CHADEMA Muheza kata ya Bwembwera yaanzisha ligi

Riziki Magembe

JF-Expert Member
Apr 5, 2014
886
206
Wana jamvi leo tunapenda kutoa taarifa kuwa chadema kata ya bwembwera wameanzisha ligi ya mpira wa miguu kwa timu zote za kata ya bwembwera,lengo kukitangaza chama na kuwakusanya vijana na wazee maana kuna mashabiki,kata ya bwembwera chama kinafanya kazi vyema kwa uratibu wa kamanda mpenda ambae ndio mfadhiri wa ligi hiyo,karibu makamanda wote
 
Khaa!! Kwahiyo timu zinazoshiriki ni wanachama wa chadema pekee?? Siasa za kibongo bana viroja vitupu. Bado kidogo tutasikia ccm wafungua gulio, cuf wajenga shule ya ufundi, nccr wafungua bar nk. Tutokako hatukujui tuendako giza nene
 
Back
Top Bottom