.

Ninachotarajia kwa wajibuji wa thread hii, ni kutetea idiolojia ya chama chao hasa wakizingatia kutoshawishika na idiolojia za wakubwa hao 'CDU'. Hii ni muhimu sana kwani tumeona vyama vingi viingiapo madarakani, vikiyumbishwa na malobies. Na kwa maana hiyo nilikichukua hicho chama cha Ujerumani 'CDU' au wanachama wake matajiri kuwezekana kuwa wachangiaji wakubwa wa pesa kwa CDM kwa intrest zao. Sasa hizi Intrest za nchi Magharibi ndizo zinazotuharibia nchi zetu, kama ilivyokuwa katika mauaji ya genocide ya Rwanda na uhusikaji wa kanisa.

Kuna wanaosema kwanini unakifuatafuata CHADEMA? Wanakosea sana, kwani wakichukua nchi nami nitaathirika kwanini nsijiulize leo kama hicho chama kinastahili. Tafadhali jibuni hoja!!!!!
 
Una hakika kuwa Asha Migiro ni mwislam.

Hata hivyo point haikuwa mtu au watu bali muelekeo wa Chama. Walipoalikwa Ujerumani na Christian Democratic Union Party cha Bi Anggela Merkel walitamba sana. Nilwauliza hivi ni nini mnachofaidika au kujifunza toka kwa chama hicho? Mjibuji wa swali langu alijitahidi kujibu lakini alificha ukweli katika baadhi ya mambo muhimu sana, hasa kuhusu uhusiano wa kanisa na chama hicho. Ndipo nikaahidi kuja na mada itayohusu vyama vya kikristo duniani.

Ninachotarajia kwa wajibuji wa thread hii, ni kutetea idiolojia ya chama chao hasa wakizingatia kutoshawishika na idiolojia za wakubwa hao 'CDU'. Hii ni muhimu sana kwani tumeona vyama vingi viingiapo madarakani, vikiyumbishwa na malobies. Na kwa maana hiyo nilikichukua hicho chama cha Ujerumani 'CDU' au wanachama wake matajiri kuwezekana kuwa wachangiaji wakubwa wa pesa kwa CDM kwa intrest zao. Sasa hizi Intrest za nchi Magharibi ndizo zinazotuharibia nchi zetu, kama ilivyokuwa katika mauaji ya genocide ya Rwanda na uhusikaji wa kanisa.

Kuna wanaosema kwanini unakifuatafuata CHADEMA? Wanakosea sana, kwani wakichukua nchi nami nitaathirika kwanini nsijiulize leo kama hicho chama kinastahili. Tafadhali jibuni hoja!!!!!
Rais ni Mwislam, Makamu wa rais ni Mwislam, Mkurugenzi mkuu wa TISS ni Mwislam, IGP ni Mwislam, Jaji mkuu ni Mwislam, Jaji kiongozi ni Mwislam, etc. Tukisema Alhaj Kikwete anaiongoza nchi Kiislam tutakuwa tunakosea??!!
 
Christian ideology ndiyo inayoongoza dunia sasa, ndiyo maana kuna anguko la uislam. Nadhani CDM wapo sahihi kuwa nao.
 
Chadema ni member wa IDU na si wa CDI.

Habari za IDI hizi hapa. IDU : International Democrat Union na hapa International Democrat Union - Wikipedia, the free encyclopedia

The International Democrat Union (IDU) is a working association of over 80 Conservative, Christian Democrat and like-minded political parties of the centre and centre right.

Formed in 1983, the IDU provides a forum in which Parties holding similar beliefs can come together and exchange views on matters of policy and organisational interest, so that they can learn from each other, act together, establish contacts and speak with one strong voice to promote democracy and centre-right policies around the globe. Founder Members of the IDU included Britain's Prime Minister Margaret Thatcher, then US Vice-President George Bush Sr, Paris Mayor and later President of France Jacques Chirac, German Chancellor Helmut Kohl and many other Party Leaders.



Our Mission

  1. The International Democrat Union (IDU) shall consist of Member Parties of the Asia Pacific Democrat Union (APDU); the Caribbean Democrat Union (CDU); the Democrat Union of Africa; the European Democrat Union (EDU); the European People’s Party (EPP); the Alliance of European Conservatives and Reformists (AECR); and the Union of Latin American Parties (UPLA), which have adhered to the IDU Declaration of Principles.
  2. The IDU will foster the common philosophy of its Member Parties, establish permanent relations at a bilateral and multilateral level, encourage mutual support and to these ends will provide a forum for the exchange of views and information on matters of interest to all or a considerable number of its Member Parties.
Countries can only develop their full potential if they develop recognising the ideals of liberal democracy, freedom of the individual, and the need for economic growth to be based on individual initiative and free, competitive enterprise economies. The IDU has a clear role in a modern world, where today's idea in one country is tomorrow's policy in another.

Through the IDU, member Parties can exchange policy ideas, assist each other to win the political argument, and to win elections. There are regular meetings of both the full IDU and its Regional Unions and Organisations. The officers of the IDU are elected at Party Leaders' Meetings which are held every three or four years.

At IDU Executive Meetings, briefings are given on local and topical issues, as well as consideration given to applicant parties. Apart from Executive Meetings and meetings of IDU's Standing Committee on Foreign Affairs, the IDU holds events such as the Young Leaders Forum, plus undertakes fact-finding missions and election observation. A major event is also held every four years to coincide with the Republican Convention, the last one held in September 2012 in Tampa (Florida).

The IDU also organises campaigning seminars for politicians and party workers. These involve exchanges of information on campaign technology, fund-raising techniques, opinion polling, advertising and campaign organisation. The IDU plays an essential role in enabling like-minded, centre-right parties to share experiences in order to achieve electoral success.
 
Ndio nia kuu kupeleka malalamiko kwa Tendwa. Lakini kabla sijafanya hivyo nahitaji umma uelewe kwanini napeleka malalamiko yangu kwa msajili wa vyama.

Nafikiri si makosa kuwajulisha wanachama wa CHADEMA na Watanzania wote kwa nini ninaamini kuwa hiki ni chama cha kidini. Nimechoshwa na wanasiasa kulalamika majukwaani tu kuwa CDM ina udini. Napenda kwenda mbali zaidi ya hapo.
Ungekuwa na legal grounds na ushahidi, na ungekuwa unauamini ushahidi huo wala usingepitia hapa ungeenda moja kwa moja kwa msajili. Nakushauri kwa moyo mmoja nenda na peleka ushahidi wako.

Kwa taarifa yako, hata msajili wa vyama vya siasa anatafuta nafasi na sababu za kuifuta CHADEMA, na akipata sababu atafurahia sana. Ndio maana Polisi walipomuua Mwangosi, alisikika akisema mara moja atakifuta chama. Alipobanwa kwa hoja alikaa kimya.

Zawadi Ngoda, utakuwa umemsaidia sana Msajili, na umesaidia sana CCM ukifanya kazi hiyo.

Kuendelea kupost hapa ntaona ni ile ile strategy ambayo CCM wamekuwa wakiitumia: KUPOTOSHA NA KUCHAFUANA.
 
Christian ideology ndiyo inayoongoza dunia sasa, ndiyo maana kuna anguko la uislam. Nadhani CDM wapo sahihi kuwa nao.

Yap! ni kweli ukristo ume conquer most of the world, si kwa upanga bali kweli na damu ya Yesu inatenda kazi kwa Injili yenye power.Sio mbaya CDM wakifuata mfumo wake, kwani licha ya ku conquer Ukristo umeproove ku maintain amani, upendo kwa wote, elimu na kuthamini utu kwa ujumla.Ni mawazo yangu tu jamani.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom