mpimamstaafu
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 4,445
- 4,704
ungewapa ccm kipindi kile walilikata jina la lowassa tungekuona una busara sana mmemtukana vya kutosha mzee wa watu tunajua mnavyomsumbua Mungu atamsaidia na atakuja kuwaambia Watanzania ni muda tu unasuburiwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app