kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 20,142
- 24,447
- Thread starter
-
- #61
Najaribu kuwakumbusha wanalia na jambo lile lile kila siku lakini ushirikiano hamtaki jumuiya ya kimataifa pia inawapuuza!Ooh kumbe hatujapeana heri ya mwqka boss. Heri na kwako. Sio kwamba nawaamini tu cha cdm, bali kwangu ndio chama makini ukiachia mapungufu ya hapa na pale ya viongozi wake kama wanadamu. Ni hivi hapa ulkuwa unajaribu kutetea uovu kwa kufunika na lawama ulizowatupia cdm.
Mzuri aliejua wanafuatiliwa ndio wakutoa ushirikiano na majibu ya maswali yako!Nikushauri kitu hakuna wa kudanganya kama mtoto mdogo nijibu hili swali,,
Polisi wanaolinda nyumba za viongozi pale dodoma wakati wa tukio walikuwa wapi ?
Na je mlienda kuwauliza wakati tukio linafanyika walikuwa wapi ili tuanzie hapo
Kuhusu muhimbili kule angeenda Ndiyo mngezima Mziki kabisaa saivi angekuwa kashasahaulika•
Sahihi kabisa!Tulipe nafasi jeshi letu lifanye kazi
Tundu lissu katengeneza drama ya kudanganya jumuiya ya kimataifa kuwa nchi inaongozwa na dikteta matokeo yake picha imebuma na amepuuzwa!Kati ya mistake mliyofanya CCM katika historia ya nchi hii ni kujaribu kumuua Tundu Lissu kwasababu tu amewashinda kwenye hoja.
Hili doa litamganda Pombe milele, halifutiki.
Tundu lissu katengeneza drama ya kudanganya jumuiya ya kimataifa kuwa nchi inaongozwa na dikteta matokeo yake picha imebuma na amepuuzwa!
Hilo ndilo mnalowaza na kuomba litokee lakini wazungu wana upeo!Mauaji mliyopanga dhidi ya Lissu yamebuma.
Jamii ya kimataifa inamtazama mwenyekiti wa CCM kama muuaji.
Hao hao Ukitaka wafanye kazi kisiasa watafanya ila ukitaka umakini watafanya kwa weledi!Eti "weledi Mkubwa"!!!!
Hawa Hawa Policcm??
Hawaeleweki kiukweli!Tatizo ndugu Lissu anafanya siasa kwa kila jambo, alijamba polisi hawana mamlaka ya kumhoji akiwa Nairobi, leo tena anaanza kulalamika. Nyie watu manataka nini?
Iko siku mama yako atakuja kuingia kwenye 18..utajuta ..furahia mkuu wakati mambo yako yapo vzr..along the way utakuja kujichanganya tu!karma haijawahi kuacha kutoa majibu chanya..usisahau tu kuleta mrejesho!Lisu kachanganyikiwa. Alidhani kuongea Kiingereza basi vyombo vyote vya habari duniani vitamzungumzia. Anadhani yeye ni mtu mkubwa sana anayepapatikiwa na vyombo vyote vya habari kumbe ni kajitu ka kawaida tu. Sasa inabidi genge la Chadema litafute mbinu nyingine.
Kashambuliwa na siasa inawezekana huyo siasa anamnyemelea kwenye jimbo lake!Mwambieni sterling wa shambulio dhidi ya Lissu akatubu maana dunia nzima ishamjua
Mzuri aliejua wanafuatiliwa ndio wakutoa ushirikiano na majibu ya maswali yako!
Mama yako ameshaingia kwenye hizo 18?Iko siku mama yako atakuja kuingia kwenye 18..utajuta ..furahia mkuu wakati mambo yako yapo vzr..along the way utakuja kujichanganya tu!karma haijawahi kuacha kutoa majibu chanya..usisahau tu kuleta mrejesho!
Tulimkimbiza nje? Mimi na nani? Hivi unajua nyie vijana ni wajinga sana.Shahidi wa kwanza ni dereva yuko wapi si mliamua kukimbiza ushahidi nje mtafuteni kwanza yeye aongee na wanahabari wenu hao aseme yalikuwaje
Naona unakomaa kuwa mjinga zaidi na kudidimiza fikra halisi ulizopewa na mwenyezimungu kusikojulikana!..Kitu kimoja tu utambue kuwa hata kama wewe sio muumini..siku yako ya kufa haiwezi kulazimishwa na binadamu..ukiona umekufa ujue siku ilishafika!ushawahi kusikia ndege imeanguka na kupona mtu moja tu!..shirikisha ubongo ndugu ...serikali haija mpa mafunzo mtu miaka jinsi ya kushika bunduki na kutumia halafu huyo mtu akaenda kutumia risasi zaidi 30 kwa mtu aliye mbele ya macho yake amka ndugu kesi hii ipo wazi sana ndio maana chadema walikimbiza ushahidi wote nchi jirani. Subiri huyo mgonjwa apate akili zake timamu za kulitafakari hili jambo lote ndio atajua kikulacho kinguoni mwake.
Hawezi kuingia maana hana mtoto asiyetumia ubongo kufikiri..Mama yako ameshaingia kwenye hizo 18?