CHADEMA msipokuwa makini jamii itawachoka

CHADEMA msipokuwa makini jamii itawachoka

Hiyo inayo kusumbua ni minyoo
Siku utakayoandika kitu chenye point au chenye chembe angalau yenye maana jua litatokea Magharibi, kwa comment zako nimeshakwambia natambua miundo mbinu yako kichwani ina hitilafu kubwa sana.
 
Siku utakayoandika kitu chenye point au chenye chembe angalau yenye maana jua litatokea Magharibi, kwa comment zako nimeshakwambia natambua miundo mbinu yako kichwani ina hitilafu kubwa sana.
Hayon yote ni makosa ya kikwete kuwaombea kibarua kwa pombe
 
mada yako nzuri kwao ila jiandae na kapu la matusi.
wao kila kitu wanajua hawataki kujifunza
Sijamuelewa hasa anazungumzia nini, mkuu kama wewe umemuelewa naomba nitafsrie plz.
 
Hayon yote ni makosa ya kikwete kuwaombea kibarua kwa pombe

ngoja niendelee kukupotezea kama wengine wanavyofanya, maana nitaonekana hayawani nami kubadilishana maneno na HAYAWANI.
Usiku mwema na usisahau dozi ya kupunguza uhayawani.
 
Chadema si mabogasi kama ccm wewe! ✌ ccm mengi wanai? toka cdm.
wewe nadhani umekosea. chadema sasa ndio wanaiga kutoka ccm. si wanaiga tabia na mifumo ya kifisadi ? angalia wamepokea mafisadi wangapi toka ccm. ccm wao wamejisafisha na wanaendelea kutumbuana majipu. hahahaha! hatutawakuta tena tutaendelea kuisoma namba.
 
katibu mkuu CCM hakukosea makapi yaenda chadema kuna mr ziro kuna fisadi la richmond kuna kalani kwa miaka mingi toka enzi za TANU
 
Wafuasi Wa chadema wengi ni vibaka, wezi , waliokata tamaa .

Kwa nini??
Vipi huko CCM ambako JK alisema Kuna magamba na JPM amesema kuna Majipu na mengine yamekaa sehemu nyeti hata hayatumbuliki amebakia kuyatumbulia macho tu.
Kwa maana Rafikiwa kibaka ni kibaka, rafiki wa Jambazi ni jambazi kama ccm kuna majambazi, vibaka na wezi hata wafuasi wao kama ninyi ni wezi pia. Ndio maana wahalifu na majangili hutumia bendera za ccm wanapopitisha mali za wizi na haramu. Tumeshuhudia viongozi wengi wa ccm wengine wametolewa juzi tu kwenda kufagia mahospitalini na wengine wanatengeneza RV feki. Bila shaka na wewe utakuwa mmoja wa wahalifu wakubwa Nchini. Hakuna marefu yasiyokuwa na ncha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom