Sizinga
Platinum Member
- Oct 30, 2007
- 9,101
- 6,027
Lowassa ajiandaa kuaga...!! nanukuu
''Taarifa zaidi zimeeleza kuwa endapo Lowassa atatangaza kuachana mojakwamoja na CCM na kujiunga kambi ya upinzani, hatataja moja kwa moja chama anachotarajiwa kujiunga nacho ikiwa moja ya mbinu za kujiwinda na wapinzani wake katika azma yake ya kuwania urais mwaka 2015'' mwisho wa kunukuu.
Hii nikadri ya uchambuzi mrefu wa Gazeti la Dira la jana!! Hatua ya Lowassa kung'atuka ina lengo la kumdhoofisha Rais
Kikwete ili aonekane hajafanya lolote katika falsafa yake ya kujivua gamba mbinu ambayo pia imetumiwa na RA.
Je CDM mpo tayari kumpokea huyu EL endapo atajivua gamba CCM??
''Taarifa zaidi zimeeleza kuwa endapo Lowassa atatangaza kuachana mojakwamoja na CCM na kujiunga kambi ya upinzani, hatataja moja kwa moja chama anachotarajiwa kujiunga nacho ikiwa moja ya mbinu za kujiwinda na wapinzani wake katika azma yake ya kuwania urais mwaka 2015'' mwisho wa kunukuu.
Hii nikadri ya uchambuzi mrefu wa Gazeti la Dira la jana!! Hatua ya Lowassa kung'atuka ina lengo la kumdhoofisha Rais
Kikwete ili aonekane hajafanya lolote katika falsafa yake ya kujivua gamba mbinu ambayo pia imetumiwa na RA.
Je CDM mpo tayari kumpokea huyu EL endapo atajivua gamba CCM??