Kwahiyo na wewe ndo bihashara yenuHaya kijana wa Makamba, utakuwa mkuu wa wilaya siku zijazo
Kwahiyo na wewe ndo bihashara yenuHaya kijana wa Makamba, utakuwa mkuu wa wilaya siku zijazo
Kizazi cha nyoka na makenga yake,Mleta uzi PIMA MWENYEWE kwa jinsi comments zinavyomwagika, umepewa ruhusa ya kuingia ktk vichwa vya watu, jionee mauza uza ya chadema! Ni kizazi cha kuwarithi kina mbowe hiki.
Mlevi ni wewe mbowe wako,Umeandika nini wewe juha wakimataifa? JF musiifanye kama kilabuni kwamba kila mlevi anaruhusiwa kusema atakacho.
Hivi hapo kwa akili yako ndogo ndio umeandika kitu gani?Wanaiga nini? Kufuta list ya mafisadi kwenye tovuti ya chama nini na kujiita wazarendo?
Kama wewe ulivyo zobaNyumbu wanawatosha, wenye hekima na busara hawawezi kuwapata, sababu huwezi kuwashikia akili wenye hekima na busara, chadema wanataka mazoba.
Ya kuuza meno ya tembo auKwahiyo na wewe ndo bihashara yenu
Umeonaeeeeee?Akili hizi zitakuwa zilitunguliwa kwa jiwe then zikavundikwa ndio maana umeandika uvundo tu hapa
Wewe hujawai kuwepo cdm kwa maana cdm haiwezi kuwa na mazuzu kama weweMimi nilikuwa uko kipindi cha Dr slaa lakini baada ya kupokea jambazi lowasa siwezi hawaaminiki tena hawa jamaa,
Sasa hivi wako kwa Mr escrow then 2020.wanamchukua kugombea urais KWAO ni malofa tu
Inasikitisha sana kiongoziUmeandika nini wewe juha wakimataifa? JF musiifanye kama kilabuni kwamba kila mlevi anaruhusiwa kusema atakacho.
Wewe mbona unafanya ukibaka wako pale kona bar?Wafuasi Wa chadema wengi ni vibaka, wezi , waliokata tamaa .
Kwa nini??
Watachokwa kama ccm walivyochokwa tayari ?ukijiona taasisi ya kijamii unaelimisha kwa jamii hawakuungi elimu yako au mada zako na wanakuunga mkono si wale wenye hekima au wenye heshima zao ujue mada zako hazina maana yoyote inabidi ukae ukajiuliza nimekosea wapi ili ujirekebishi na ujipange upya.
utakuta kama chadema wale wenye hekima na busara hawakisapoti hicho chama badala ya kujitathimini tunawafikiaje ili watuelewe na kutusapoti wafuasi wao wanaishia kuwakejeli na kuwakebehi.
muwe makini ili mueleweke kwa jamii
Mbona husemi ccm imeshachokwa na wananchi? Watakapochokwa na vyombo vya dola hapo ndio THE END.ukijiona taasisi ya kijamii unaelimisha kwa jamii hawakuungi elimu yako au mada zako na wanakuunga mkono si wale wenye hekima au wenye heshima zao ujue mada zako hazina maana yoyote inabidi ukae ukajiuliza nimekosea wapi ili ujirekebishi na ujipange upya.
utakuta kama chadema wale wenye hekima na busara hawakisapoti hicho chama badala ya kujitathimini tunawafikiaje ili watuelewe na kutusapoti wafuasi wao wanaishia kuwakejeli na kuwakebehi.
muwe makini ili mueleweke kwa jamii
Wewe nilishajiridhisha kuwa ni CERTIFIED disabled person.Kama wewe ulivyo zoba
Na ndio mtaji wao wanaojivunia na wako tayari kuulinda kwa nguvu zao zooteCCM Wajinga sana.....hawakumbuki kuwa utafiti wa Twaweza ulisema CCM iko supported na wasio na elimu na uelewa
Hiyo inayo kusumbua ni minyooWewe nilishajiridhisha kuwa ni CERTIFIED disabled person.
Nakuchukulia poa kwa lolote usemalo, ni tatizo la miundo mbinu kichwani mwako.
ningeshangaa SANA kama ungeandika kitu cha maana.We nawe kafie mbele huko,
ningeshangaa SANA kama ungeandika kitu cha maana.We nawe kafie mbele huko,