CHADEMA, Mshaurini Dr. Slaa abadilike, anakiua Chama!

CHADEMA, Mshaurini Dr. Slaa abadilike, anakiua Chama!

Kama anakiua CHADEMA si ndio ungefurahi zaidi?

Kama Mwigulu aliweza kujaribu Kumhonga Mgombe Udiwani Huko Arusha ajitoe na kuhamia CCM itawashinda nini kuhonga madiwani waliopo?

Picha za Mwigulu akiwa nyumbani kwa Diwani huyo ziliwekwa hadharani.Kwa aibu kubwa hakuwahi kuongea chochote baada ya kuumbuliwa

Hapo ndo mnapokosea siku zote, mnadhani kila anayeonyesha dosari lengo lake ni kwamba chama kife, si hivyo, wengine tunaamini katika umuhimu wa kuwa na chama cha upinzani chenye nguvu katika kuleta maendeleo ya nchi. Hivyo kasoro zinatolewa ni katika kuhakikisha uwepo wa Chadema yenye nguvu, swala hapa si ushabiki tu kama mlivyozoea.
 
UONGO UTAKUSAIDIA NINI ? TUTAJIE VIMGOZI WA CDM WALIOGAWANYIKA ? CDM HAITAWEZA KUVUMILIA ( BILA SHAKA HATA CCM haITAWEZA KUVUMILIA) WAHUNI WANATUMIA MALI ZA CHADEMA KWA AJILI YA KUSAMBAZA SERA ZA CHAMA KINGINE .



Hivi Slaa hakosei? hachoki?

Mnang'an'ania wanini wakati ameshachoka? Ni demokrasia gani hiyo? Wengine wakushika nafasi hiyo hawapo?
 
Mitandao haitaisadia CCM kuifanya ipendwe!! the main key factor ni kuhakikisha walau 50% ya ilani yake ya uchaguzi imetekelezwa kabla ya 2015 - Vinginevyo ni ndoto kuiona IKULU kwa kura za haki.

mjomba ukweli ni kwamba CDM inaongoza nchi , hawa magamba ni kama nyani kwenye shamba la mahindi !
 
uwezo wako wa kushangaa upo kama wa nyumbu!!!!!


unasomeka upo katika kundi la wafilisti, badala kukaa kimya akiue chama mtawale bila hofu, wewe eti unawashtua.


wewe una ujinga wa kusomea, si bure.


Mbona CCM mnafwatilia mambo yetu?

Kwanini babu hapumziki ilhali anayumbisha chama?

Hakuna mwana CDM mwingine mwenye haki?
 
Ccm inakubalika mno nchini. Hali hiyo inakipagawisha chadema kinaishia kurakana kila uchao.
 
Hivi Slaa hakosei? hachoki?

Mnang'an'ania wanini wakati ameshachoka? Ni demokrasia gani hiyo? Wengine wakushika nafasi hiyo hawapo?

itakuwa bomba kama ukianzisha uzi mwingine kwa ajili ya hilo tujadili , uzi huu hahusiani na hilo .
 
Acha Chadema ife ili nyinyi MaCCM mtawale milele na ahadi zenu zisizotekelezeka.
CDM NI MPANGO WA MUNGU.
 
itakuwa bomba kama ukianzisha uzi mwingine kwa ajili ya hilo tujadili , uzi huu hahusiani na hilo .



Unahusiana tu


hoja ni ile ile

je Slaa hachoki? hazeeki? hakosei?

kwanini yeye tu? hakuna wengine wanaoweza shika post yake?
 
sasa kwani ameongopa. slaa kasema ukweli. kuna uzi humu ulieleza wazi kuhusu mpango wa kinana na nape kununua madiwani kanda ya ziwa na wametumia kodi za uma kununua hao madiwani. hao madiwani wamejiuzuru kwa shinikizo la ccm. BIG UP DK. SLAA
 
Anakiuaje chama ambacho kilishajifia siku nyingi zilizopita?

Ni wewe uliyekiua? Usituwekee hisia zako hapa. Mimi naamini cdm kiko imara tatizo lililopo ni mtiririko wa madaraka. Viongozi walio juu lazima wawasiliane na walio chini yao nchi nzima. Continuous feed back is very very important.
 
Toka Dr.Slaa asema Usalama wa Taifa wanaripoti kwangu halafu apo apo anasema Usalama wa Taifa wamemuibia kura, uwa namtizama tu Dr.Slaa.
 
Ni muda mfupi tu tangu Madiwani wawili CHADEMA wa Shinyanga mjini watangaze kujiuzulu na kuhamia CCM,Dr Slaa ameibuka na madai mazito kwamba Chama Cha Mapinduzi wamehusika na mchezo mchafu wa kuwanunua Madiwani wake ili kukidhohofisha CHADEMA.

Dr. Slaa alitoa madai hayo wakati akiwa katika za kumnadi Mgombea Ubunge wa Chadema Bi Tendega.Madai ya Dr Slaa yanashangaza kwakweli na inaonyesha ni jinsi gani Viongozi wa juu wa Chama wanavyopenda kutoa kauli nyepesi kuhusiana na matatizo yanayoikabili CHADEMA.

Bahati mbaya sana tatizo hili la Viongozi wa CHADEMA kupenda kuiingiza CCM kila wanapokabiliwa na matatizo ya ndani limeonekana kuwaambukiza Wafuasi wake pia.

Hivi ni nani asiyejua kuwa CHADEMA wamegawanyika japo Viongozi wanatumia nguvu kubwa kuionyesha Dunia kuwa hakuna mgawanyiko wowote?Pamoja na Dr. Slaa kujaribu kuficha hali halisi iliyoko ndani ya Chama lakini mwisho wa siku akaonekana kukiri kiaina kuwepo kwa mgawanyiko pale alipodai milango iko wazi kwa yeyote anayetaka kuhama CHADEMA.

Dr. Slaa unaua CHADEMA.

Mshauri kwanza kinana aache kuuwa tembo wetu
 
Hapo ndo mnapokosea siku zote, mnadhani kila anayeonyesha dosari lengo lake ni kwamba chama kife, si hivyo, wengine tunaamini katika umuhimu wa kuwa na chama cha upinzani chenye nguvu katika kuleta maendeleo ya nchi. Hivyo kasoro zinatolewa ni katika kuhakikisha uwepo wa Chadema yenye nguvu, swala hapa si ushabiki tu kama mlivyozoea.
Mbna unajitekenya nakucheka mwenyewe?
 
Ni muda mfupi tu tangu Madiwani wawili CHADEMA wa Shinyanga mjini watangaze kujiuzulu na kuhamia CCM,Dr Slaa ameibuka na madai mazito kwamba Chama Cha Mapinduzi wamehusika na mchezo mchafu wa kuwanunua Madiwani wake ili kukidhohofisha CHADEMA.

Dr. Slaa alitoa madai hayo wakati akiwa katika za kumnadi Mgombea Ubunge wa Chadema Bi Tendega.Madai ya Dr Slaa yanashangaza kwakweli na inaonyesha ni jinsi gani Viongozi wa juu wa Chama wanavyopenda kutoa kauli nyepesi kuhusiana na matatizo yanayoikabili CHADEMA.

Bahati mbaya sana tatizo hili la Viongozi wa CHADEMA kupenda kuiingiza CCM kila wanapokabiliwa na matatizo ya ndani limeonekana kuwaambukiza Wafuasi wake pia.

Hivi ni nani asiyejua kuwa CHADEMA wamegawanyika japo Viongozi wanatumia nguvu kubwa kuionyesha Dunia kuwa hakuna mgawanyiko wowote?Pamoja na Dr. Slaa kujaribu kuficha hali halisi iliyoko ndani ya Chama lakini mwisho wa siku akaonekana kukiri kiaina kuwepo kwa mgawanyiko pale alipodai milango iko wazi kwa yeyote anayetaka kuhama CHADEMA.

Dr. Slaa unaua CHADEMA.

Maudhui ya bandiko lako yanadhihirisha kuwa wewe ni muumini wa sera na itikadi za CCM; tukishatambua hilo tunakuelewa unachokisema kwa kuwa waumini na wafuasi wengi wa CCM wana uwezo tepetevu wa kuchambua mambo kama haya!
kwani kama kwa mtizamo wako Dr. Slaa anakiua chama ( kwa maana ya CDM); je wewe kama mwana CCM masalia unakwazika lipi?! Pilipili usiyokula yakuwashia nini ndugu?!!!

Si bora Dr. Slaa aendelee kuiangamiza CDM ili wana CCM Masalia muendelee kutesa kwa raha zenu!! kulifilisi na kuliangamiza taifa mazima?!
Come on boy grow up!!
 
huo ni mtazamo wako finyu,
Cdm kitaendeshwa kwa mujibu wa taratibu na yeyote anayeona sio mahali salama kwake nae AONDOKE.
kuwafundisha adabu wanachama wachache wahuni ni vizuri na ni ishara wakishika dola watakavyoondoa kero za wananchi.
na wewe ukiingia ukaleta "U-ZZK" unatemwa tuuuu!!!! na mimi nasema watemwe tuu!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom